Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500. SKYBUS Kazi_iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mtaji tu wa hilo shirika hauwezi gharama za kununulia mabati ya ndegeKatika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Waanze na kutengeneza basi za muendo kasi kuokoa pesa ya mlipa kodi ndege badaye.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Watengeneze Kwanza ndogo ili wajifunze tokana na makosa madogoNadhani SIDO ingejikita kuendeleza viwanda vidogo vidogo badala ya kutengeneza mwanya wa kupiga hela za walipakodi kwa kisingizio cha kutengeneza ndege. Hilo wazo lao ni sahihi katika muda ambao sio sahihi.
Are you serious?SIDO hii ninayoijua mimi!acheni utani kwanza itatakiwa ivunjwe itengenezewe taasisi nyingine yenye vision na si hii taasisi mufilisi ya wanasiasa,majungu,upendeleo ,ulinzi isiyo na expertise.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Sido wamekaa kitapeli tapeli sana huwa wanabuni vimiradi vya hovyo hivyo ili kupiga pesa.Nadhani SIDO ingejikita kuendeleza viwanda vidogo vidogo badala ya kutengeneza mwanya wa kupiga hela za walipakodi kwa kisingizio cha kutengeneza ndege. Hilo wazo lao ni sahihi katika muda ambao sio sahihi.
Machine za bisi na tofari.Hao
Sido wamekaa kitapeli tapeli sana huwa wanabuni vimiradi vya hovyo hivyo ili kupiga pesa.
Mkuu hatuwezi kufika kwa kudharau kila kinachofanywa na Watanzania wenzetu. Waungwe mkono waongezewe wataalamu watafanikisha.Watapanda wao.
Million 61 Tanzanian Gawande kwa 500 kila ajali
HahahaaMajaribio wapandishwe cabinet yote ya cc ya ccm hata kwa viboko