Hivi kama mtu ulikuta upuuzi unafanyika nawe ukauendeleza, tafsiri yake ni nini?Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Ni kweli kabisa, muasisi wa upuuzi wote unaotokea hapa nchini, muasisi wake ni Mwendazake.Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Shida ipo kwetu wapiga kura amini nakwambia CCM waote hawazidi 15m nchi nzima sisi tupo zaidi ya 40m ambao cyo wanachama halisi unaweza kujiuliza tuna kwama wapiImekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.
Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!
Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??
Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.
Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.
Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.
Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚
Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa
Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025
Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma
Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚
Mungu ibariki Tanzania
Anazipenda na anazifurahia.Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.
Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!
Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??
Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.
Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.
Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.
Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚
Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa
Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025
Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma
Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚
Mungu ibariki Tanzania
Ni kweli ulichosema Thomson mtau 👏👏Shida ipo kwetu wapiga kura amini nakwambia CCM waote hawazidi 15m nchi nzima sisi tupo zaidi ya 40m ambao cyo wanachama halisi unaweza kujiuliza tuna kwama wapi
Kwani yeye nani hadi nifikiri hivyo kama wewe unamuabudu muabudu wewe usilazimishe kila mtu afanye kama wewe,kiazi wewe na huyo bwana wako.Wewe jamaa kiazi kweli kwani hapo tazara anapita Magufuli na familia yake tu au hapo salenda unapopasema??
Wote wapuuziHivi kama mtu ulikuta upuuzi unafanyika nawe ukauendeleza, tafsiri yake ni nini?
Wanampumbaza ili waibe zaidi nayeye hashituki, subiri watakavyomnanga akitoka madarakani, haohao watesema nchi ilikuwa kwenye auto pilotImekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.
Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!
Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??
Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.
Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.
Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.
Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚
Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa
Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025
Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma
Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚
Mungu ibariki Tanzania
"Inakujaa,,Inakataa"(in T.I.D's Voisi)Yaani siasa kama haielewiki!
Hivi kwani ni lazima kila mtu ajue kuwa wewe ni mjinga??Kwani yeye nani hadi nifikiri hivyo kama wewe unamuabudu muabudu wewe usilazimishe kila mtu afanye kama wewe,kiazi wewe na huyo bwana wako.
Mjusi wewe.
Kama wewe na yule bwege mwenzio.Hivi kwani ni lazima kila mtu ajue kuwa wewe ni mjinga??
Kama ni makufuli ndio muasisi basi ni kweli maana makufuli alikuwa muasisi wa miradi yoote ya maendeleo mama samia kaja kusimamia TU. Kusifiwa makufuli ilikuwa haki yake ni mtu aliyeifungua tanzania kwenye maaendeleo na miradi leo hii miaka mitatu ya mama samia hakuna alichokifanya zaidi ya kusimamia miradi iliyofanywa na makufuli. tena angekuwepo mwenyewe miradi yote ilikuwa imeisha 2023 mama kasimamia lakini kazi zinaenda polepole mpaka tunachoka na pesa kuliwa sana bado miradi haziishi na usimamizi mbovuMagufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Pamoja na kwamba Samia hastahili kupewa sifa ya mradi huu, Ila tukisema ni wa Katto basi tunakosea,Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Mama yako mzazi eeh.Kama wewe na yule bwege mwenzio.