Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Uzuli ni uzuriMIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.
NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......
1.MNYIKA NI MPARE
2.HALIMA. MDEE NI MPARE
3.ZUNGU NI MZUNGU
4.MWITA WAITARA NI MKURYA
5.BONNA KALUWA NI MUHAYA
6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI
7.MEYA WA JIJI NI MKURYA
HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
MIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.
NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......
1.MNYIKA NI MPARE
2.HALIMA. MDEE NI MPARE
3.ZUNGU NI MZUNGU
4.MWITA WAITARA NI MKURYA
5.BONNA KALUWA NI MUHAYA
6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI
7.MEYA WA JIJI NI MKURYA
HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
Lolote except muhaya, mkurya, mrangi na muhaIf you were a man ungeoa kabila lipi mtumishi ?
WATANZANIA KARIBIA WOTE WANA ROHO MBAYAAAAA SIO WAPARE WALA WAHAYA WALA WAKURYA SIO WASUKUMA MIMI NAONA KARIBIA WOTE WANA ROHOO MBAYAAAAAAAAAAAA.Wapare ni wabahili pia wana roho mbaya, kuna siku nlikutana na mdada kwenye bus, akawa ananipa story ya shoga ake anamfanyia visa, anafanya mambo kwa binafsi n.k n.k nikamuuliza rafiki ako ni mpare? Akajibu ndio... Nilicheka, Wapare wana roho mbaya
Mmagoma ni wa wapi silijui hiloWe unayejieleza sana kabila gani au mmagoma kama Mimi maana sisi hatunaga kwele
Mtumishi ubaguzi huo , Ila mapenzi upofu unajuaLolote except muhaya, mkurya, mrangi na muha
Hakuna neno naomba kwa wakurya wao ni nipe, nataka... Hiyo lugha ya command ndo huwa inanichosha mieHahahaha wakurya mbona wako poa sana, nina mabest zangu sema zile command language zao zinakasirisha.
Kugongana ndugu kwa ndugu unamaanisha nini? Ndugu tumbo moja au binamu?Wagogo: wazuri wanawake ila kwa uvivu ndo wenyewe wanawake wanaume ni wavivu sana.
Ndo maana hawaishi kuomba ilmradi tu kuomba utasikia "naomba chochote"
Warangi: ni wazuri wa sura vitu vyeupeee utadhani waarabu ila sasa mhh mwakitombile, warangi ni kiboko.
Wasukuma: wazuri wa mwonekano, wakarimu sana ndo maana mara nyingine wanaonekana mafalah sio ufalah ni ukarimu uliopitiliza, usiombe kukuta baadhi ya wasukuma wamefanikiwa ndo zinakua type hizi tunazozijua hapa.
Wairaq/wa mbulu: wazuri sana sura na shape zao ila wakorofi hatari, pia nao sio wachoyo kama warangi, afu hawa kugongana ndugu kwa ndugu sio ajabu.
Ha Ha Ha unapigia chapuo wazaramo umeoa huko au we mzaramo...WATANZANIA KARIBIA WOTE WANA ROHO MBAYAAAAA SIO WAPARE WALA WAHAYA WALA WAKURYA SIO WASUKUMA MIMI NAONA KARIBIA WOTE WANA ROHOO MBAYAAAAAAAAAAAA.
YAAANI ANGALAU KIDOGO WAZALAMOOOO
Sio tu binamu mtoto wa baba mdogo, mtoto wa dada, shemeji yani analiwa yoyote tuKugongana ndugu kwa ndugu unamaanisha nini? Ndugu tumbo moja au binamu?
Sio ubaguzi ila kuna vitu hapana aseeMtumishi ubaguzi huo , Ila mapenzi upofu unajua
Maadiko yanasema tupendana mtumishi.Sio ubaguzi ila kuna vitu hapana asee
muongo mkubwa weweWachaga hawana miguu mizuri , Wanajua kukiss
We nae hiyo avatar veepee.huwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukikataliwa na mwanamke wa ki-mbulu hata kama kaolewa inakupasa uende ukaombewe na gwajima.
Sifa gani zinakera?Elewa maana ya kukashifu na kueleza sifa kwanza
Evelyn unatuuzia chai.Sio tu binamu mtoto wa baba mdogo, mtoto wa dada, shemeji yani analiwa yoyote tu
[emoji23][emoji23][emoji23]✍wahahe weusi na wenye mapenzi ya dhati kwa wote tatzo la mhehe usimkosee kwa kile anachokihitaji huchelewi kumkuta kajinyonga