Sielewi kwanini mtu aliyechakachua msaada wa serikali na kujimilikisha enzi za Kikwete, akaondolewa leo anateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa

Tupunguze sana ' Nongwa ' zetu ambazo nahisi zingine ni ama zinasababishwa tu na Wivu wetu kama ' Waswahili ' au huwa hatupendi kutafuta Ukweli wa Jambo husika.

Kwa Mfano leo tuko hapa tunapiga hii ' Nongwa ' kumhusu Batilda Buriani ila tukiacha ' Unafiki ' wetu ' Uliotukomaa ' Watanzania ( Waswahili ) ni nani ana Ushahidi kamili ( wa kutosha ) kuhusu hizi ' Shutuma ' ambazo tunazielekeza Kwake kutokana na ' Mihemko ' yetu Sisi wana Mitandao?

Halafu ni nani aliyewadanganyeni Watanzania ( Waswahili ) kuwa ukifanya ' Blunder ' sehemu fulani ndiyo huwezi tena kuwa na ' Ufanisi ' wa Kiutendaji sehemu nyingine? Kwani Mtu akiwa amekosea hawezi ' Kujirudi ' na baadae akawa Mtu mzuri tena hata kuliko waliopo au alivyokuwa huko awali?

Tambueni wengine wana Nyota zao pia.
 
Nchi yetu inauzwa kwa pesa za kijinga.. Watu mafisadi kama vijana wafungwe na wafanye kazi ngumu.. Kama ni wazee wauliwe na mali zao zote zitaifishwe na majina yao yakashifiwe kiasi kwamba hata watoto wao wawachukie
 
Mama wa kazi iendele naomba astaafu 2025 ni utani mtupu
 
Ndiyo maana mnapowaitaga wazungu Ni mabeberu nawaonaga kuwa Ni wapumbavu wakubwa.
Kwani wazungu sio mabeberu na magaidi... Ushamba wa mzungu unakubali nchi yako iuzwe.. Nahisi unatamani uzaliwe mzungu
 
Rostam alipokelewa Ikulu na Magufuli mama akiwa makamu.
Kumuweka kibaraka wa Rostam , wewe unamjua Rostam Azizi wewe, unamjua vyema JK! Acha kuongea mambo ya vijiweni! Unaijua Boys to Men! Acha tu, mama amebanwa mbavu
 
Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.
Defence ikizidi tutaanza mgeuka hata tunaomsupport.
Aachwe kivipi? Challenge ni lazima.
Mlisema jiwe aachwe - yaliyotokea wote tunayajua. Hii kuachwa,,, hapana,, akitoka kwenye mstari lazima akumbushwe. La sivyo tutatengeneza dikteta mwingine soon.
 
Kulikua na ulazima wa kutuletea MTU kama Batilda Buriani kweli??

Au mkuu wa mkoa wa Dar??

Hii recycling ya viongozi wale wale Kila awamu mpaka lini

Watuweke wazi tu kuwa kuna Tabaka la watawala na watawaliwa.
Kabisa mkuu.... Hakukuwa na sababu ya kuturudishia hawa watu... Kwa teuzi hizi mi mwenyewe nilishangaa sana...
 
Ni kama tunajidanganya kuwa nchi hii ni yetu (watanzania) wote. Ukiangalia kwa kina utaona sisi wengine (achana na wanaostahili teuzi na kuhamahama nafasi) ni kama wahamiaji ila tu hatuitwi haramu. Hatustahili kupata nafasi yoyote ya kimaamuzi zaidi ya kupangiwa utaratibu wa maisha na tabaka lilelile la miaka na miaka. Keki ya Taifa si ya wote, ni sisi tu ndio tunaoambiwa kuwa tujiulize tumeifanyia nini nchi yetu, sasa hili swali linastahili kusomwa kimasikitiko, hivi tumeifanyia nini nchi yetu mpaka tunapuuzwa hivi?
 
Hakika kabisa. Juzi nlicheka sana wakati hotuba ya bajeti ikisomwa. Zilipokuwa zinatajwa posho za madiwani kuliibuka shangwe hadi spika akawa anashadadia waziri kurudia hiyo statement.
 
CCM kumebaki makapi tupu ndo maana Serikalini hata Bungeni utakuta majina yaleyale ya waliopita na waliopo toka mababu hadi wajukuu. Mfano nzuri wa wakati ni Waziri mmoja kuteuliwa mara tatu na Rais mmoja kushika Wizara tatu tofauti ndani ya kipindi kimoja na kuteuliwa tena na Rais mwingine kushika Wizara ya nne. Sifa zilizoshuhudiwa zikitolewa kwa mteuaji kwa dakika 20 ni maandalizi ya yajayo maana kizazi bado kingalipo. Masikini Kibajaji anapitwa tu ingawa ni mjukuu!
 
Hii ndio kawaida mnapokosa hoja. Whenever you see people speculating about others, just know they are small minds. Haihitaji kuambiwa, wewe jua tu kwamba you are a loser!

How can you start discussing people?? You are talking about Batilda na boys to men as if you know them. Discuss idea, stop discussing people as haisaidii. Mama Batilda is now RC Tabora na wewe na kumjadili kwako haitomfanya now asiwe RC. Mheshimiwa Rais kamteua kamuamini na atafanya kazi aliotumwa. Nyinyi endeleeni kuuliza maswali.

Mmekaa kwa wivu na fitna na majungu mnaombea watu mabaya. Eti Mungu yupo, ni lini Mungu alikuwa hayupo?? Halafu mnafanya kama Mungu ni wenu peke yenu. Losers! Mungu ni wa Mama Samia na Madam Batilda pia.

Na just so you know, kazi inaendelea wewe endelea kulalama.
 
mafumbo ya nini? humjuwi jina? una tofauti gani na hao walioteua?
 
cc stupid kolola
 
Rostam alipokelewa Ikulu na Magufuli mama akiwa makamu.
Huyo ni mropokaji asiejua lolote.

We have a best president in Mama Samia.

Kwa hiyo basi, Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…