SIELEWI MANA YA HUU MSEMO,Msaada please wanajamvi...

SIELEWI MANA YA HUU MSEMO,Msaada please wanajamvi...

Sina nia ya kuwatusi mama zangu,dada zangu,wasichana ,wanawake au mke wangu bt nimesikia na naendelea kusikia msemo mmoja unaopendwa kutumiwa huku mtaani kwetu eti,wanasema wanawake ni kama sahani ya hotelini inatumiwa inaoshwa then anakuja mwingine naye anatumia au wanawake ni kama siti ya daladala unaikalia ,unashuka anakuja mwingine naye anaikalia.....msaada wajameni hii misemo ina mana gani ?
na wanaume ni kama kijiko cha hotelini kinaingia kwenye mdomo wa kila mtu, hapo imekaaje? ngoma droo!!!
 
Ushindwe na Ulegee wewe unayemtukana mama yako tena mzazi... Hata kama umesikia ina maana gani kuleta maneno kama haya katika JF....... Magufuri angekwambia hivi" USHINDWE NA ULEGEE KABISA. Kwa niaba ya wanaume wanaothamini wanawake nawaomba dada zangu wake zetu na mama zetu samahani kwa kosa la huyu mwanaume asiye na shukrani kwa mama yake
 
nadhani ni vyema kuuliza mtaani kwako ambako linatumikazaid
 
i dont understand one thing,najua watu wengi mmeshawahi kusikia huu msemo na mie nikawa mmoja wapo na ndo mana hata nilipoanza nimeanza na apology kuwa sina nia ya kuwatusi jinsia ya kike,lakini kwa kuwa kuna mtu alianza kunihukumu eti nimewatukana kina mama na mtiririko wa comment ukawa kwenye kunihukumu na ndo mtindo uliopo humu jamvini ...akianza mmoja tu wooote wanafuata upande huo huo,sidhani kama nina kosa ktk kuongea hlo...anyways kwa niliyemkwaza SAMAHANI .
 
i dont understand one thing,najua watu wengi mmeshawahi kusikia huu msemo na mie nikawa mmoja wapo na ndo mana hata nilipoanza nimeanza na apology kuwa sina nia ya kuwatusi jinsia ya kike,lakini kwa kuwa kuna mtu alianza kunihukumu eti nimewatukana kina mama na mtiririko wa comment ukawa kwenye kunihukumu na ndo mtindo uliopo humu jamvini ...akianza mmoja tu wooote wanafuata upande huo huo,sidhani kama nina kosa ktk kuongea hlo...anyways kwa niliyemkwaza SAMAHANI .

Mimi ulinikwaza... maana sijaelewa kwanini ulileta hii sredi. Maana una uhakika kabisa kwenye nafsi yako kwamba unaelewa maana ya hiyo misemo!!!!!
NIMEKUSAMEHE, UWE NA AMANI. Kumbuka Siku nyingine usiulize maswali ambayo majibu yake unayo mwenywe!!!

K
 
kama ni ya mtaani kwenu si uwaulize wa huko mtaani kwenu?
 
Sina nia ya kuwatusi mama zangu,dada zangu,wasichana ,wanawake au mke wangu
kumbe ulishajua kama hayo maneno yana maana mbaya na ndio maana umeanza kwa kujihami.

Maneno ya mtaani yaache mtaani mheshimiwa au umesahau kuwa jf is the home of great thinkers?
 
kumbe ulishajua kama hayo maneno yana maana mbaya na ndio maana umeanza kwa kujihami.

Maneno ya mtaani yaache mtaani mheshimiwa au umesahau kuwa jf is the home of great thinkers?

husninyo bt hata sie ma-great thinkerz si tunaishi mitaaani,anyways nimeelewa nimeteleza,nimekosea na ninakiri kama nimeteleza,haya tugange yajayo mkuu.
 
Nakupenda mama nakuheshimu, nakujali, nakuthamini na nitaendelea kukuheshimu. Nani kama mama?
 
husninyo bt hata sie ma-great thinkerz si tunaishi mitaaani,anyways nimeelewa nimeteleza,nimekosea na ninakiri kama nimeteleza,haya tugange yajayo mkuu.

nimefurahi kama umelitambua hilo. Ngoja nikugongee thanks kabla cjasahau.
 
Sina nia ya kuwatusi mama zangu,dada zangu,wasichana ,wanawake au mke wangu bt nimesikia na naendelea kusikia msemo mmoja unaopendwa kutumiwa huku mtaani kwetu eti,wanasema wanawake ni kama sahani ya hotelini inatumiwa inaoshwa then anakuja mwingine naye anatumia au wanawake ni kama siti ya daladala unaikalia ,unashuka anakuja mwingine naye anaikalia.....msaada wajameni hii misemo ina mana gani ?
ebu nitokee hapa, kwani mwanaume hawezi kuwa sahani ya hotelini ukimaliza inaoshwa anatumia mwingine? au haiwezi kuwa cti ya dala dadala ukishuka anapanda mwingine? au coz wewe ni mkaka so ukaamua kulitupia hili suala kwa wadada?
 
nzirie! Unatuchanganya.
Kama usingejua maana mbona umesema sio lengo lako kuwatusi akina mama?
Umejua maana ila unahitaji ujulishwe zaid hizo maana. Ungeipeleka jukwaa la lugha. Samahan kama utasikitika!
 
Back
Top Bottom