Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

😀😀😀😀😀
Hiyo kazi wanaweza vizuri sana
Kuna mdada mmoja huwa anatembea na cheti cha hospital, anaomba elf moja ukimwambia sina anakuambia basi ninunulie pepsi ya baridi huku amekunja sura yani yupo serious
Evelyn umeniua mbavu aseee.....eti ninunulie pepsi
 
We unajifanya unajua lakin hujui lolote.Hata ukiendesha sensa humu jf utapata matokeo kuwa hakuna kabila linaongoza Tanzania kwa kuwa na roho nzuri na ukarimu kama wasukuma.Huwezi kwenda kwa msukuma ukaondoka hajakukirimu katika kiwango cha hali ya juu,hii ni kwasbb wasukuma ni wachapakazi sana na hakunaga njaa usukumani.Ni wapole na wenye tabia nzuri.Hii pia ipo kwa wanyamwezi,maana kiasili msukuma ni mnyamwezi,its a matter nini kilitangulia kati ya yai na kuku.Hata wachaga hawana roho mbaya..its just that they want everybody to be independent and successfulUkiniambia mi niishi na kabila gani,nitakuambia mchaga,kwasababu hana wivu na anataka wote muendelee
Yaelekea una muda mrefu hujarudi usukumani.
 
Serious na mapenzi mubashara.
Ukizingua limbwata.
Ukitulia no stress.
Too stailish.
Hawapendi ubinafsi.
Wali samaki ndo kazi huuita "MSeli".
Sio washamba wanaelewa mengi, ni vizuri kuwauliza na kuishi nao kwa akili, ukijifanya wa mabavu unaogeshwa tope maana pale kwao ni pwani kasoro.
Ukitaka mapenzi safi ya ndoa watafute hutachepuka tena watakunyoosha.
Wapogoro.ifakara
 
MIMI UZULI WANGU NIMESHAKUWA NA MAHUSIANO NA WADADA KIPARE KAMA WANNE HIVI KATIKA MAPENZI.

UKWELI NI KWAMBA NA WADADA WENGI WA KIPARE NI WAVUMILIVU SANA NA WANA HESHIMU SANA WANAUME .....

NA HII INATOKANA WADADA WENGI WA KIPARE NI WASABATO NA WAISILAMU.

UKWELI NI KWAMBA MTU ALIYEKULIA KATIKA DINI YA SABATO AU UISILAMU HUWA NI MVUMILIVU KWAIYO MKUU HAYO YOTE UNAYAONA HAPO NI SABABU YA SABATO NA UISILAMU IMEJENGA
Point less

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Wanyakyusa: wanawake wana miili ya kuchezea mieleka wanene wamepanda hewani, ni wakarimu kwakweli ila kwa ubabe pia mmmh

Waha: wengi wao wafupi, wana bidii sana ya kazi, wengi wao waaminifu sana, ila kwa ubishi jamani mweh muha anaweza kuwa wa kwanza duniani kwa ubishi, na kwenye ushirikina wapo vizuri

Wapare: wengi wao wafupi, wazuri wa sura ila wapare wana roho mbaya mi binafsi Sijawahi kukutana na mpare mwenye roho nzuri.

Wakurya: hawa jirani zangu mi mwenyewe huwa nawaogopa sana, ni wakatili mno, mkurya akikuambia nitakuchinja hata kama ni utani ndugu yangu kimbia speed kali hadi miguu iguse kichwa
weweee!
 
wachaga(wamarangu) :wastaarabu sana, wengi ni wazuri na watanashati. watafutaji wazuri wa eleri(pesa). wanaheshima, wanapendana, hawana ubinafsi kama wapare. sio washirikina kama wasambaa, wapole, wanapenda kujenga kwao,wanawai kumiliki magar kwa umri mdogo. waaminifu kwenye mapenzi.
Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom