Easly Put.Navyojua nyimbo ambazo zimempa diamond coverage na tuzo ni zile alizoimba kinaija (Afro beatz). Kuhusu Marioo sidhani kama kuna ubaya maana dogo kapewa nomination na akipata association na brand kubwa kama Diamond nadhani atafika mbali kwa wepesi zaidi.
Ahaahahaa..Ukiona hivyo ujue huyo mario hata simfahamu
Kiba kawasaidia vip hao madogo na amewafikisha wap? Diamond kasimama mwenyewe na kawasimamisha Harmonize , rayvann , Mboso na lava lava , ...Harmonize ametoka WCB akiwa na thaman ya utajiri wa Bill 4, unataka kunambia harmonize ana kipaji kuzid Aslay , barnaba, maua Sama, jux , na wengineo......?? Kama Diamond angekuwa na roho mbaya kias hcho asingewafikisha hao madog hapo walipo, na pia mtu anawekeza mahali ili apate return , ni ujinga na ujuha wa Hali ya juu et mtu awekeze sehemu af mpige equal share hyo haipo popote pale duniani,....Diamond hajawahi kumsaidia mtu na hawezi kumsaidia mtu. Akijitahidi sana atakusaidia kupata chakula, pakulala, umaarufu na mademu.
Ukiona Diamond anajifanya kukusaidia, ujue kuna "Potential" anataka kuchuma.
Ni Bora hata AliKiba alikuwa anawasaidia wasanii wadogo kina Papa Masai, Prince Seseme, Belle White
Wewe utakuwa mshabiki wa kiba ndomaana unaongea pumba.Diamond hajawahi kumsaidia mtu na hawezi kumsaidia mtu. Akijitahidi sana atakusaidia kupata chakula, pakulala, umaarufu na mademu.
Ukiona Diamond anajifanya kukusaidia, ujue kuna "Potential" anataka kuchuma.
Ni Bora hata AliKiba alikuwa anawasaidia wasanii wadogo kina Papa Masai, Prince Seseme, Belle White
Diamond Anatafuta mtu wa kua anamuandikia Nyimbo, Baada ya Mavoko na Konde boy Kusepa
Dogo anaenda Kupotea, Dogo angejiuliza Mbosso na Lavalava wamefika wapi Nadhan angekaa mbali na huyu Sangoma msanii mshirikina Tanzania nzima
Diamond Anatafuta mtu wa kua anamuandikia Nyimbo, Baada ya Mavoko na Konde boy Kusepa
Dogo anaenda Kupotea, Dogo angejiuliza Mbosso na Lavalava wamefika wapi Nadhan angekaa mbali na huyu Sangoma msanii mshirikina Tanzania nzima
[emoji23][emoji23][emoji23]Kikubwa apate hela hata akiimba kichina
Mtoa mada umeingia choo Cha kike.
Kumsaidia mtu maanayake nini nikiona dogo anasota nikampaa bajaji aniletee hesabu hapo sijamsaidia kisa na mimi nepata hesabu.Diamond hajawahi kumsaidia mtu na hawezi kumsaidia mtu. Akijitahidi sana atakusaidia kupata chakula, pakulala, umaarufu na mademu.
Ukiona Diamond anajifanya kukusaidia, ujue kuna "Potential" anataka kuchuma.
Ni Bora hata AliKiba alikuwa anawasaidia wasanii wadogo kina Papa Masai, Prince Seseme, Belle White
Subiri wake wake wa domo wakuchambe!!Nimeona picha huko Instagram Marioo akiwa na Diamond Platnumz huko Nigeria.
Wengi wetu tunaamini Platnumz anamsaidia Marioo kumpeleka international ila mi naona kama anamharibia.
Kitachotokea ni Marioo sasa kuanza kuimba kama Wanigeria kitu ambacho kitamuharibia. Atapoteza identity ya muziki anaofanya kama tulivyomzoea na kumpenda.
Diamond siku hizi amekuwa ni mtu wakuimba na beat za Nigeria kitu ambacho mimi binafsi kinanichukiza sana. Amepoteza kabisa identity na ndo maana ni vigumu yeye kupata tuzo siku hizi.
Huwezi kupata tuzo kwa mfano ya “Best East African” artist wakati unaimba kama Wanigeria.
View attachment 1325893
sahihi kabisa kingine muziki ni biashara Nigeria wako milioni 195 Ni kama nchi tatu za tanzania kwa idadi ya watu sioni tatizo kama hapati tuzo lakini ana make maoneyNavyojua nyimbo ambazo zimempa diamond coverage na tuzo ni zile alizoimba kinaija (Afro beatz). Kuhusu Marioo sidhani kama kuna ubaya maana dogo kapewa nomination na akipata association na brand kubwa kama Diamond nadhani atafika mbali kwa wepesi zaidi.