Hahahahahahaha dah! Viti 10 vya mbele wakae kina nani mkuu?Majaribio wapandishwe cabinet yote ya cc ya ccm hata kwa viboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahaha dah! Viti 10 vya mbele wakae kina nani mkuu?Majaribio wapandishwe cabinet yote ya cc ya ccm hata kwa viboko
Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Hawawezi kutengeneza hata pikipiki. Labda wanafanya joke.Waanze na kutengeneza basi za muendo kasi kuokoa pesa ya mlipa kodi ndege badaye.
hawa sido ebu waache utani wao huo sio mzuri!Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Hii ni hatua nzuri sana kwamba nchi yetu inafanya maendeleo mazuri chini ya uongozi wa mama! Ili kuwatia moyo Watanzania wote, napendekeza safari ya kwanza ya ufunguzi viongozi wafuatao wapande hii ndege ili kuonyesha support;Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Dunia inaenda kuachana na matumizi ya mkaa... Hayo majiko ni ya kazi gani?Sido wajikite zaidi kwenye uzalishaji wa majiko ya mkaa na kukata na kutoboa vyuma vya wateja mbalimbali,
ndege au majiko ya kupikia shuleniKatika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Sido wangeiunganisha na VETAKati ya taasisi nyingi za serikali, na ambazo hazina manufaa yoyote yale kwa umma, nadhani na SIDO nayo imo.