Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Wangeanza kwanza kutengeneza toothpick au hata maguta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawapongeza. Ila ndege itapatiwa maintenance? Au ndo utakuwa kama gari za nyumbu?Mkuu hatuwezi kufika kwa kudharau kila kinachofanywa na Watanzania wenzetu. Waungwe mkono waongezewe wataalamu watafanikisha.
Are they serious?Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Na Wabunge pia.Majaribio wapandishwe cabinet yote ya cc ya ccm hata kwa viboko
Badilisha majani unayovuta!Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
CHANZO CHA HABARI KIKO WAPI?Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.
Hata gari hawana uwezo wa kutengenezaWatengeneze Kwanza ndogo ili wajifunze tokana na makosa kidogo
Njoo tucheke na tulie wote hapa chumbaniNicheke au nilie?
Mkuu; pia uwakumbushe siku ya majaribio wasisahau gudulia la mafuta ya ndege kwani huenda mafuta yakahitajika wakiwa angani.Majaribio wapande wabunge wote wakiongozwa na Supika, na ndege yetu hiyo ya kihistoria chini ya uongozi shupavu wa Mama iende hadi Japan na kurejea nchini kwa mwendo wa km 250 kwa saa!!.
Hongera sana mama anaupiga mwingi, ila nashauri siku ya uzinduzi Rais apewe kipaumbele na cabinet yake yote wai test kutoka Dodoma hadi Dar.Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500.