and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Sikatai ni wazo zuri, lakini ndege ya abiria 500 ni kubwa sana, ile ndege ya rais wa USA boeing 777(Air force One) ni kubwa kuizidi hata dreamliner 787-8 ya kwetu, na ile 777 inabeba abiria 400, sasa hii ya abiria 500 itakuwaje?
Ni wazo zuri la uthubutu, lakini kwanini wasianze na ndege ndogo ndogo, au watengeneze mabasi ya mwendo kasi, bajaji, au coaster za abiria.
Airbus au boeing wakimaliza kutengeneza ndege huwa inapigwa tests za kufa mtu, wana fridge moja kubwa sana ndege inaingia yote ndani, boeing na ukubwa wake inaingizwa kwenye fridge kutizama kama engines zinaweza handle baridi... wanafanya tests za kila aina, usicheze na uhai wa watu...
Wakimaliza kutengeneza wapande wafanya kazi wote wa SIDO waliotengeneza na familia zao watoto na wake zao.
Ni wazo zuri la uthubutu, lakini kwanini wasianze na ndege ndogo ndogo, au watengeneze mabasi ya mwendo kasi, bajaji, au coaster za abiria.
Airbus au boeing wakimaliza kutengeneza ndege huwa inapigwa tests za kufa mtu, wana fridge moja kubwa sana ndege inaingia yote ndani, boeing na ukubwa wake inaingizwa kwenye fridge kutizama kama engines zinaweza handle baridi... wanafanya tests za kila aina, usicheze na uhai wa watu...
Wakimaliza kutengeneza wapande wafanya kazi wote wa SIDO waliotengeneza na familia zao watoto na wake zao.