Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
huyu atakuwa na akili ya bongo movie stars, wakihojiwa ktk TV huwa wanapenda chomokea kiingereza wakati wanafiri kinyakyusa, mwishowe wanachanganya "right na Light", "Lice na Rice", "Rap na Rape na Lap, Lape","Brother an Blazzer".....flow nzima ndiyo.
Naomba JK akiondoka na kuja Rais nitapenda uje changia...kazi za network na mitandaoa fulani inayokupa motisha soon ikiurugika unaweza rudia akili kidogo.
Dar is the simplest City to conquer when you desire,but finally you become trapped in ego......ndio maana kila baada ya kuda fulani, dara hushangaa watu fulani role models kutoka mikoani hadi dar.
BY the way hata jamaa waliokuwa akijiipua Ulaya ,walikuwa na fikra km hizi, sasa wana wanashangaa wenzao wamejenga nchi na kujenga maisha yao.Ndio nao wanajirudisha.
Baada ya maisha ya kitapeli, ya deci deci, forever living na unga, na network za kifisadi na kutumika watu kufiia saturated akili itakurudia.
By now hembe maintain mwili kwanza usiwe km rhino....ukijiaminisha nguo za bei zitakupendezesha.
Naomba JK akiondoka na kuja Rais nitapenda uje changia...kazi za network na mitandaoa fulani inayokupa motisha soon ikiurugika unaweza rudia akili kidogo.
Dar is the simplest City to conquer when you desire,but finally you become trapped in ego......ndio maana kila baada ya kuda fulani, dara hushangaa watu fulani role models kutoka mikoani hadi dar.
BY the way hata jamaa waliokuwa akijiipua Ulaya ,walikuwa na fikra km hizi, sasa wana wanashangaa wenzao wamejenga nchi na kujenga maisha yao.Ndio nao wanajirudisha.
Baada ya maisha ya kitapeli, ya deci deci, forever living na unga, na network za kifisadi na kutumika watu kufiia saturated akili itakurudia.
By now hembe maintain mwili kwanza usiwe km rhino....ukijiaminisha nguo za bei zitakupendezesha.