Pre GE2025 Sifa anazopewa Rais Samia, katika mikutano ya hadhara, nyingine hazimstahili

Pre GE2025 Sifa anazopewa Rais Samia, katika mikutano ya hadhara, nyingine hazimstahili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Hivi kama mtu ulikuta upuuzi unafanyika nawe ukauendeleza, tafsiri yake ni nini?
 
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Ni kweli kabisa, muasisi wa upuuzi wote unaotokea hapa nchini, muasisi wake ni Mwendazake.

Hivi hiyo misafara ya Rais kuambatana na askari kadhaa, wakiwa wameshika mabunduki ya kivita, halafu bado watawala wetu, wanatwambia kuwa nchi yetu ni kisiwa Cha amani!😗
 
Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.

Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!

Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??

Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.

Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.

Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.

Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚

Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa

Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025

Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma

Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚

Mungu ibariki Tanzania
Shida ipo kwetu wapiga kura amini nakwambia CCM waote hawazidi 15m nchi nzima sisi tupo zaidi ya 40m ambao cyo wanachama halisi unaweza kujiuliza tuna kwama wapi
 
Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.

Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!

Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??

Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.

Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.

Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.

Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚

Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa

Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025

Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma

Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚

Mungu ibariki Tanzania
Anazipenda na anazifurahia.
 
Wewe jamaa kiazi kweli kwani hapo tazara anapita Magufuli na familia yake tu au hapo salenda unapopasema??
Kwani yeye nani hadi nifikiri hivyo kama wewe unamuabudu muabudu wewe usilazimishe kila mtu afanye kama wewe,kiazi wewe na huyo bwana wako.
Mjusi wewe.
 
Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.

Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!

Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??

Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.

Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.

Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.

Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚

Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa

Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025

Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma

Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚

Mungu ibariki Tanzania
Wanampumbaza ili waibe zaidi nayeye hashituki, subiri watakavyomnanga akitoka madarakani, haohao watesema nchi ilikuwa kwenye auto pilot
 
Kwani yeye nani hadi nifikiri hivyo kama wewe unamuabudu muabudu wewe usilazimishe kila mtu afanye kama wewe,kiazi wewe na huyo bwana wako.
Mjusi wewe.
Hivi kwani ni lazima kila mtu ajue kuwa wewe ni mjinga??
 
Nikikumbuka ya March 2021 nahisi yatajirudia
 
Mama anaupiga mwingi hadi unamwagika na kumfanya Luca kububujikwa machozi ya furaha mda wote.

Mi namsifia Bimkubwa bila unafki kwenye SGR ila maua yangu nitampa reli zikifika Kigoma na Mwanza, tena Maza awahi kumaliza ujenzi kabla Kenya hawajamaliza maandamano na kumalizia reli yao kutoka Naivasha na kufika Kisumu Busia mpakani na Uganda.

Tuendelee kuwaombea Kenya waendelee kudidimia kwenye ufisadi na ukabila na maandamano huku sisi tz akili kubwa bila makeke na sifa za jobless kuvaa suti tunajenga nchi.
 
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Kama ni makufuli ndio muasisi basi ni kweli maana makufuli alikuwa muasisi wa miradi yoote ya maendeleo mama samia kaja kusimamia TU. Kusifiwa makufuli ilikuwa haki yake ni mtu aliyeifungua tanzania kwenye maaendeleo na miradi leo hii miaka mitatu ya mama samia hakuna alichokifanya zaidi ya kusimamia miradi iliyofanywa na makufuli. tena angekuwepo mwenyewe miradi yote ilikuwa imeisha 2023 mama kasimamia lakini kazi zinaenda polepole mpaka tunachoka na pesa kuliwa sana bado miradi haziishi na usimamizi mbovu
 
Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Pamoja na kwamba Samia hastahili kupewa sifa ya mradi huu, Ila tukisema ni wa Katto basi tunakosea,
Basi ni wa Mkapa aliyeuasisi SGR na mengine


Britanicca
 
Back
Top Bottom