Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

😀😀😀😀😀
Hiyo kazi wanaweza vizuri sana
Kuna mdada mmoja huwa anatembea na cheti cha hospital, anaomba elf moja ukimwambia sina anakuambia basi ninunulie pepsi ya baridi huku amekunja sura yani yupo serious
Evelyn umeniua mbavu aseee.....eti ninunulie pepsi
 
Yaelekea una muda mrefu hujarudi usukumani.
 
Serious na mapenzi mubashara.
Ukizingua limbwata.
Ukitulia no stress.
Too stailish.
Hawapendi ubinafsi.
Wali samaki ndo kazi huuita "MSeli".
Sio washamba wanaelewa mengi, ni vizuri kuwauliza na kuishi nao kwa akili, ukijifanya wa mabavu unaogeshwa tope maana pale kwao ni pwani kasoro.
Ukitaka mapenzi safi ya ndoa watafute hutachepuka tena watakunyoosha.
Wapogoro.ifakara
 
Point less

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
weweee!
 
Ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…