Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili hizi, utaendelea kulalama kila siku, bure kabisa, unatengeneza kiwanda cha uongo au ?
Mahaba yanampofua!Are you sure? Yetu mbona ni kama zaidi ya kenya? Namkumbuka yule wa geita,yule dr na yule saa sita, namkumbuka shelembi wa shy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili hizi, utaendelea kulalama kila siku, bure kabisa, unatengeneza kiwanda cha uongo au ?
Wewe ni kama yule jamaa kwa Biblia aliyeenda kuomba akapata mwenzake anakiri makosa zake na yeye akaanza maombi ya kujisifu eti yeye sio mwenye dhambi kama mwenzake.Siasa za Kenya zina uchafu wa kila aina, watu wanauana kama Mbuzi tu, watz tumestaarabika sana.
Wewe..!! Hacha kusema hivyo tena. Uhuru ndio Baba wa Democracy Afrika. Halafu unasema nini.K
Kenyatta Uhuru, unafanya mini sasa? Mbona unaharibu sifa zote
Hacha kusema hivyo tena. Uhuru ndio Baba wa Democracy Afrika. Halafu unasema nini.Historia ya mauaji ya Uhuru Kenyatta ipo wazi, haya ni mambo yake. Aliongoza Mungiki kuchinja Wajaluo na Wakalenjini, baadae akauwa mashahidi wote wa ICC.
Demokrasia ya Kenya ni ya kuigwa.
Ni wapi ambapo haipatikani? Si useme!Unasema hivo kwakuwa Kenya miili ya waliouliwa inapatikana au umeamua tu kujiariji?
Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile App
Ndio tunavyoombwa na akina Lisu na Mbowe.Nani aaiige demokrasia ya aina hiyo.
Hacha kusema hivyo tena. Uhuru ndio Baba wa Democracy Afrika. Halafu unasema nini.