Hiyo ya watu 2 hawajaweza, itakuwa watu 500.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Nadhani walikuwa wanatania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya watu 2 hawajaweza, itakuwa watu 500.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Msituletee mzaha kwenye maisha yetu!!Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Mbao za Mafinga, Makambako, Njombe na kwingine zitapata soko zaidi. Maana huenda wakatumia bidhaa za ndani hasa mbao kuundia hiyo ndege. Na siku hiyo itanyesha mvua ya kinyesi....Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.


Hata DalaDala TU waanze nayoWaanze na kutengeneza basi za muendo kasi kuokoa pesa ya mlipa kodi ndege badaye.
This is surely a joke.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
😂Majaribio wapandishwe cabinet yote ya cc ya ccm hata kwa viboko
Vinyoleo importedNyembe tunaagiza nje😆😆😆😆
Mhhhh mdoli? Au prototype!! Hata engine ya pikipiki hatuwezi, tutaweza ndege? Kilimo cha sukari na ngsno kimetushinda, tuntrgemea kulishwa na nchi iliyopo vitani ukraine!Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Nivyema sana, ni kitu kinawezekana kwa kufanya "reverse engineering" tu. Ni vitu ambayo vipo duniani.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Weka picha au video tuoneKatika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Vipi bodi ya maziwa?Kati ya taasisi nyingi za serikali, na ambazo hazina manufaa yoyote yale kwa umma, nadhani na SIDO nayo imo.
Karibu sanaJiwe la Msingi linawekwa lini?
Ndoto za mchana.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.