Sidumu kwenye mahusiano

Sidumu kwenye mahusiano

Gily Gru
images-1.jpeg
 
Kama kichwa cha hapo imeandika, mimi sijawahi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi sita nitaeleza kwa visa vya wanawake watatu.

Wa kwanza nilidumu nae kwa mwezi mmoja, wakaenda kwao likizo baada ya hapo mahusiano yakaisha akawa ana dharau hata nikimwita mara anisimamishe njiani. Kama siku moja aliniambia nisubiri akatoe hela kwa wakala nikasimama kama robo saa hajatokeza. Kila nikimsemesha hajibu message baadae kabisa akanijibu eti alikuwa bado anatoa hela, huyu demu alikuwa analeta dharau sana

Wa pili alikuwa akiishi Magomeni, basi sasa nikadumu nae kwa miezi kama mitatu. Mwanzoni alikuwa yupo na heshima ila baadae akaanza madharau mpaka kufikia kunitukana, nikaacha a nae.

Wa tatu ndio nilimpenda sanaaaa sijawahi kupenda demu kiasi hiki, nilijitahidi kadri niwezavyo tufurahi pamoja na heshima nilimpa kama zote mwanzo alikuwa na wivu nilichelewa kujibu message anakasirika, nilidumu nae almost 6 months tukaja kuachana kisa simjibu message nikajitetea yakaisha. Sasa miezi kama minne imepita nimesafiri hajawahi kuniulizia chochote nilivyo mwambia kama amezingua akaleta kelele nyingi kwamba simpendi namchezea tu, akasema tuachane kwakuwa sina future nae basi na mimi nikamuitikia na sijawahi kumtafuta tena, ila uliniumiza sana kuachana nae.

Wanawake wote hao na wengine wengi niliowahi kuachana nao sijawahi kuona hata mmoja akinisemesha kunijulia hali

Swali?

Kosa langu ni lipi. Au ni focus kwenye mambo ya maana kama Lusaka noti niachane na mademu daima?
Lete nikuchapie uone km hutafutwi
 
Akilini mwangu Nimewaza nitafute demu hata mkubwa alienizidi kidogo anaonekana hana mambo mengi au nitafute demu bikra kwakua heshima zote atanipa
Mkuu wanawake wanataka mtu anayeeleweka,akiona hakuelewi mambo yako hata huoe nani atakukimbia tu.
Na kingine lazima uoneshe upendo kwa mwanamke hata kwa kuigiza tu Nunua zawadi sana tu na kumjali hata kama unaigiza tu ,hapo ngumu kukuacha hata kama ataenda kwingine atakumbuka unavyomjali hapo hawezi kuondoka.msifie umependeza usiwe mkatili kukasilika kila wakati.

Mwanamke sio tu unamchukua tu unamuweka ndani lazima muwe mnaelewana story nyinyi kama Rafiki pia sio tu kaa hapo tu .

Wanawake tunawawinda muda wote sasa wanaangalia wapi nitakuwa na Furaha ? Muda wote unalinganishwa na mtu.
 
Nipe ushauri sio kunidhihaki madame
Mie nahisi hauko romantic...maana mahusiano mwanzoni inabid mwanaume ujitahid kumteka mwanamke akuone kama mume wake mtarajiwa , ajiskie salama na anapendwa.

Mfano kujibu sms kwa wakati, akimind kidogo unajieleza usikaze sana mwanzo atakuona kama ni hit and run tu na kukupotezea mazima.
 
Kama kichwa cha hapo imeandika, mimi sijawahi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi sita nitaeleza kwa visa vya wanawake watatu.

Wa kwanza nilidumu nae kwa mwezi mmoja, wakaenda kwao likizo baada ya hapo mahusiano yakaisha akawa ana dharau hata nikimwita mara anisimamishe njiani. Kama siku moja aliniambia nisubiri akatoe hela kwa wakala nikasimama kama robo saa hajatokeza. Kila nikimsemesha hajibu message baadae kabisa akanijibu eti alikuwa bado anatoa hela, huyu demu alikuwa analeta dharau sana

Wa pili alikuwa akiishi Magomeni, basi sasa nikadumu nae kwa miezi kama mitatu. Mwanzoni alikuwa yupo na heshima ila baadae akaanza madharau mpaka kufikia kunitukana, nikaacha a nae.

Wa tatu ndio nilimpenda sanaaaa sijawahi kupenda demu kiasi hiki, nilijitahidi kadri niwezavyo tufurahi pamoja na heshima nilimpa kama zote mwanzo alikuwa na wivu nilichelewa kujibu message anakasirika, nilidumu nae almost 6 months tukaja kuachana kisa simjibu message nikajitetea yakaisha. Sasa miezi kama minne imepita nimesafiri hajawahi kuniulizia chochote nilivyo mwambia kama amezingua akaleta kelele nyingi kwamba simpendi namchezea tu, akasema tuachane kwakuwa sina future nae basi na mimi nikamuitikia na sijawahi kumtafuta tena, ila uliniumiza sana kuachana nae.

Wanawake wote hao na wengine wengi niliowahi kuachana nao sijawahi kuona hata mmoja akinisemesha kunijulia hali

Swali?

Kosa langu ni lipi. Au ni focus kwenye mambo ya maana kama Lusaka noti niachane na mademu daima?
Wewe yundu zinakusumbua muone mwaposa.
 
Back
Top Bottom