Mbona tuliwaonya wakatutukana, lakini tuliyosema yamekuwa; Lissu ameshindwa kufikia kura za Dr Slaa na pia wamepata wabunge less than 10. Chadema wabishi hawataki kujifunza toka kwa legents wa jfWatasema wewe ni kibaraka wa CCM, wana hasira za kugaragazwa kwa Lissu na Mbowe!
Suala la muungano utazeeka na uta r.i..p bila kuguswa kwani linashughulikiwa kistaarabu na kindugu.Punguza mihemukoPASCAL
suala la GNU baina ya CCM na ACT wazalendo HALIPO
Maridhiano zanzibar SASA yanahitaji ujasiri mkubwa na kuangalia mbali sana.
Tumefika pahali wale wanotaka mabadiliko znz washaamini kuwa hawawezi kuyapata kwa njia za democracy .
Kama unaweza kushauri
1.Wambie wenye power waitishe kura ya maoni juu ya muungano.
2.kama hilo gumu kumeza warejeshe rasimu ya warioba at least.
Masuala ya usalama wa tanganyika
Nafasi ya TEC znz
Udugu baina ya watu wa mbande mbili na mengine mengiii Yanazungumzika
Maalim Seif hakuna kupokea nafasi yoyote labda upokee wewe na Pascal .Maalim Seif apokee tu hiyo position ili akafight kupenyeza baadhi ya ahadi zake nyingi za kampeni zitekelezwe, kwa maslahi mapana ya Taifa.
Pia itampa nafasi ya kuijenga zaidi ACT Wazalendo huku akijiandaa kustaafu siasa kwa heshima.
Akisusa maisha yatasonga tu na haitamsaidia yeye binafsi, chama chake na Wazanzibar wote.
Ndugu Pascalli inaonekana unapenda sana kuongelea Zanzibar. Sisi wazanzibari hatumtaki Mwinyi wala CCM. Na kwa mara hii tumeonyesha wazi kuwa zanzibar CCM haipo. Mumetuletea jeshi la Burundi kuja kupinduwa matakwa ya wazanzibari na mumempa Mwinyi 76%. Kwa hizo hesabu zenu munataka serikali ya umoja wa kitaifa na maridhiano. Ni watu wa kushangaza. Mumetuuwa na kutupiga na mapaka dakika hii majeshi wako mitaani wanatupiga. Yote mumefanya halafu munataka nini?.Ni wazi kuwa maisha ya wananchi wetu hamuyathamini. Sisi hatuna haja kukaa mezani na watu wasio na heshima. watu ambao mikono yao imejaa damu za waznzibari. warudisheni viongozi wetu muliowateka na kuwaadhibu. Watoto wetu mumewapiga kwa kuwa wameikataa CCM . Uonevu huu utakwisha lini?.Wanabodi,
Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.
Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on back to normal huku tukiendelea kuponya majeraha ya uchaguzi, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.
Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, kwa ushindi wa Dr Mwinyi wa zaidi ya 75%, then Dr. Mwinyi halazimiki kuunda serikali ya GNU, na kwa ushindi kiduchu wa Maalim Seif Sharrif Hamad, hapaswi kuwa Makamu wa I, wa rais, ila for the sake of national unity of Zanzibar, and Zanzibaris, namuomba Dr. Mwinyi, amteue tuu Maalim Seif hivyo hivyo hata kama hajakidhi vigezo, pia namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.
Namshauri Maalim Seif akubali uteuzi, kwasababu uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa CUF, wwalifanya makosa sana na ujinga kususia uchaguzi ule wa marudio, na matokeo ya uchaguzi huu ni kufidia makosa hayo, sasa Maalim kupitia ACT, ameadhibiwa. Hata hivyo, kufanya kosa, si kosa, kosa ni kurudia kosa, Maalim Seif alifanya Kosa ile 2015, sasa 2020, asilirudie kosa!.
Akubali uteuzi wa makamu wa I, Dr. Husein Mwinyi atamteulia wabunge 5 wa kuteuliwa, ili kutimiza idadi ya wabunge 6 wa kuingia kwenye GNU, asifanye tena ujinga kama ule wa 2015!. Kwa umri wake wa miaka 77, akisusa safari hii, ndio imetoka, maana 2025 atakuwa na umri wa miaka 82!.
Tukija kwa Makamu wa II wa rais, japo kwa maoni yangu baada ya Dr. Mwinyi, mtu wa pili kwa u presidential material ni Prof. Mbarawa,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
View attachment 1615747View attachment 1615748View attachment 1615749View attachment 1615750
Na rais Magufuli alimshauri Dr. Mwinyi kuchagua makamu toka Pemba, lakini kwa vile Makamu wa I ni Maalim Seif ni kutoka Pemba, then natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamu wa II, ili kutoa sare sare maua na makamu wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.
Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne
Pasco
Rejea ya macho
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
Mkuu Manjagata , sheria inasema chama kilichoshika nafasi ya pili, kutatoa makomo wa rais. Hivyo Rais wa Zanzibar anakiandikia ACT, kipendekeze jina la mtu wa kuteuliwa kuwa Makamu, kisha rais Mwinyi anamteua.Hivi makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar huteuliwa na Rais au ni tako la sheria kwamba aliyeshika nafasi ya pili ndiye makamu wa kwanza?
Mkuu Falconer , kwanza Wanzanzibari poleni sana kwa madhila yaliyowakuta. Vijana wenu wengi wameachiwa jana.Ndugu Pascalli inaonekana unapenda sana kuongelea Zanzibar. Sisi wazanzibari hatumtaki Mwinyi wala CCM. Na kwa mara hii tumeonyesha wazi kuwa zanzibar CCM haipo. Mumetuletea jeshi la Burundi kuja kupinduwa matakwa ya wazanzibari na mumempa Mwinyi 76%. Kwa hizo hesabu zenu munataka serikali ya umoja wa kitaifa na maridhiano. Ni watu wa kushangaza. Mumetuuwa na kutupiga na mapaka dakika hii majeshi wako mitaani wanatupiga. Yote mumefanya halafu munataka nini?.Ni wazi kuwa maisha ya wananchi wetu hamuyathamini. Sisi hatuna haja kukaa mezani na watu wasio na heshima. watu ambao mikono yao imejaa damu za waznzibari. warudisheni viongozi wetu muliowateka na kuwaadhibu. Watoto wetu mumewapiga kwa kuwa wameikataa CCM . Uonevu huu utakwisha lini?.
Nawaomba tu ACT wakubali yaishe ili wakaweke watu wao kule kwenye serikali. Kwa mfano kwenye tume ya uchaguzi lazima wakashinikize kuwe na wateule wanaotoka upinzani. Kama hili CCM watalikataa maanake hiyo siyo serikali ya umoja wa kitaifa!Mkuu Manjagata , sheria inasema chama kilichoshika nafasi ya pili, kutatoa makomo wa rais. Hivyo Rais wa Zanzibar anakiandikia ACT, kipendekeze jina la mtu wa kuteuliwa kuwa Makamu, kisha rais Mwinyi anamteua.
Baada ya uteuzi, rais Mwinyi anakaa na makamu wote wawili kupendekeza majina ya watu wa kuteuliwa mawaziri, upinzani wakitoka 6. ACT Wazalendo haina hao watu, hivyo Mwinyi atapewa majina na Maalim Seif, kisha, watateuliwa.
P
Kwa yaliyofanyika uchaguzi huu , Bora ukae kimya kuliko kuja na mabandiko Kama haya ya Pascal ,huku ukijua ,ukisikia na kuona watuwalivyouawa , jeruhiwa , pigwa hadharani na chama Cha magaidi CCM bill aibu mchana kweupe kisa madaraka ,kila siku huwa nawaambia CCM hawamjui Mungu Wana mungu wso mwenge Nyamrunda , mmeamini sasa kwa waliyoyatenda , mtu mwenye kuabudu Mungu hawezi hata siku moja kufanya walichofanya CCM kwenye uchaguzi huu.Amegeuka kuwa wakala wa shetani.
Umetoa maone yako vizur ila mwisho unasema mm nina mihemuko. SAWA.Suala la muungano utazeeka na uta r.i..p bila kuguswa kwani linashughulikiwa kistaarabu na kindugu.Punguza mihemuko
njaa tu inakusumbuaAsante, sisi watu wa bara, Kiswahili sanifu ni changamoto!, narekebisha
P
Wanabodi, kiukweli kabisa jf inasaidia sana. Kufuatia ushauri huu kwa Maalim Seif, ameukubali, na haya ndio matokeo ya ushauri huu!.Wanabodi,
Namshauri Maalim Seif akubali uteuzi, kwasababu uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa CUF, wwalifanya makosa sana na ujinga kususia uchaguzi ule wa marudio, na matokeo ya uchaguzi huu ni kufidia makosa hayo, sasa Maalim kupitia ACT, ameadhibiwa. Hata hivyo, kufanya kosa, si kosa, kosa ni kurudia kosa, Maalim Seif alifanya Kosa ile 2015, sasa 2020, asilirudie kosa!.
Akubali uteuzi wa makamu wa I, Dr. Husein Mwinyi atamteulia wabunge 5 wa kuteuliwa, ili kutimiza idadi ya wabunge 6 wa kuingia kwenye GNU, asifanye tena ujinga kama ule wa 2015!. Kwa umri wake wa miaka 77, akisusa safari hii, ndio imetoka, maana 2025 atakuwa na umri wa miaka 82!.
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.Kamati kuu ya chama chetu imeazimia kwamba, wawakilishi wachache kwa maana ya madiwani, wajumbe wa baraza la wawakilishi na wabunge ambao wametangazwa kushinda waruhusiwe kushiriki kwenye vyombo vyao vya uwakilishi ili waendeleze mapambano kwenye vyombo hivyo.
Ni muhimu ieleweke kwamba, kamati kuu imefikia uamuzi huu sio kwamba tunaufurahia, kamati kuu ilikuwa kwenye njia panda ya kuchagua njia moja kati ya njia mbili. Ilikuwa ni kuchagua ama uamuzi mbaya, ama uamuzi mbaya zaidi.
Haikuwa chagua baina ya uamuzi mzuri sana na uamuzi mbaya, hilo ni muhimu sana lieleweke. Kwa hiyo tumechagua njia mbayo tumeona ina nafuu.
Pili, kamati kuu ya chama chetu kwa kuzingatia ibara ya 9(3) ya katiba ya Zanzibar imeridhia chama kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar na imeielekeza kamati ya uongozi ya chama chetu kupendekeza jina la mwanachama ataekuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar na muhimu ieleweke katika kuhitimisha, kamati kuu ya chama chetu imefikia maamuzi haya baada ya kufanya tafakuri ya kina.
Kazi ya kuelekea kwenye chaguzi bila fujo ianze,Wanabodi, kiukweli kabisa jf inasaidia sana. Kufuatia ushauri huu kwa Maalim Seif, ameukubali, na haya ndio matokeo ya ushauri huu!.
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Hongera sana ACT, hizi ndio siasa za kweli.
P
damn!Wewe nakuona kama mtu muovu hapa JF na hata siku nikisikia umepatwa na baya kutoka kwa hao unaowatetea hapa JF, hakika sitokuhurumia wala kukupa pole.
Umekosa utu kwa kiwango cha kutisha na ni mtu hatari sana wewe.
Huo ushindi wa kishindo tena umetokea wapi? uchaguzi ilikuwa ni funika kombe mwanaharam apite au na wewe kasumba zinakusumbua?Wanabodi,
Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.
Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on back to normal huku tukiendelea kuponya majeraha ya uchaguzi, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.
Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, kwa ushindi wa Dr Mwinyi wa zaidi ya 75%, then Dr. Mwinyi halazimiki kuunda serikali ya GNU, na kwa ushindi kiduchu wa Maalim Seif Sharrif Hamad, hapaswi kuwa Makamu wa I, wa rais, ila for the sake of national unity of Zanzibar, and Zanzibaris, namuomba Dr. Mwinyi, amteue tuu Maalim Seif hivyo hivyo hata kama hajakidhi vigezo, pia namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.
Namshauri Maalim Seif akubali uteuzi, kwasababu uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa CUF, wwalifanya makosa sana na ujinga kususia uchaguzi ule wa marudio, na matokeo ya uchaguzi huu ni kufidia makosa hayo, sasa Maalim kupitia ACT, ameadhibiwa. Hata hivyo, kufanya kosa, si kosa, kosa ni kurudia kosa, Maalim Seif alifanya Kosa ile 2015, sasa 2020, asilirudie kosa!.
Akubali uteuzi wa makamu wa I, Dr. Husein Mwinyi atamteulia wabunge 5 wa kuteuliwa, ili kutimiza idadi ya wabunge 6 wa kuingia kwenye GNU, asifanye tena ujinga kama ule wa 2015!. Kwa umri wake wa miaka 77, akisusa safari hii, ndio imetoka, maana 2025 atakuwa na umri wa miaka 82!.
Tukija kwa Makamu wa II wa rais, japo kwa maoni yangu baada ya Dr. Mwinyi, mtu wa pili kwa u presidential material ni Prof. Mbarawa,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
View attachment 1615747View attachment 1615748View attachment 1615749View attachment 1615750Na rais Magufuli alimshauri Dr. Mwinyi kuchagua makamu toka Pemba, lakini kwa vile Makamu wa I ni Maalim Seif ni kutoka Pemba, then natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamu wa II, ili kutoa sare sare maua na makamu wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.
Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne
Pasco
Rejea ya macho
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.
=====
Taarifa kwa vyombo vya Habari
Kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984,kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa na Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia”.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amemteua Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Uteuzi huo umeanza leo tarehe 6 Disemba,2020
View attachment 1643495
Hizi sasa ndio siasa za ukweli. Sio zile siasa za kususa susa. Wakati Chadema wanaendelea kushupaza shingo, wenzao, wamepiga bao la kisigino.Hii ni taarifa kutoka Zanzibar iliyotufikia hivi punde , kwamba Dr Hussein Mwinyi ameteua Ndugu Nassoro Mazrui ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo pamoja na Mwanasheria wa Chama hicho Omary Shaaban kuwa wajumbe wa baraza la Wawakilishi .
Huu ni muendelezo wa mambo ya SUK .
Tunawatakia kila la heri
====
Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ali Mwinyi amemteua Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Nassor Ahmed Mazrui na mwanasheria mkuu wa chama hicho, Omar Said Shaaban kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.
View attachment 1644003