Zanzibar 2020 Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua

Zanzibar 2020 Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua

Hata historia huijui mnatuletea historia yenu ya kanisa katolik kuhalalisha unyama wenu. Hebu tuambie mzanzibari gani ambaye aliuliwa na huyo mtawala wa kiarabu kutoka Oman. Mwarabu gani alimpiga risasi au kumnajisi mtoto wa kizanzibari. Mwarabu gani alimlazimisha mzanzibari kuungana naye?
Huyowinyi mkuu hata unamjua ?
Hivi mwarabu alikuja kuvamia kama nyinyi?
Huyo kibaraka wenu tuone hivyo atakavyotawala pamoja na Papa doc wake Kichaa wenu magu fool
Mkuu Gavana,
Kwa faida ya wasiojua, wenyeji haswa wa asili ya Zanzibar ni Wabantu, Wakwezi na Wahadimu, Mtawala wa asili aliitwa Mwinyi Mkuu.

Mwinyi Mkuu akaomba msaada kwa Waarabu kumpiga Mreno, akamgeukia Mwinyi Mkuu, alichomfanya, hakuna ajuaye, bali mara ghafla Mwaka 1832, Sultan Seyyid Said akahamishia Sultanate yake toka Oman na kuihamishia Zanzibar, na kuvitwaa visiwa hivyo kama mali yake as if havina mwenyewe, mpaka ile January 12, 1964, wenyewe wenye Zanzibar yao, wakamfurusha kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kipindi Sultan akitawala Zanzibar, hiki ndicho kilichofanyika, Angalizo: Kama una roho ndogo, naomba usifungue hii link, itakutoa machozi!

Ukiangalia Waarabu walivyotufanya, ndio utaelewa kwanini jamaa fulani huwa anashinda lakini hatangazwi na hapewi!.

P
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Mkuu Gavana,
Kwa faida ya wasiojua, wenyeji haswa wa asili ya Zanzibar ni Wabantu, Wakwezi na Wahadimu, Mtawala wa asili aliitwa Mwinyi Mkuu.

Mwinyi Mkuu akaomba msaada kwa Waarabu kumpiga Mreno, akamgeukia Mwinyi Mkuu, alichomfanya, hakuna ajuaye, bali mara ghafla Mwaka 1832, Sultan Seyyid Said akahamishia Sultanate yake toka Oman na kuihamishia Zanzibar, na kuvitwaa visiwa hivyo kama mali yake as if havina mwenyewe, mpaka ile January 12, 1964, wenyewe wenye Zanzibar yao, wakamfurusha kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kipindi Sultan akitawala Zanzibar, hiki ndicho kilichofanyika, Angalizo: Kama una roho ndogo, naomba usifungue hii link, itakutoa machozi!

Ukiangalia Waarabu walivyotufanya, ndio utaelewa kwanini jamaa fulani huwa anashinda lakini hatangazwi na hapewi!.

P

Wewe unasoma historia aliyokuandikia Nyerere, sisi tumeishi kwenye hiyo serikali mnayoiita ya ya mwarabu

Nilikuuliza maswali na hujajibu hata moja
Mwarabu aliivamia Zanzibar kijeshi kama Tanganyika akaweka jeshi la waarabu?
Mwarabu yupi alimpiga risasi mzanzibari japo mmoja?
Mwarabu yupi alichukuwa mali ya mzanzibari?
Lete jina la mzanzibari mmoja aliyewekwa jela na mwarabu kwa kesi ya kubambikizwa na mwarabu?
Lete ushahidi wa mwarabu wa kuvikalia kwa nguvu hivi visiwa. Na wapi huyo mwinyi mkuu au watu wake walijaribu kumpiga vita mwarabu au watu kufanya uasi au kumpinga kama tunavyoipinga Tanganyika kwa uvamizi wake leo?
 
Mkuu Gavana,
Kwa faida ya wasiojua, wenyeji haswa wa asili ya Zanzibar ni Wabantu, Wakwezi na Wahadimu, Mtawala wa asili aliitwa Mwinyi Mkuu.

Mwinyi Mkuu akaomba msaada kwa Waarabu kumpiga Mreno, akamgeukia Mwinyi Mkuu, alichomfanya, hakuna ajuaye, bali mara ghafla Mwaka 1832, Sultan Seyyid Said akahamishia Sultanate yake toka Oman na kuihamishia Zanzibar, na kuvitwaa visiwa hivyo kama mali yake as if havina mwenyewe, mpaka ile January 12, 1964, wenyewe wenye Zanzibar yao, wakamfurusha kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kipindi Sultan akitawala Zanzibar, hiki ndicho kilichofanyika, Angalizo: Kama una roho ndogo, naomba usifungue hii link, itakutoa machozi!

Ukiangalia Waarabu walivyotufanya, ndio utaelewa kwanini jamaa fulani huwa anashinda lakini hatangazwi na hapewi!.

P
Kama mwarabu lisu na lowasa ?
 
PASCAL
suala la GNU baina ya CCM na ACT wazalendo HALIPO
Maridhiano zanzibar SASA yanahitaji ujasiri mkubwa na kuangalia mbali sana.
Tumefika pahali wale wanotaka mabadiliko znz washaamini kuwa hawawezi kuyapata kwa njia za democracy .
Kama unaweza kushauri
1.Wambie wenye power waitishe kura ya maoni juu ya muungano.
2.kama hilo gumu kumeza warejeshe rasimu ya warioba at least.
Masuala ya usalama wa tanganyika
Nafasi ya TEC znz
Udugu baina ya watu wa mbande mbili na mengine mengiii Yanazungumzika
 
Wewe unasoma historia aliyokuandikia Nyerere, sisi tumeishi kwenye hiyo serikali mnayoiita ya ya mwarabu

Nilikuuliza maswali na hujajibu hata moja
Mwarabu aliivamia Zanzibar kijeshi kama Tanganyika akaweka jeshi la waarabu?
Mwarabu yupi alimpiga risasi mzanzibari japo mmoja?
Mwarabu yupi alichukuwa mali ya mzanzibari?
Lete jina la mzanzibari mmoja aliyewekwa jela na mwarabu kwa kesi ya kubambikizwa na mwarabu?
Lete ushahidi wa mwarabu wa kuvikalia kwa nguvu hivi visiwa. Na wapi huyo mwinyi mkuu au watu wake walijaribu kumpiga vita mwarabu au watu kufanya uasi au kumpinga kama tunavyoipinga Tanganyika kwa uvamizi wake leo?
First thing first, kama tunakubaliana Wenyeji wa asili Zanzibar ni Wabantu kina Mwinyi Mkuu, na Mwarabu ni mtu wa kuja kutoka Oman, hebu tueleze aliweza vipi kuimiliki Zanzibar kuifanya mali yake?. Hata Mjerumani, kina Karl Peters waliandikiana mikataba na kina Chifu Mangungo wa Msovero, Sultan yeye visiwa vile aliviokota tuu kama kuokota Dodo chini ya muembe?.
Tuanzie hapa, halafu nitakupeleka mdogo mdogo hadi tutafika.
P
 
  • Thanks
Reactions: Ole
PASCAL
suala la GNU baina ya CCM na ACT wazalendo HALIPO
Maridhiano zanzibar SASA yanahitaji ujasiri mkubwa na kuangalia mbali sana.
Tumefika pahali wale wanotaka mabadiliko znz washaamini kuwa hawawezi kuyapata kwa njia za democracy .
Kama unaweza kushauri
1.Wambie wenye power waitishe kura ya maoni juu ya muungano.
2.kama hilo gumu kumeza warejeshe rasimu ya warioba at least.
Masuala ya usalama wa tanganyika
Nafasi ya TEC znz
Udugu baina ya watu wa mbande mbili na mengine mengiii Yanazungumzika
As long as Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT, then usalama wa Zanzibar pia ni suala la muungano. Kama kuna mazungumzo yoyote then ni baada ya 2025!.
P
 
First thing first, kama tunakubaliana Wenyeji wa asili Zanzibar ni Wabantu kina Mwinyi Mkuu, na Mwarabu ni mtu wa kuja kutoka Oman, hebu tueleze aliweza vipi kuimiliki Zanzibar kuifanya mali yake?. Hata Mjerumani, kina Karl Peters waliandikiana mikataba na kina Chifu Mangungo wa Msovero, Sultan yeye visiwa vile aliviokota tuu kama kuokota Dodo chini ya muembe?.
Tuanzie hapa, halafu nitakupeleka mdogo mdogo hadi tutafika.
P
Nani alikuambia wabantu ni wenyeji wa zanzibar?

Wabantu ni nyinyi wenye tabia hizi chafu kutokufuata sheria zenu wenyewe, kuuwa ovyo ,na sijui kitu gani kinawapelekea kuzivamia nchi za wenzenu?
 
First thing first, kama tunakubaliana Wenyeji wa asili Zanzibar ni Wabantu kina Mwinyi Mkuu, na Mwarabu ni mtu wa kuja kutoka Oman, hebu tueleze aliweza vipi kuimiliki Zanzibar kuifanya mali yake?. Hata Mjerumani, kina Karl Peters waliandikiana mikataba na kina Chifu Mangungo wa Msovero, Sultan yeye visiwa vile aliviokota tuu kama kuokota Dodo chini ya muembe?.
Tuanzie hapa, halafu nitakupeleka mdogo mdogo hadi tutafika.
P
 
Maalim hawezi kupewa cheo chochote kile. Huyu mzee ni fedhuli sana aende akakae na familia yake huko alikowaficha. Nchi haiwezi kumzawadia mtu ambaye amesababisha raia wengi kupoteza maisha yao kwa sababu ya tamaa zake binafsi.
 
Maalim hawezi kupewa cheo chochote kile. Huyu mzee ni fedhuli sana aende akakae na familia yake huko alikowaficha. Nchi haiwezi kumzawadia mtu ambaye amesababisha raia wengi kupoteza maisha yao kwa sababu ya tamaa zake binafsi.
Ndivyo katiba ilivyoandikwa hivyo ?na sheria za uchaguzi ndivyo zinavyosema hivyo?

Haovibaraka wenu ndio wanaozidi kuifisidi nchi. Mliachiwa nyinyii miaka 5 ,kipi mlichokifanyia nchi zaidi ya kuzidi kuirudisha nyuma miaka 200 kabla hata kuja hao mnaowaita waarabu. Umasikini umekithiri hasa kwa hao CCM ,kazi kuomba omba ovyo kwa njaa
 
Maoni hayapigwi rungu. Mimi nimetoa maoni yangu kuhusu kichwa cha habari. Katiba na sheria unasema wewe.
Kwani mimi nimekupiga rungu au nimekuuliza maswali?
Sasa jibu maswali au unaweza kwenda kukojoa na kulala
 
Typical JF style. You deserve to be ignored.
Typical Lumumba style. Hao vibaraka wa Tanganyika hawajui isipokuwa wizi, Sif Ali Idd ameiba na kujenga nyumba 37, Ali hassan Mwanyi Kachukuwa mashamba ya watu Kitope, na kule Morogoro kaiba ekari 60 000+
 
Mkuu Gavana,
Kwa faida ya wasiojua, wenyeji haswa wa asili ya Zanzibar ni Wabantu, Wakwezi na Wahadimu, Mtawala wa asili aliitwa Mwinyi Mkuu.

Mwinyi Mkuu akaomba msaada kwa Waarabu kumpiga Mreno, akamgeukia Mwinyi Mkuu, alichomfanya, hakuna ajuaye, bali mara ghafla Mwaka 1832, Sultan Seyyid Said akahamishia Sultanate yake toka Oman na kuihamishia Zanzibar, na kuvitwaa visiwa hivyo kama mali yake as if havina mwenyewe, mpaka ile January 12, 1964, wenyewe wenye Zanzibar yao, wakamfurusha kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kipindi Sultan akitawala Zanzibar, hiki ndicho kilichofanyika, Angalizo: Kama una roho ndogo, naomba usifungue hii link, itakutoa machozi!

Ukiangalia Waarabu walivyotufanya, ndio utaelewa kwanini jamaa fulani huwa anashinda lakini hatangazwi na hapewi!.

P
Kwani wazungu walitufanyaje ? Au hawakutufanya ? Amani Abeid yule alokuwa rais wa Zanzíbar, unamjua mama yake ? Salim Ahmed Salim nae ? Hao unosema wamejaa kwenye serikali ya mapinduzi.... ccm wapinzani hawawataki ila kusema turudi chama kimoja wanahisi watatengwa na dunia.
Nota Bené..... Hamna ukoloni mzuri hata siku moja ( Samora Machel alipokuwa Harare /Salisbury aliwahi kuisema kauli hii.)
Sultan alokuwa wa Oman ni Sayyid said , waliobakia wanawe hawakuwa Waoman bali waswahili, labda uwe unasema waswahili ni Wabantu watupu.
 
Maalim Seif apokee tu hiyo position ili akafight kupenyeza baadhi ya ahadi zake nyingi za kampeni zitekelezwe, kwa maslahi mapana ya Taifa.

Pia itampa nafasi ya kuijenga zaidi ACT Wazalendo huku akijiandaa kustaafu siasa kwa heshima.

Akisusa maisha yatasonga tu na haitamsaidia yeye binafsi, chama chake na Wazanzibar wote.
Makamu wa Kwanza wa rais ni pambo tu hana mamlaka wala nguvu yeyote ht akichukua labda km awinde posho n mshahara
 
Wanabodi,

Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.

Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on back to normal huku tukiendelea kuponya majeraha ya uchaguzi, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.

Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, kwa ushindi wa Dr Mwinyi wa zaidi ya 75%, then Dr. Mwinyi halazimiki kuunda serikali ya GNU, na kwa ushindi kiduchu wa Maalim Seif Sharrif Hamad, hapaswi kuwa Makamu wa I, wa rais, ila for the sake of national unity of Zanzibar, and Zanzibaris, namuomba Dr. Mwinyi, amteue tuu Maalim Seif hivyo hivyo hata kama hajakidhi vigezo, pia namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.

Namshauri Maalim Seif akubali uteuzi, kwasababu uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa CUF, wwalifanya makosa sana na ujinga kususia uchaguzi ule wa marudio, na matokeo ya uchaguzi huu ni kufidia makosa hayo, sasa Maalim kupitia ACT, ameadhibiwa. Hata hivyo, kufanya kosa, si kosa, kosa ni kurudia kosa, Maalim Seif alifanya Kosa ile 2015, sasa 2020, asilirudie kosa!.

Akubali uteuzi wa makamu wa I, Dr. Husein Mwinyi atamteulia wabunge 5 wa kuteuliwa, ili kutimiza idadi ya wabunge 6 wa kuingia kwenye GNU, asifanye tena ujinga kama ule wa 2015!. Kwa umri wake wa miaka 77, akisusa safari hii, ndio imetoka, maana 2025 atakuwa na umri wa miaka 82!.

Tukija kwa Makamu wa II wa rais, japo kwa maoni yangu baada ya Dr. Mwinyi, mtu wa pili kwa u presidential material ni Prof. Mbarawa,

View attachment 1615747View attachment 1615748View attachment 1615749View attachment 1615750

Na rais Magufuli alimshauri Dr. Mwinyi kuchagua makamu toka Pemba, lakini kwa vile Makamu wa I ni Maalim Seif ni kutoka Pemba, then natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamu wa II, ili kutoa sare sare maua na makamu wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.

Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne

Pasco
Rejea ya macho
Hamad hafai kuwa Makamo wa Rais tena; ni mroho wa madaraka sana. Iwapo Makamo wa rais lazima atoke pemva kwenye upinzani basi awe ni mtu tofauti kabisa, siyo Hamad.
 
Mkuu Bayyo , huwezi kuzuia watu kusema, tena kwenye machungu, watu walioumizwa kwa ndani, wakisema ndio wanapunguza machungu, hivyo ni rukhsa kunitumia mimi kupunguzia machungu.
P
Hivi makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar huteuliwa na Rais au ni tako la sheria kwamba aliyeshika nafasi ya pili ndiye makamu wa kwanza?
 
Back
Top Bottom