Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Lo!
Hakika Gwa kumyitu umeongea jambo la maana sana.
Mkapa, kwanini hakuona kuwa katiba ina mapungufu kipindi cha utawala wake? Kaondoka madarakani ndio analeta kilimilimi
Na ndio desturi ya viongozi wa kiafrika wakiwa madarakani hataki kuambiwa kitu esp Ben khaaa alikuwa mbogo akikosolewa analipiza kwa visasi mwakumbuka alicho mtendea Jenerali Ulimwengu??? Mwajua ni viongozi wachache sana hutaka kufanya mabadiliko na ndio hao huwa twawaita mashujaa wetu unaingia IKULU na unabadiri KATIBA hapo hapo uone kama wananchi watakusaahau hiii biashara ya SI HA SA ndio inaharibu viongozi ati kunaitekeleza ilanio ya CCM atii ilani ya CCM jamani na ndio maana twataka KATIBA mpya kiongozi aingiae na Ilani yake hapo ajue KATIBA inataka maendeleo na sio polojo za ilani ya Chama fulani hapa period