Sidhani kama Diamond Platnumz anamsaidia Marioo

Sidhani kama Diamond Platnumz anamsaidia Marioo

Navyojua nyimbo ambazo zimempa diamond coverage na tuzo ni zile alizoimba kinaija (Afro beatz). Kuhusu Marioo sidhani kama kuna ubaya maana dogo kapewa nomination na akipata association na brand kubwa kama Diamond nadhani atafika mbali kwa wepesi zaidi.
Easly Put.
Way to Go Mario.
 
Diamond hajawahi kumsaidia mtu na hawezi kumsaidia mtu. Akijitahidi sana atakusaidia kupata chakula, pakulala, umaarufu na mademu.

Ukiona Diamond anajifanya kukusaidia, ujue kuna "Potential" anataka kuchuma.

Ni Bora hata AliKiba alikuwa anawasaidia wasanii wadogo kina Papa Masai, Prince Seseme, Belle White
Kiba kawasaidia vip hao madogo na amewafikisha wap? Diamond kasimama mwenyewe na kawasimamisha Harmonize , rayvann , Mboso na lava lava , ...Harmonize ametoka WCB akiwa na thaman ya utajiri wa Bill 4, unataka kunambia harmonize ana kipaji kuzid Aslay , barnaba, maua Sama, jux , na wengineo......?? Kama Diamond angekuwa na roho mbaya kias hcho asingewafikisha hao madog hapo walipo, na pia mtu anawekeza mahali ili apate return , ni ujinga na ujuha wa Hali ya juu et mtu awekeze sehemu af mpige equal share hyo haipo popote pale duniani,....
Mo Dewij ajenge kiwanda alaf mapato mgawane Sawa , hyo kitu haipo, wafanyakazi wataendelea Tu kulipwa 4000 per day huku jamaa akipaa Forbes ...

Clouds media inaingiza mpunga mrefu Sana Ila wafanyakazi wanalipwa hzo 500k, ikizid Sana 1000k, huku kusaga akichota pesa na kuwekeza kwingine Kwa nn wasiseme wananyonywa wakat wao ndo punda wabeba mzigo.....
 
Diamond hajawahi kumsaidia mtu na hawezi kumsaidia mtu. Akijitahidi sana atakusaidia kupata chakula, pakulala, umaarufu na mademu.

Ukiona Diamond anajifanya kukusaidia, ujue kuna "Potential" anataka kuchuma.

Ni Bora hata AliKiba alikuwa anawasaidia wasanii wadogo kina Papa Masai, Prince Seseme, Belle White
Wewe utakuwa mshabiki wa kiba ndomaana unaongea pumba.
 
Diamond hajawahi kumsaidia mtu na hawezi kumsaidia mtu. Akijitahidi sana atakusaidia kupata chakula, pakulala, umaarufu na mademu.

Ukiona Diamond anajifanya kukusaidia, ujue kuna "Potential" anataka kuchuma.

Ni Bora hata AliKiba alikuwa anawasaidia wasanii wadogo kina Papa Masai, Prince Seseme, Belle White
Kumsaidia mtu maanayake nini nikiona dogo anasota nikampaa bajaji aniletee hesabu hapo sijamsaidia kisa na mimi nepata hesabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona picha huko Instagram Marioo akiwa na Diamond Platnumz huko Nigeria.

Wengi wetu tunaamini Platnumz anamsaidia Marioo kumpeleka international ila mi naona kama anamharibia.

Kitachotokea ni Marioo sasa kuanza kuimba kama Wanigeria kitu ambacho kitamuharibia. Atapoteza identity ya muziki anaofanya kama tulivyomzoea na kumpenda.

Diamond siku hizi amekuwa ni mtu wakuimba na beat za Nigeria kitu ambacho mimi binafsi kinanichukiza sana. Amepoteza kabisa identity na ndo maana ni vigumu yeye kupata tuzo siku hizi.

Huwezi kupata tuzo kwa mfano ya “Best East African” artist wakati unaimba kama Wanigeria.

View attachment 1325893
Subiri wake wake wa domo wakuchambe!!
 
huyu Mario nmemskiliza jana nlkua hata simjui

Jamani the guy ni talented khaa

Mbna ni hatari sana huyo dgo

Mkulima wa mahindi
 
Navyojua nyimbo ambazo zimempa diamond coverage na tuzo ni zile alizoimba kinaija (Afro beatz). Kuhusu Marioo sidhani kama kuna ubaya maana dogo kapewa nomination na akipata association na brand kubwa kama Diamond nadhani atafika mbali kwa wepesi zaidi.
sahihi kabisa kingine muziki ni biashara Nigeria wako milioni 195 Ni kama nchi tatu za tanzania kwa idadi ya watu sioni tatizo kama hapati tuzo lakini ana make maoney
 
Back
Top Bottom