Zanzibar 2020Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua
Zanzibar 2020Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua
Mbona tuliwaonya wakatutukana, lakini tuliyosema yamekuwa; Lissu ameshindwa kufikia kura za Dr Slaa na pia wamepata wabunge less than 10. Chadema wabishi hawataki kujifunza toka kwa legents wa jf
PASCAL
suala la GNU baina ya CCM na ACT wazalendo HALIPO
Maridhiano zanzibar SASA yanahitaji ujasiri mkubwa na kuangalia mbali sana.
Tumefika pahali wale wanotaka mabadiliko znz washaamini kuwa hawawezi kuyapata kwa njia za democracy .
Kama unaweza kushauri
1.Wambie wenye power waitishe kura ya maoni juu ya muungano.
2.kama hilo gumu kumeza warejeshe rasimu ya warioba at least.
Masuala ya usalama wa tanganyika
Nafasi ya TEC znz
Udugu baina ya watu wa mbande mbili na mengine mengiii Yanazungumzika
Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.
Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on back to normal huku tukiendelea kuponya majeraha ya uchaguzi, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.
Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, kwa ushindi wa Dr Mwinyi wa zaidi ya 75%, then Dr. Mwinyi halazimiki kuunda serikali ya GNU, na kwa ushindi kiduchu wa Maalim Seif Sharrif Hamad, hapaswi kuwa Makamu wa I, wa rais, ila for the sake of national unity of Zanzibar, and Zanzibaris, namuomba Dr. Mwinyi, amteue tuu Maalim Seif hivyo hivyo hata kama hajakidhi vigezo, pia namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.
Namshauri Maalim Seif akubali uteuzi, kwasababu uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa CUF, wwalifanya makosa sana na ujinga kususia uchaguzi ule wa marudio, na matokeo ya uchaguzi huu ni kufidia makosa hayo, sasa Maalim kupitia ACT, ameadhibiwa. Hata hivyo, kufanya kosa, si kosa, kosa ni kurudia kosa, Maalim Seif alifanya Kosa ile 2015, sasa 2020, asilirudie kosa!.
Akubali uteuzi wa makamu wa I, Dr. Husein Mwinyi atamteulia wabunge 5 wa kuteuliwa, ili kutimiza idadi ya wabunge 6 wa kuingia kwenye GNU, asifanye tena ujinga kama ule wa 2015!. Kwa umri wake wa miaka 77, akisusa safari hii, ndio imetoka, maana 2025 atakuwa na umri wa miaka 82!.
Tukija kwa Makamu wa II wa rais, japo kwa maoni yangu baada ya Dr. Mwinyi, mtu wa pili kwa u presidential material ni Prof. Mbarawa,
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...
Na rais Magufuli alimshauri Dr. Mwinyi kuchagua makamu toka Pemba, lakini kwa vile Makamu wa I ni Maalim Seif ni kutoka Pemba, then natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamu wa II, ili kutoa sare sare maua na makamu wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.
Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
Ndugu Pascalli inaonekana unapenda sana kuongelea Zanzibar. Sisi wazanzibari hatumtaki Mwinyi wala CCM. Na kwa mara hii tumeonyesha wazi kuwa zanzibar CCM haipo. Mumetuletea jeshi la Burundi kuja kupinduwa matakwa ya wazanzibari na mumempa Mwinyi 76%. Kwa hizo hesabu zenu munataka serikali ya umoja wa kitaifa na maridhiano. Ni watu wa kushangaza. Mumetuuwa na kutupiga na mapaka dakika hii majeshi wako mitaani wanatupiga. Yote mumefanya halafu munataka nini?.Ni wazi kuwa maisha ya wananchi wetu hamuyathamini. Sisi hatuna haja kukaa mezani na watu wasio na heshima. watu ambao mikono yao imejaa damu za waznzibari. warudisheni viongozi wetu muliowateka na kuwaadhibu. Watoto wetu mumewapiga kwa kuwa wameikataa CCM . Uonevu huu utakwisha lini?.
Mkuu Manjagata , sheria inasema chama kilichoshika nafasi ya pili, kutatoa makomo wa rais. Hivyo Rais wa Zanzibar anakiandikia ACT, kipendekeze jina la mtu wa kuteuliwa kuwa Makamu, kisha rais Mwinyi anamteua.
Baada ya uteuzi, rais Mwinyi anakaa na makamu wote wawili kupendekeza majina ya watu wa kuteuliwa mawaziri, upinzani wakitoka 6. ACT Wazalendo haina hao watu, hivyo Mwinyi atapewa majina na Maalim Seif, kisha, watateuliwa.
P
Ndugu Pascalli inaonekana unapenda sana kuongelea Zanzibar. Sisi wazanzibari hatumtaki Mwinyi wala CCM. Na kwa mara hii tumeonyesha wazi kuwa zanzibar CCM haipo. Mumetuletea jeshi la Burundi kuja kupinduwa matakwa ya wazanzibari na mumempa Mwinyi 76%. Kwa hizo hesabu zenu munataka serikali ya umoja wa kitaifa na maridhiano. Ni watu wa kushangaza. Mumetuuwa na kutupiga na mapaka dakika hii majeshi wako mitaani wanatupiga. Yote mumefanya halafu munataka nini?.Ni wazi kuwa maisha ya wananchi wetu hamuyathamini. Sisi hatuna haja kukaa mezani na watu wasio na heshima. watu ambao mikono yao imejaa damu za waznzibari. warudisheni viongozi wetu muliowateka na kuwaadhibu. Watoto wetu mumewapiga kwa kuwa wameikataa CCM . Uonevu huu utakwisha lini?.
Mkuu Falconer , kwanza Wanzanzibari poleni sana kwa madhila yaliyowakuta. Vijana wenu wengi wameachiwa jana.
Mwinyi ni muungwana na mstaarabu, mpeni ushirikiano atawaunisha Wazanzibari, atatibu vidonda vya uchaguzi na kuwafuta machozi. Kwa damu zilizomwaika, atatibu tuu makovu kupunguza machungu.
Mkuu Manjagata , sheria inasema chama kilichoshika nafasi ya pili, kutatoa makomo wa rais. Hivyo Rais wa Zanzibar anakiandikia ACT, kipendekeze jina la mtu wa kuteuliwa kuwa Makamu, kisha rais Mwinyi anamteua.
Baada ya uteuzi, rais Mwinyi anakaa na makamu wote wawili kupendekeza majina ya watu wa kuteuliwa mawaziri, upinzani wakitoka 6. ACT Wazalendo haina hao watu, hivyo Mwinyi atapewa majina na Maalim Seif, kisha, watateuliwa.
P
Nawaomba tu ACT wakubali yaishe ili wakaweke watu wao kule kwenye serikali. Kwa mfano kwenye tume ya uchaguzi lazima wakashinikize kuwe na wateule wanaotoka upinzani. Kama hili CCM watalikataa maanake hiyo siyo serikali ya umoja wa kitaifa!
Hamna jambo baya kama ulikuwa mtu wa kusimamia haki n ukweli na unaona maovu n kukaa kimya kama hayapo vile ila mungu huwa hamfichi mtu na haki huwa ina chelewa tu ila inafika
Kwa yaliyofanyika uchaguzi huu , Bora ukae kimya kuliko kuja na mabandiko Kama haya ya Pascal ,huku ukijua ,ukisikia na kuona watuwalivyouawa , jeruhiwa , pigwa hadharani na chama Cha magaidi CCM bill aibu mchana kweupe kisa madaraka ,kila siku huwa nawaambia CCM hawamjui Mungu Wana mungu wso mwenge Nyamrunda , mmeamini sasa kwa waliyoyatenda , mtu mwenye kuabudu Mungu hawezi hata siku moja kufanya walichofanya CCM kwenye uchaguzi huu.
Asante, tatizo kubwa kwa ndugu zetu wa CCM , ni kujifanya kama yule ndege anaitwa mbuni. Mbuni akizidiwa hutia kichwa chake mchangani akidhani kuwa maadamu hamuoni adui yake , adui naye hamuoni hatimae huliwa. CCM , baada ya kutumia silaha za kivita na kuuwa wapinzani wanataka maridhiano. Maridhiano hayawezekani bila kutenda haki. Ingelikuwa wanafuata katiba isingelifika hapa. Kwanini muibe kura wakati tuna serika ya kitaifa?. Sasa munabembeleza tuwe pamoja wakati mulipoleta Jeshi hamukufikiria kama tutahitaji kuwa barazani pamoja?. Dunia ya kutumia nguvu dhidi ya raia ilipitwa na wakati. Sasa hivi tusubiri akina Sirro , Mamabo sasa, Awadhi na wakuu walio amrisha kuuwawa kwa raia wakajibu kwa walio wafanyia raia wa nchi hii. Kesi na ushahidi tumekwisha peleka na bado wanaendelea kudhalilisha watu. Usiku wa kuamkia leo walikuwepo kijijini pemba na kupiga watu majumbani mwao. Wanadhani wakifanya vituko pemba dunia haioni. Kila wanachofanya kimewekwa kwenye faili na kukabidhiwa kwa prosecutor wa ICC. Tungekuwa tumenyamaza lakini na wao hawatakuwa na raha maisha yao.
Namshauri Maalim Seif akubali uteuzi, kwasababu uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa CUF, wwalifanya makosa sana na ujinga kususia uchaguzi ule wa marudio, na matokeo ya uchaguzi huu ni kufidia makosa hayo, sasa Maalim kupitia ACT, ameadhibiwa. Hata hivyo, kufanya kosa, si kosa, kosa ni kurudia kosa, Maalim Seif alifanya Kosa ile 2015, sasa 2020, asilirudie kosa!.
Akubali uteuzi wa makamu wa I, Dr. Husein Mwinyi atamteulia wabunge 5 wa kuteuliwa, ili kutimiza idadi ya wabunge 6 wa kuingia kwenye GNU, asifanye tena ujinga kama ule wa 2015!. Kwa umri wake wa miaka 77, akisusa safari hii, ndio imetoka, maana 2025 atakuwa na umri wa miaka 82!.
Kamati kuu ya chama chetu imeazimia kwamba, wawakilishi wachache kwa maana ya madiwani, wajumbe wa baraza la wawakilishi na wabunge ambao wametangazwa kushinda waruhusiwe kushiriki kwenye vyombo vyao vya uwakilishi ili waendeleze mapambano kwenye vyombo hivyo.
Ni muhimu ieleweke kwamba, kamati kuu imefikia uamuzi huu sio kwamba tunaufurahia, kamati kuu ilikuwa kwenye njia panda ya kuchagua njia moja kati ya njia mbili. Ilikuwa ni kuchagua ama uamuzi mbaya, ama uamuzi mbaya zaidi.
Haikuwa chagua baina ya uamuzi mzuri sana na uamuzi mbaya, hilo ni muhimu sana lieleweke. Kwa hiyo tumechagua njia mbayo tumeona ina nafuu.
Pili, kamati kuu ya chama chetu kwa kuzingatia ibara ya 9(3) ya katiba ya Zanzibar imeridhia chama kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar na imeielekeza kamati ya uongozi ya chama chetu kupendekeza jina la mwanachama ataekuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar na muhimu ieleweke katika kuhitimisha, kamati kuu ya chama chetu imefikia maamuzi haya baada ya kufanya tafakuri ya kina.
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Hongera sana ACT, hizi ndio siasa za kweli.
P
Wanabodi, kiukweli kabisa jf inasaidia sana. Kufuatia ushauri huu kwa Maalim Seif, ameukubali, na haya ndio matokeo ya ushauri huu!.
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Hongera sana ACT, hizi ndio siasa za kweli.
P
Kazi ya kuelekea kwenye chaguzi bila fujo ianze,
Wafanye uchunguzi kwa yaliyotokea , wakamatwe wahusika na wafunguliwe mashtaka, na walioonewa wapewe haki zao zinazostahiki.
ukitaka kuuwa nyani usimtizame machoni, wajaribu Sana kutowa elimu ya uraia , sio mmoja raia zaidi ya mwengine aidha kwa nasaba yake au anafahamiana na nani au ukubwa wake .....
Laa sivyo nahofia haya mambo yataendelea mpaka raia wachoke na waseme liwalo na liwe.
Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.
Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on back to normal huku tukiendelea kuponya majeraha ya uchaguzi, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.
Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, kwa ushindi wa Dr Mwinyi wa zaidi ya 75%, then Dr. Mwinyi halazimiki kuunda serikali ya GNU, na kwa ushindi kiduchu wa Maalim Seif Sharrif Hamad, hapaswi kuwa Makamu wa I, wa rais, ila for the sake of national unity of Zanzibar, and Zanzibaris, namuomba Dr. Mwinyi, amteue tuu Maalim Seif hivyo hivyo hata kama hajakidhi vigezo, pia namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.
Namshauri Maalim Seif akubali uteuzi, kwasababu uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa CUF, wwalifanya makosa sana na ujinga kususia uchaguzi ule wa marudio, na matokeo ya uchaguzi huu ni kufidia makosa hayo, sasa Maalim kupitia ACT, ameadhibiwa. Hata hivyo, kufanya kosa, si kosa, kosa ni kurudia kosa, Maalim Seif alifanya Kosa ile 2015, sasa 2020, asilirudie kosa!.
Akubali uteuzi wa makamu wa I, Dr. Husein Mwinyi atamteulia wabunge 5 wa kuteuliwa, ili kutimiza idadi ya wabunge 6 wa kuingia kwenye GNU, asifanye tena ujinga kama ule wa 2015!. Kwa umri wake wa miaka 77, akisusa safari hii, ndio imetoka, maana 2025 atakuwa na umri wa miaka 82!.
Tukija kwa Makamu wa II wa rais, japo kwa maoni yangu baada ya Dr. Mwinyi, mtu wa pili kwa u presidential material ni Prof. Mbarawa,
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...
www.jamiiforums.com
View attachment 1615747View attachment 1615748View attachment 1615749View attachment 1615750Na rais Magufuli alimshauri Dr. Mwinyi kuchagua makamu toka Pemba, lakini kwa vile Makamu wa I ni Maalim Seif ni kutoka Pemba, then natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamu wa II, ili kutoa sare sare maua na makamu wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.
Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.
=====
Taarifa kwa vyombo vya Habari
Kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984,kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa na Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia”.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amemteua Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Wana jf, tujifunze kuukubali ukweli jinsi ulivyo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai!. Maalim Seif at 77, has everything to gain and nothing to lose.
Hongera Dr. Mwinyi kwa uteuzi huu.
Hongera Maalim Seif kwa kuitanguliza mbele Zanzibar.
Hongera sana ACT Wazalendo for doing the right thing na sasa hizi ndio siasa za kweli za maendeleo, na sio kususa susa bila manufaa yoyote.
P
Hii ni taarifa kutoka Zanzibar iliyotufikia hivi punde , kwamba Dr Hussein Mwinyi ameteua Ndugu Nassoro Mazrui ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo pamoja na Mwanasheria wa Chama hicho Omary Shaaban kuwa wajumbe wa baraza la Wawakilishi .
Huu ni muendelezo wa mambo ya SUK .
Tunawatakia kila la heri
====
Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ali Mwinyi amemteua Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Nassor Ahmed Mazrui na mwanasheria mkuu wa chama hicho, Omar Said Shaaban kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi. View attachment 1644003
Hizi sasa ndio siasa za ukweli. Sio zile siasa za kususa susa. Wakati Chadema wanaendelea kushupaza shingo, wenzao, wamepiga bao la kisigino.
Naendelea kusisitiza, "if you can't get what you want, then what you get". Yaani usipopata kile kikubwa unachokitaka, pokea hata kidogo ulicho patina!.
Na kwenye mapambano ya kupigania kitu, "if you can't beat them, join them". ACT Wazalendo wameipambania Zanzibar kwa kupigana na CCM, they couldn't beat them, now they have joined them.
Hongera sana ACT Wazalendo kwa kujitambua, hongera sana rais wa Zanzibar, Dr. Hussein Mwinyi kwa kuwa muungwana kama baba yako.
Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania..
P
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.