Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Sibishani tena kuhusu ubora wa Yanga Africans, nimekubali yaishe

Muafrika bhana..kwa akili yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?😀😀...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
 
Muafrika bhana..kwa akili yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?😀😀...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
Unaandika kama kanya bata huku unalia.

Yanga ndio timu bora kwa sasa ukanda wa Cecafa.
 
Muafrika bhana..kwa akili yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?😀😀...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
Naona mnaipenda sana number 5 ndio maana tukawagonga mkono, emu weka hapa uthibitisho wa kuwa 5imba ni ya 5 Africa
 
Muafrika bhana..kwa akili yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?😀😀...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
Baeleze mpaka baelewe
 
Wanacheza vizuri, wana speed, viungo wazuri, mabeki wazuri, mshambuliaji mzuri tena vifaa vingine kama Baleke walikuwa jukwaani, unabishana na nani sasa.

Mtu yeyote anayetoa mapovu kuwa Yanga wabovu, wananunua mechi, wanabebwa huyo sio mtu wa mpira.

Hii timu yao hata ukichukia vip sio shida zao.

Kama Azam kadhalilika namna hii basi tuungane kwa pamoja kuichangia yanga, hawawezekani, period.
Hii ndio inatakiwa sasa. Ukishindwa kuwavuruga ungana nao, kongole kwako mkuu unaonesha ukomavu mkubwa
 
Muafrika bhana..kwa akili yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?[emoji3][emoji3]...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
Yanga timu ndogo inayokamia mechi ikikutana timu kubwa
 
Simba mbovu ilimkanda yanga goli mbili, mpira unakuwa na matokeo ya ajabu mno, ihefu alivuruga unbeaten ya yanga.
Kwahiyo kwa sasa tungoje miujiza tu itokee ndio wenda Yanga ikafungwa, au sio?
 
Nikiongea kiuchambuzi bila upendeleo wowote technically yanga bado hawana timu
CC ephen_
20240812_021149.jpg
 
Kwahiyo kwa sasa tungoje miujiza tu itokee ndio wenda Yanga ikafungwa, au sio?
Hakuna cha miujiza, simba ilikuwa bora kuliko yanga hii ikachukua kombe la ligi mara4 mfululizo na bado alikuwa anafungika, yanga hii hii bora ishafungwa na simba, ihefu azam
 
Back
Top Bottom