Jpm aliifanya mirad kuwa yake kwa kuimalizia ? ulitaka asimalizie ? au aliipa majina yake ? au aliandikisha umiliki wake?Magufuli ndiye muasisi wa hayo pamoja na kupora miradi aliyoikuta ikitekelezwa ila ilimalizika wakati akiwa madarakani na kuifanya yake na miradi iliyokwisha tayarishwa na kusubiri utekelezaji tu hiyo yote aliifanya kuwa yake kama flyover za tazara na ubungo na daraja la salenda,hivyo acheni kumuonea Samia yeye anaendeleza tu.
Kama mlivyokuwa mkimsifia Magufuli na yeye msifieni.
Tena za kipumbavu! Kumpamba vile kama Mungu mtu ni hatari sana sana!Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.
Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!
Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??
Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.
Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.
Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.
Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚
Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa
Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025
Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma
Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚
Mungu ibariki Tanzania
Hakuna jipya kwa sababu hali hii haijaanzia awamu ya 6, ilianza tangu awamu ya 4 ika mature awamu ya 5 na kuendelea hadi awamu hiiImekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.
Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!
Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??
Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.
Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.
Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.
Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚
Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa
Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025
Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma
Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚
Mungu ibariki Tanzania
Kwanza nimshukuru mama Samia kwa kuiona hii thread.
Tukirudi kwenye hoja yako ni Nyerere peke yake ndio alikuwa mwenye uwezo wa kukemea upuuzi, alishawaambia maccm wanamuumiza sana puwa kwa harufu ya rangi mpya kila anapokwendaz wakitaka ukarabati wafanye kwa muda wao siyo mpaka wasikie anakuja alilikataa hilo, enzi za mwalimu unathubutu vipi kujiita chawa wa Nyerere?
Magufuli ndio alikuwa anafurahia huu upuuzi, Samia tutamlaumu bure wala hausiki.
Nadhani shida ni kwamba you just don’t like the ruling partyImekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.
Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!
Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??
Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.
Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.
Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.
Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚
Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa
Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025
Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma
Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚
Mungu ibariki Tanzania
Alışığına kWa kila kituSidhani kuwa Magufuli alikuwa anasifiwa kwa kutoa hela kwa ajili ya miradi hiyo Bali alikuwa anasifiwa kWa kuanzisha na kusimamia miradi hiyo kwa karibu sana. Kinachonishangaza zaidi siku hizi kila mradi ni mabilioni mengi sana ya pesa.
Siyo kwamba ametoa hela; leta video clip inayosema alıyosanız hela za mradiAlışığına kWa kila kitu
1. Ccm ya magufuli
2. Tanzania ya magufuli
3. Pesa za magufuli
4. Bwawa la magufuli
5. Fıkra za magufuli
Itaku na kumbukumbu fupi sanaSiyo kwamba ametoa hela; leta video clip inayosema alıyosanız hela za mradi
Nina kumbuka vizuri sana. Magufuli alikuwa anatamba kuwa pesa hizo zilikuwa zinapigwa sana zamanı na wa janja ila sasa zinafanya mambo kuendeleza nchiItaku na kumbukumbu fupi sana
Dogo chenga huyo.Yamekuws hayo??😎
Angeacha kuendeleza hiyo miradi akaanzisha ya kwake..ungekuja hapa na povu lako la chuki pia..Tulia mama aijenge nchi..Kama ni makufuli ndio muasisi basi ni kweli maana makufuli alikuwa muasisi wa miradi yoote ya maendeleo mama samia kaja kusimamia TU. Kusifiwa makufuli ilikuwa haki yake ni mtu aliyeifungua tanzania kwenye maaendeleo na miradi leo hii miaka mitatu ya mama samia hakuna alichokifanya zaidi ya kusimamia miradi iliyofanywa na makufuli. tena angekuwepo mwenyewe miradi yote ilikuwa imeisha 2023 mama kasimamia lakini kazi zinaenda polepole mpaka tunachoka na pesa kuliwa sana bado miradi haziishi na usimamizi mbovu
Hujielewi,wewe sawa na msukule.Kama ni makufuli ndio muasisi basi ni kweli maana makufuli alikuwa muasisi wa miradi yoote ya maendeleo mama samia kaja kusimamia TU. Kusifiwa makufuli ilikuwa haki yake ni mtu aliyeifungua tanzania kwenye maaendeleo na miradi leo hii miaka mitatu ya mama samia hakuna alichokifanya zaidi ya kusimamia miradi iliyofanywa na makufuli. tena angekuwepo mwenyewe miradi yote ilikuwa imeisha 2023 mama kasimamia lakini kazi zinaenda polepole mpaka tunachoka na pesa kuliwa sana bado miradi haziishi na usimamizi mbovu
Kwenye comment yangu hakuna sehemu nimesema hiyo miradi ya huyo sijui Katto! Kwanza simjui.Pamoja na kwamba Samia hastahili kupewa sifa ya mradi huu, Ila tukisema ni wa Katto basi tunakosea,
Basi ni wa Mkapa aliyeuasisi SGR na mengine
Britanicca
Msukule wewe sijui kwanini na hujaenda kuzikwa na aliyekuwa anakufuga! Ndiyo maana unaangaika kwa sababu hakuna wa kukuletea unga huko ulipofungiwa.Mama yako mzazi eeh.
Msukule hujielewi.Jpm aliifanya mirad kuwa yake kwa kuimalizia ? ulitaka asimalizie ? au aliipa majina yake ? au aliandikisha umiliki wake?
Machawa wa mama huwa hamchoki kumtupia lawama Jpm kwa makosa ya mama
Do you know the meaning of the term "Political Hypocrisy" ?? And the term "bootlicking"???Imekuwa ni mtindo wa kawaida kabisa hivi sasa, katika Kila mkutano wa hadhara anayoifanya Rais Samia, wateule wake wanampa sifa nyingi, ambazo nyingine hazimstahili.
Huwa najiuliza, katika miradi mingi ya maendeleo huko mikoani, sifa zote anapewa Rais Samia na kitu ambacho naamini hakiko sawa ni hao wateule kumshukuru Rais kuwa ndiye aliyetoa pesa za miradi hiyo, utadhani kuwa Rais Samia, anazitoa mifukoni mwake!
Hivi kama hao wateule wanampa sifa hizo za kutoa pesa za miradi, huwa najiuliza, hivi vile vikao vya Bunge, vinavyoketi Kwa kipindi kirefu Kila mwaka, Ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali, huwa inakuwa ni kiini macho, iwapo pesa zote anazitoa Rais, pale anapojisikia??
Najua hicho wanachofanya hao wateule wa Rais, ni mkakati ambao wamekubaliana kama chama, katika vikao vyao.
Sasa niwaeleze hao wateule wa Rais, kuwa hicho mnachokifanya kina ",impact" mbaya sana Kwa siku zijazo.
Kwa kuwa huo mchezo mnaoucheza, Kwa mawazo yenu, mkidhani mnafanya vyema katika kukiimarisha chama chenu na mkidhani hiyo ndiyo njia Bora nzuri ya kutafuta kura Kwa mwaka ujao wa uchaguzi.
Hivi hao wapiga kura mnaowapiga "fix" kuwa Fedha zote ametoa Mama kutoka "mifukoni" mwake, watakapowauliza, pale mtakapokuja kwao kuomba kura Katika uchaguzi Mkuu huku mkijieleza kuwa mnaomba kura zao Kwa kutoa orodha ya miradi, ambayo mtadai kuwa mmetekeleza nyinyi, swali litakalowarudia, ni Kwa vipi nyinyi wabunge mdai kuwa miradi hiyo mmetekeleza nyiye, wakati majuzi tu mlitamka kuwa miradi hiyo ameikamilisha Rais Samia, baada ya kumshukuru yeye, kama vile pesa hizo anazitoa toka "mifukoni" mwake?😚
Jambo lingine ambalo nadhani linafanywa Kwa kuvunja sheria ni Kwa huyo Mkuu wa nchi kufanya ziara hizo, ikionekana wazi kuwa kaanza kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwakani, mapema kabla "kipyenga" hakijapulizwa
Tunaonba Tume ya uchaguzi, imkemee Rais na kumwambia kuwa, Kwa mujibu wa ratiba yao Tume ya uchaguzi, muda wa kuanza kampeni bado kuanza na inategemewa kuanza mwakani 2025
Vile vile katika ziara hizo, yanatumika mabilioni ya pesa, ambazo ni pesa zetu walipa Kodi, mathalani ni hizo ziara "kukusanya" karibu mawaziri wote wa JMT, Kwenye misafara ya magari yasiyopungua 100, ambayo ni matumizi mabaya kabisa ya pesa ya Umma
Yaani Kwa tafsiri nyingine, ni kama hizo wizara zimeajiri "watoro" makazimi mwao😚
Mungu ibariki Tanzania