Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Mkuu ujue leo sio tarehe 1 Aprili!!??Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ujue leo sio tarehe 1 Aprili!!??Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Tukubaliane hapa hapa kuwa kamwe sitapanda ndege hizo za SIDO kabisa, nipo tayari kutoka Dar-Arusha kwa miguu hakuna shida.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Kunywa maji mwananguNicheke au nilie?
Waunde kwanza baiskelKatika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
DG wa SIDO ni nani?Nadhani SIDO ingejikita kuendeleza viwanda vidogo vidogo badala ya kutengeneza mwanya wa kupiga hela za walipakodi kwa kisingizio cha kutengeneza ndege. Hilo wazo lao ni sahihi katika muda ambao sio sahihi.
Kama baiskel tu imewashida kuunda ndege labda kwa maana ya njiwaTukubaliane hapa hapa kuwa kamwe sitapanda ndege hizo za SIDO kabisa, nipo tayari kutoka Dar-Arusha kwa miguu hakuna shida.
SijuiDG wa SIDO ni nani?
Aisee. Una hatari sana. Unataka kuvunja watu mbavu wewe!Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Gharama za huo mchezo atatoa nani?SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500
Tanzania hamuwezi hata kutengeneza pikipiki tu,leo mje kuhangaika na ndege? Teknoloji ya ndege Tanzania mmetoa wapi?Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
kwan hata hiyo baiskeli iko wap??Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Na wewe una amini kabisa kuwa Tanzania ina uwezo wa kuunda ndege?Watengeneze Kwanza ndogo ili wajifunze tokana na makosa kidogo
Una akili sana mkuu!Majaribio wapandishwe cabinet yote ya cc ya ccm hata kwa viboko
Tanzania ni kubwa huwezi jua Wabobezi wanafanya nini Ndiyo maana nimeshauri waanze na yenye abiiria wachacheNa wewe una amini kabisa kuwa Tanzania ina uwezo wa kuunda ndege?
Kweli watanzania ni vichwa mavi sana!