Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Airbus wamebwaga manyanga kwa dege lao kubwa la A380 lenye uwezo wa kubeba abiria 500+ kutokana na gharama za uendeshaji sembuse SIDO hii ya watengeneza vibatari na majiko ya mkaa. Puliiizi!