DOKEZO Siasa Zetu: Watoto wa wanachama wa CHADEMA wasimamishwa Shule Nkasi kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya na amri ya mwalimu Mkuu

DOKEZO Siasa Zetu: Watoto wa wanachama wa CHADEMA wasimamishwa Shule Nkasi kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya na amri ya mwalimu Mkuu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tunapeleka taifa letu wapi?

Seriously, nimekutana na hii habari kwenye vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii vimenihuzinisha sana ..

Nimejaribu kuvaa viatu vya hao watoto...

Habari yenyewe ni hii👇

WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WASIMAMISHWA SHULE

Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa.

(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BON

Natumaini hapatakucha kabla hatua kali hazitachukuliwa dhidi ya ukatili na ubaguzi huu kwenye Jamii yetu .

Mheshimiwa waziri MKENDA. hili lipo kwenye mamlaka yako.

Pia soma: √ - Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA

View attachment 3169212View attachment 3169213View attachment 3169214View attachment 3169215View attachment 3169216View attachment 3169217IFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
Ndiko tunakoelekea huku.Alianza Magufuri sasa haya madhara yamekomaa nchi nzima mwisho na madaktari na manesi hawatawahudia wagonjwa ambao ni wafuasi wa Chadema.
 
CCM inaelekea siku zake za mwisho. Vitu kama hivi ni lazima vitoke, hamtakiwi kusikitika.

Chama kikubwa kama CCM kinafanya move ya kitoto kama hii. Tuwe wakweli chama kinapotia mengi sana.
Uko sahihi haya ni maelekezo kutoka kwenye taasisi hiyo ya chama kongwe.
 
Tunapeleka taifa letu wapi?

Seriously, nimekutana na hii habari kwenye vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii vimenihuzinisha sana ..

Nimejaribu kuvaa viatu vya hao watoto...

Habari yenyewe ni hii👇

WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WASIMAMISHWA SHULE

Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa.

(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BON

Natumaini hapatakucha kabla hatua kali hazitachukuliwa dhidi ya ukatili na ubaguzi huu kwenye Jamii yetu .

Mheshimiwa waziri MKENDA. hili lipo kwenye mamlaka yako.

Pia soma: √ - Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA

View attachment 3169212View attachment 3169213View attachment 3169214View attachment 3169215View attachment 3169216View attachment 3169217IFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
Huko CCM mbona kuna mambo ya kipumbavu sana.
 
Tunapeleka taifa letu wapi?

Seriously, nimekutana na hii habari kwenye vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii vimenihuzinisha sana ..

Nimejaribu kuvaa viatu vya hao watoto...

Habari yenyewe ni hii👇

WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WASIMAMISHWA SHULE

Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa.

(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BON

Natumaini hapatakucha kabla hatua kali hazitachukuliwa dhidi ya ukatili na ubaguzi huu kwenye Jamii yetu .

Mheshimiwa waziri MKENDA. hili lipo kwenye mamlaka yako.

Pia soma: √ - Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA

View attachment 3169212View attachment 3169213View attachment 3169214View attachment 3169215View attachment 3169216View attachment 3169217IFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
Utaambuwa "amri imetoka juu".
 
Sababu uliyotaja haiko kwenye barua uliyoambatanisha...

Umetunga sababu sio?

Hapo nimesoma, sababu si baba yao kuwa Chadema bali kauli zake juu ya walimu wa shule hiyo...

Ungetuwekea hapa hiyo kauli aliyoitoa huyo bwana hapa ili tuijadili.
We jifunze kujiongeza, kauli zilizotolewa na mzazi ni wakati wa uchaguzi akiwatuhumu walimu kutokuwa na imani nao ktk kusimamia uchaguzi. Hauoni uwiano hapa?
 
Inabidi utulie unisome kwa makini, hiki kinachoendelea sasa ni downward trend ya kutengeneza chuki zidi ya Samia.

Sasa sio kwamba namkubali hivyo huyo Samia mwenyewe ila siafiki hizi siasa za kuwatumia watanzania kama pawns za political gain za watu wengine,

Na msingi wake ni utunzi wa Magufuli alikuwa muuaji, sasa hizi story wanataka mpa Samia; hiyo ya kufukuza watoto shule it’s just an extension attempt to reach the same goal ya watu wenye nia mbaya.

But you and I know Samia has nothing to do with that.
Infact you do not have writing skills! but you can speak fluent english by look of it!

My advice, try to use one language Swahili or English in a single post ili watu waelewe.
 
We jifunze kujiongeza, kauli zilizotolewa na mzazi ni wakati wa uchaguzi akiwatuhumu walimu kutokuwa na imani nao ktk kusimamia uchaguzi. Hauoni uwiano hapa?
Ndio maana nimeshauri kauli ya mzazi iwekwe mezani tuijadili
 
Hi
DC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya...

Kama mzazi alitoa kauli za vitisho, walimu wana haki ya kumshirikisha DC...

Nashauri tunapokuwa kwenye mikutano ya kisiasa tujifunze kuchagua maneno ya kuongea...

Walimu si wanasiasa, na hivyo hawana ngozi ngumu za kuvumilia kauli za kisiasa...

Wao kila kauli wanaweza kuichukulia katika uzito unaostahili...

Hivyo kama mzazi alitamka maneno makali kisiasa,

Yaani hakumaanisha alichokisema (maana hii ndio siasa ya Tanzania)akaombe radhi.
Hivi uko sawa kweli, kama mwl hana ngozi ngumu kisiasa kwa nini akubali kusimamia uchaguzi lakini pia akiwa ni kada wa chama hicho Cha ccm. Yaonekana kuwa mzazi na mwl msimamizi walikwazana ktk kutoaminiana kisiasa. Kwa akili yako suala hili linakwendaje kwa watoto.
 
Hii ni vita imetangazwa na Serikali kwa ushirika na CCM wapinzani huko mliko muelewe hamna mama wala baba wala serikali ya kuwatetea.
 
Ndio maana nimeshauri kauli ya mzazi iwekwe mezani tuijadili
Barua hiyo iliyopo inajitosheleza kupata muktadha wa malumbano ya mzazi na walimu, na kwa namna yoyote ktk muktdha huo wa uchaguzi haitoi nafasi hata kidogo ya mambo hayo kuhamishiwa kwa watoto.
 
In politics you are not defined by your one time sentiments, rather by your long stances in all the situations.

And you are just shallow, thinking incidents just occur without a causation.

Not long you’ll be siding with people who blame Magufuli for what’s going on now, the same person who wouldn’t have allowed what you are moaning about in this thread.

You think changes happen out of the blue.
Kwamba yanayoendelea nchini kwa Sasa chanzo siyo Magufuli ?
 
Hi

Hivi uko sawa kweli, kama mwl hana ngozi ngumu kisiasa kwa nini akubali kusimamia uchaguzi lakini pia akiwa ni kada wa chama hicho Cha ccm. Yaonekana kuwa mzazi na mwl msimamizi walikwazana ktk kutoaminiana kisiasa. Kwa akili yako suala hili linakwendaje kwa watoto.
Ni lini wasimamizi wa uchaguzi walianza kuwa makada wa chama?

Na kama tatizo ilikuwa wasimamizi wa uchaguzi, huyo mzazi alipaswa kujua pale hawakwenda kama walimu bali wasimamizi wa uchaguzi...

Ambapo kisheria huwa wako neutral hawana Chama cha siasa...

Kama mzazi hana imani na walimu, alipaswa akaongee kwenye vikao vya wazazi...
 
Tunapeleka taifa letu wapi?

Seriously, nimekutana na hii habari kwenye vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii vimenihuzinisha sana ..

Nimejaribu kuvaa viatu vya hao watoto...

Habari yenyewe ni hii👇

WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WASIMAMISHWA SHULE

Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa.

(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BON

Natumaini hapatakucha kabla hatua kali hazitachukuliwa dhidi ya ukatili na ubaguzi huu kwenye Jamii yetu .

Mheshimiwa waziri MKENDA. hili lipo kwenye mamlaka yako.

Pia soma: √ - Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA

View attachment 3169212View attachment 3169213View attachment 3169214View attachment 3169215View attachment 3169216View attachment 3169217IFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
Akosee mzazi aadhibiwe mtoto! Hao walimu wana kiwango gani cha Elimu?
 
Kipindi cha Magufuli watu hawakupigwa risasi mbele ya wake zao na watoto wao (ushenzi gani huo).
Unaongea nini wewe, unasahau Lissu kumwagiwa mvua ya risasi au mwenyekiti wa chadema Hananasif aliyekatwa mapanga mbele ya mke wake au diwani wa chadema huko moro aliyepigwa risasi mbele ya mkewe

, but then he is not involved on the decisions which were made to exclude innocent kids because of their parents political affiliations.
He's responsible because there's something called precedence that some inhumane actions are now new normal. That's why we implicate JPM as a perpetrator of all this nonsense.
 
Sasa hivi watu hao hao wanauwa bila ya soni kumchafua Samia.

CCM kupora chaguzi hakuna anaeweza wabishia, lakini haya mauaji ni genge la wahuni wengine.
Sasa kwanini samia asiwakamate ili wasimchafue? Yaani mtu anatekwa hadharani alafu serikali haichukui hatua alafu unadai ni "watu wanamchafua"??

This is typical CCM mindset always looking for a scapegoat
 
Ni lini wasimamizi wa uchaguzi walianza kuwa makada wa chama?

Na kama tatizo ilikuwa wasimamizi wa uchaguzi, huyo mzazi alipaswa kujua pale hawakwenda kama walimu bali wasimamizi wa uchaguzi...

Ambapo kisheria huwa wako neutral hawana Chama cha siasa...

Kama mzazi hana imani na walimu, alipaswa akaongee kwenye vikao vya wazazi...
Kama ni mwl taifa tuna safari ndefu. Kwamba wasimamizi siyo makada! Unajielewa wewe ? Kwa ukada wake ndiyo maana alishindwa kuwa neutral akaishia kukwazana mzazi. Ama mzazi kutokuwa na Imani na mwl ni haki yake kama haridhishwi na utendaji wake na wala si kazi ya mwl kumfukuza mwanaye hakuna sheria ya hivi.
 
Back
Top Bottom