Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Nimeona picha huko Instagram Marioo akiwa na Diamond Platnumz huko Nigeria.
Wengi wetu tunaamini Platnumz anamsaidia Marioo kumpeleka international ila mi naona kama anamharibia.
Kitachotokea ni Marioo sasa kuanza kuimba kama Wanigeria kitu ambacho kitamuharibia. Atapoteza identity ya muziki anaofanya kama tulivyomzoea na kumpenda.
Diamond siku hizi amekuwa ni mtu wakuimba na beat za Nigeria kitu ambacho mimi binafsi kinanichukiza sana. Amepoteza kabisa identity na ndo maana ni vigumu yeye kupata tuzo siku hizi.
Huwezi kupata tuzo kwa mfano ya “Best East African” artist wakati unaimba kama Wanigeria.
Wengi wetu tunaamini Platnumz anamsaidia Marioo kumpeleka international ila mi naona kama anamharibia.
Kitachotokea ni Marioo sasa kuanza kuimba kama Wanigeria kitu ambacho kitamuharibia. Atapoteza identity ya muziki anaofanya kama tulivyomzoea na kumpenda.
Diamond siku hizi amekuwa ni mtu wakuimba na beat za Nigeria kitu ambacho mimi binafsi kinanichukiza sana. Amepoteza kabisa identity na ndo maana ni vigumu yeye kupata tuzo siku hizi.
Huwezi kupata tuzo kwa mfano ya “Best East African” artist wakati unaimba kama Wanigeria.