Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Mpare mchoyo sana na mroho ki ukweli mpaka uwa nikishaona demu uyu mpare hamu inaisha
Ila nimesikia wanawake wa kipare ukioa hasa kama wewe ni kabla tofauti huwezi chepuka maana mapishi wanajua halafu hawatakubali wewe kama mume wake uaibike kifedha kicheo n.k
Then wanaume hali kadhalika ila ni wajanja wajanja hasa kwa mambo ya wanawake.
Ila sifa yao nimesikia kuwa kwa ujumla ni watu wa maendeleo wanapenda shule na ndio maana pamoja na uchache wao ila wameshika nyadhifa nyingi kwenye uongozi.
Mwenye kututhibitishia hili atusaidie pia.
 
Mbona kuhusu ndumba hujasema au umesahau kigoma ndio mwisho wa reli chuo kikuu cha ushirikina sub saharan africa
hivi kuna wanawake washirikina nchi hii kama wachaga au tutoe Siri, wanyakusya,warangi ,wanyamwezi waasis wa limbwata, wanawake wa tanga na Pemba. Ndugu mambo ya ushirikina kwa nchi usiombe,hapo bado wakerewe,na wahaya
 
Wagogo: wazuri wanawake ila kwa uvivu ndo wenyewe wanawake wanaume ni wavivu sana.
Ndo maana hawaishi kuomba ilmradi tu kuomba utasikia "naomba chochote"

Warangi: ni wazuri wa sura vitu vyeupeee utadhani waarabu ila sasa mhh mwakitombile, warangi ni kiboko.

Wasukuma: wazuri wa mwonekano, wakarimu sana ndo maana mara nyingine wanaonekana mafalah sio ufalah ni ukarimu uliopitiliza, usiombe kukuta baadhi ya wasukuma wamefanikiwa ndo zinakua type hizi tunazozijua hapa.

Wairaq/wa mbulu: wazuri sana sura na shape zao ila wakorofi hatari, pia nao sio wachoyo kama warangi, afu hawa kugongana ndugu kwa ndugu sio ajabu.
daaa upo vzur unayachimbua wapi haya namm nikachimbe?
 
Wachagga;Wabina.fsi,hawana utu mbele ya pesa au Mali,wakabila
 
Ila nimesikia wanawake wa kipare ukioa hasa kama wewe ni kabla tofauti huwezi chepuka maana mapishi wanajua halafu hawatakubali wewe kama mume wake uaibike kifedha kicheo n.k
Then wanaume hali kadhalika ila ni wajanja wajanja hasa kwa mambo ya wanawake.
Ila sifa yao nimesikia kuwa kwa ujumla ni watu wa maendeleo wanapenda shule na ndio maana pamoja na uchache wao ila wameshika nyadhifa nyingi kwenye uongozi.
Mwenye kututhibitishia hili atusaidie pia.
Sio wapare tu hadi wachaga mapishi ni buyyuuuuuuu!!
 
Kabila langu Wazanaki-wanapenda nyama sana tunasimuliwa miaka ya zamani walihawi kupanda nyama wakitegemea itaota.
Ukitaka kukorofishana na mzee wa kizanaki mpe ugali kwa mboga za majani-hivyo hvyo kwa Wakurya maana mama yangu ni mkurya nao ninawajua vilivyo
Siri ya baba wa taifa kutokua na kitambi ni nini?
 
WEWE WASEMA, TUSIBISHANE MIMI KAMA MGOGO NAJUA UKWELI WAKE.
kama wewe ni wachilonwa labda kidoogo unatofauti lakini wenzio huku ni wapo hivyo mkuu .hata umsaidiaje hana shukrani na mijeuri isiyo ya msingi
 
Mgogo ukitaka umfaidi, mwajiri mpe kazi ya kwenda kuomba, ikifika saa saba mchana keshaleta hesabu. Nataka nifanye hii project ya kuajiri wagogo wakaombe mchana walete hesabu. Hali ngumu ati!!!
😀😀😀😀😀
Hiyo kazi wanaweza vizuri sana
Kuna mdada mmoja huwa anatembea na cheti cha hospital, anaomba elf moja ukimwambia sina anakuambia basi ninunulie pepsi ya baridi huku amekunja sura yani yupo serious
 
Wanyakyusa: wanawake wana miili ya kuchezea mieleka wanene wamepanda hewani, ni wakarimu kwakweli ila kwa ubabe pia mmmh

Waha: wengi wao wafupi, wana bidii sana ya kazi, wengi wao waaminifu sana, ila kwa ubishi jamani mweh muha anaweza kuwa wa kwanza duniani kwa ubishi, na kwenye ushirikina wapo vizuri

Wapare: wengi wao wafupi, wazuri wa sura ila wapare wana roho mbaya mi binafsi Sijawahi kukutana na mpare mwenye roho nzuri.

Wakurya: hawa jirani zangu mi mwenyewe huwa nawaogopa sana, ni wakatili mno, mkurya akikuambia nitakuchinja hata kama ni utani ndugu yangu kimbia speed kali hadi miguu iguse kichwa
Hapo kwa wapare kijana nitakuteka.
 
Back
Top Bottom