Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Wanacheza vizuri, wana speed, viungo wazuri, mabeki wazuri, mshambuliaji mzuri tena vifaa vingine kama Baleke walikuwa jukwaani, unabishana na nani sasa.

Mtu yeyote anayetoa mapovu kuwa Yanga wabovu, wananunua mechi, wanabebwa huyo sio mtu wa mpira.

Hii timu yao hata ukichukia vip sio shida zao.

Kama Azam kadhalilika namna hii basi tuungane kwa pamoja kuichangia yanga, hawawezekani, period.
Kama wewe umekubali mimi nisemeje?
 
Wanacheza vizuri, wana speed, viungo wazuri, mabeki wazuri, mshambuliaji mzuri tena vifaa vingine kama Baleke walikuwa jukwaani, unabishana na nani sasa.

Mtu yeyote anayetoa mapovu kuwa Yanga wabovu, wananunua mechi, wanabebwa huyo sio mtu wa mpira.

Hii timu yao hata ukichukia vip sio shida zao.

Kama Azam kadhalilika namna hii basi tuungane kwa pamoja kuichangia yanga, hawawezekani, period.
Ongelea ubora wa yanga mbele ya timu mbovu Kama Simba na Azam.
 
Sasa sijui nani ataleta upinzani Kwa wananchi, maana wote wenye uafadhali wamekandwa!
Simba mbovu ilimkanda yanga goli mbili, mpira unakuwa na matokeo ya ajabu mno, ihefu alivuruga unbeaten ya yanga.
 
Hongera mkuu Kwa kutimiza ahadi yako na kukiri hadharani....
 
Tungoje Kimataifa Ingawa Kuna Ukweli Kwenye Hii Comment
Thibitisha, usiwe una argue kimbumbu misimu miwili mfululizo kimataifa anafanya vizuri bado unakuwa too subjective .
Aisee 😯, kazi ipo.
 
Serikali ni lazima sasa iingilie kati hilo suala la Klabu ya Yanga kuendelea kuwafunga wenzao kila siku na kila wakati.

Hakika nawaambia pasipo na uingiliaji wa Serikali kwenye hilo hii Yanga itakuja kuzifunga hadi Shule!
Sawa asante thiiiimba
 
Tunaowachukulia poa Yanga ni sisi Watanzania, huko nje story ni tofauti.

Hawa ni Wasouth Africa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240811-233449.png
    Screenshot_20240811-233449.png
    154.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom