Kama wewe umekubali mimi nisemeje?Wanacheza vizuri, wana speed, viungo wazuri, mabeki wazuri, mshambuliaji mzuri tena vifaa vingine kama Baleke walikuwa jukwaani, unabishana na nani sasa.
Mtu yeyote anayetoa mapovu kuwa Yanga wabovu, wananunua mechi, wanabebwa huyo sio mtu wa mpira.
Hii timu yao hata ukichukia vip sio shida zao.
Kama Azam kadhalilika namna hii basi tuungane kwa pamoja kuichangia yanga, hawawezekani, period.
Ongelea ubora wa yanga mbele ya timu mbovu Kama Simba na Azam.Wanacheza vizuri, wana speed, viungo wazuri, mabeki wazuri, mshambuliaji mzuri tena vifaa vingine kama Baleke walikuwa jukwaani, unabishana na nani sasa.
Mtu yeyote anayetoa mapovu kuwa Yanga wabovu, wananunua mechi, wanabebwa huyo sio mtu wa mpira.
Hii timu yao hata ukichukia vip sio shida zao.
Kama Azam kadhalilika namna hii basi tuungane kwa pamoja kuichangia yanga, hawawezekani, period.
Simba mbovu ilimkanda yanga goli mbili, mpira unakuwa na matokeo ya ajabu mno, ihefu alivuruga unbeaten ya yanga.Sasa sijui nani ataleta upinzani Kwa wananchi, maana wote wenye uafadhali wamekandwa!
IhefuSasa sijui nani ataleta upinzani Kwa wananchi, maana wote wenye uafadhali wamekandwa!
Thibitisha, usiwe una argue kimbumbu misimu miwili mfululizo kimataifa anafanya vizuri bado unakuwa too subjective .Tungoje Kimataifa Ingawa Kuna Ukweli Kwenye Hii Comment
Ikawe kheri!Mimi ni Yanga tumshukuru Mungu Kwa neema hii, Mpira ni mchezo tuombe umoja walau tufikie kama wenzetu Al Ahly
Hapana.Mtoa mada ni Lucas Mwashambwa
Sawa asante thiiiimbaSerikali ni lazima sasa iingilie kati hilo suala la Klabu ya Yanga kuendelea kuwafunga wenzao kila siku na kila wakati.
Hakika nawaambia pasipo na uingiliaji wa Serikali kwenye hilo hii Yanga itakuja kuzifunga hadi Shule!
Wachawi hata kwetu wapo.Nikiongea kiuchambuzi bila upendeleo wowote technically yanga bado hawana timu