Pre GE2025 Sifa anazopewa Rais Samia, katika mikutano ya hadhara, nyingine hazimstahili

Pre GE2025 Sifa anazopewa Rais Samia, katika mikutano ya hadhara, nyingine hazimstahili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.

Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!

Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??

Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.

Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.

Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.

Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚

Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa

Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025

Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma

Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚

Mungu ibariki Tanzania
 
Kwanza nimshukuru mama Samia kwa kuiona hii thread.

Tukirudi kwenye hoja yako ni Nyerere peke yake ndio alikuwa mwenye uwezo wa kukemea upuuzi, alishawaambia maccm wanamuumiza sana puwa kwa harufu ya rangi mpya kila anapokwendaz wakitaka ukarabati wafanye kwa muda wao siyo mpaka wasikie anakuja alilikataa hilo, enzi za mwalimu unathubutu vipi kujiita chawa wa Nyerere?

Magufuli ndio alikuwa anafurahia huu upuuzi, Samia tutamlaumu bure wala hausiki.
 
Kwanza nimshukuru mama Samia kwa kuiona hii thread.

Tukirudi kwenye hoja yako ni Nyerere peke yake ndio alikuwa mwenye uwezo wa kukemea upuuzi, alishawaambia maccm wanamuumiza sana puwa kwa harufu ya rangi mpya kila anapokwendaz wakitaka ukarabati wafanye kwa muda wao siyo mpaka wasikie anakuja alilikataa hilo, enzi za mwalimu unathubutu vipi kujiita chawa wa Nyerere?

Magufuli ndio alikuwa anafurahia huu upuuzi, Samia tutamlaumu bure wala hausiki.
Hakika pesa zetu walipa Kodi, zinaangamizwa na hawa watawala wetu, wasio na huruma hata kidogo na maisha magumu sana, tunayopitia hivi sasa
 
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
 
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Kama ni Magufuli ndiye aliyeanzisha mtindo huu mbovu, kulikuwa na haja Gani Kwa Rais Samia, kuendeleza upuuzi huo, wakati hao watu wawili Wana tofauti kubwa sana kiutendaji??
 
Kama ni Magufuli ndiye aliyeanzisha mtindo huu mbovu, kulikuwa na haja Gani Kwa Rais Samia, kuendeleza upuuzi huo, wakati hao watu wawili Wana tofauti kubwa sana kiutendaji??
Wana tofauti gani? Labda kwa vile mmoja mwanaume na mwingine mwanamke na mmoja ana roho mbaya ya asili na mwingine ana roho mbaya ya kuiga lakini mengine yote wapo sawa hasa ukizingatia wote ni CCM tusidanganyane.
 
Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.

Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!

Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??

Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.

Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.

Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.

Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚

Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa

Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025

Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma

Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚

Mungu ibariki Tanzania
Sifa lazima apewe Mkuu wa mhimilinwa Serikali maana kikatiba ndio Mtendaji Mkuu ,wewe ulitaka apewe nani na Kwa mantiki ipi?

Serikali ya Rais Samia imetoa pesa Kwa sababu pia ndio yenye wajibu wa kutafuta pesa,hakuna maelezo mengine tofauti na haya zaidi ya kumwagia sifa Kwa kazi nzuri aliyoifanya na iliyotukuka.

Kuanzia kumimina mabilioni kwenye miradi Hadi maelfu ya Ajira.Tunaendelea kumwagia Fais Samia maua yake 👇👇

View: https://twitter.com/ajirapsrs/status/1819785492537246174?t=fXSN6gLA5mAhH6HDLpaZsA&s=19
 
Mimi ninapenda kumshukuru mama kwa kuwezesha mitandao ya simu kufanya kazi hapa nchini bila mama tusingekuwa na intaneti na tusingeuona huu uzi, hivyo basi lazima hata wewe umshukuru mama
 
Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.

Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!

Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??

Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.

Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.

Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.

Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚

Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa

Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025

Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma

Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚

Mungu ibariki Tanzania
zinamstahili zote
 
Kwanza nimshukuru mama Samia kwa kuiona hii thread.

Tukirudi kwenye hoja yako ni Nyerere peke yake ndio alikuwa mwenye uwezo wa kukemea upuuzi, alishawaambia maccm wanamuumiza sana puwa kwa harufu ya rangi mpya kila anapokwendaz wakitaka ukarabati wafanye kwa muda wao siyo mpaka wasikie anakuja alilikataa hilo, enzi za mwalimu unathubutu vipi kujiita chawa wa Nyerere?

Magufuli ndio alikuwa anafurahia huu upuuzi, Samia tutamlaumu bure wala hausiki.
Samia alishasema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Sasa hivi hata magazeti hayana habari za kusomeka na watu wenye akili, karibu yote ni kumsifia Samia kila siku
 
Samia alishasema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Sasa hivi hata magazeti hayana habari za kusomeka na watu wenye akili, karibu yote ni kumsifia Samia kila siku
Hakika
Wenye magazeti wanayaua magazeti yao makusudi na badala yake watu tunahamia Kwenye mitandao ya kijamii, kama vile mtandao maarufu kabisa hapa nchini wa JF, Ili tuweze kupata taarifa sahihi na siyo za uchawa
 
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Nchi imejaa misifa ya kijinga haswa
 
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Wewe jamaa kiazi kweli kwani hapo tazara anapita Magufuli na familia yake tu au hapo salenda unapopasema??
 
Back
Top Bottom