Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

MIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.

NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......

1.MNYIKA NI MPARE

2.HALIMA. MDEE NI MPARE

3.ZUNGU NI MZUNGU

4.MWITA WAITARA NI MKURYA

5.BONNA KALUWA NI MUHAYA

6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI

7.MEYA WA JIJI NI MKURYA

HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
Uzuli ni uzuri
Vizuli ni vizuri
Kwa hisani ya Faiza
 
MIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.

NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......

1.MNYIKA NI MPARE

2.HALIMA. MDEE NI MPARE

3.ZUNGU NI MZUNGU

4.MWITA WAITARA NI MKURYA

5.BONNA KALUWA NI MUHAYA

6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI

7.MEYA WA JIJI NI MKURYA

HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI

Upo sahii c programming Lakini wanajua kusema Au ndio kuzaliwa mjini Wakija na kigoma cha ulugwai wakuchambe utakomaaa. Ila Ukabila udini Wapo Vizur kabisa.
 
Wapare ni wabahili pia wana roho mbaya, kuna siku nlikutana na mdada kwenye bus, akawa ananipa story ya shoga ake anamfanyia visa, anafanya mambo kwa binafsi n.k n.k nikamuuliza rafiki ako ni mpare? Akajibu ndio... Nilicheka, Wapare wana roho mbaya
WATANZANIA KARIBIA WOTE WANA ROHO MBAYAAAAA SIO WAPARE WALA WAHAYA WALA WAKURYA SIO WASUKUMA MIMI NAONA KARIBIA WOTE WANA ROHOO MBAYAAAAAAAAAAAA.

YAAANI ANGALAU KIDOGO WAZALAMOOOO
 
Kuna wale ndugu zetu wahaya,yaan wanapenda sifa sana,ukimsifia tu mmepatana ila kwa ngono hawajambo
 
Wagogo: wazuri wanawake ila kwa uvivu ndo wenyewe wanawake wanaume ni wavivu sana.
Ndo maana hawaishi kuomba ilmradi tu kuomba utasikia "naomba chochote"

Warangi: ni wazuri wa sura vitu vyeupeee utadhani waarabu ila sasa mhh mwakitombile, warangi ni kiboko.

Wasukuma: wazuri wa mwonekano, wakarimu sana ndo maana mara nyingine wanaonekana mafalah sio ufalah ni ukarimu uliopitiliza, usiombe kukuta baadhi ya wasukuma wamefanikiwa ndo zinakua type hizi tunazozijua hapa.

Wairaq/wa mbulu: wazuri sana sura na shape zao ila wakorofi hatari, pia nao sio wachoyo kama warangi, afu hawa kugongana ndugu kwa ndugu sio ajabu.
Kugongana ndugu kwa ndugu unamaanisha nini? Ndugu tumbo moja au binamu?
 
WATANZANIA KARIBIA WOTE WANA ROHO MBAYAAAAA SIO WAPARE WALA WAHAYA WALA WAKURYA SIO WASUKUMA MIMI NAONA KARIBIA WOTE WANA ROHOO MBAYAAAAAAAAAAAA.

YAAANI ANGALAU KIDOGO WAZALAMOOOO
Ha Ha Ha unapigia chapuo wazaramo umeoa huko au we mzaramo...
Nashangaa hata unaposema sio waongeaji katika watu waongeaji wazaramo wanaweza kuwa wa kwanza
 
Makabila ya pwani: wengi wao wanawake wanajua kupika, kujipodoa yani mwanamke wa pwani mguu una vumbi ila uso reception ng'ari ng'ari poda wanja wa kutosha lipstick.
Wanaume wavivu wengi wao hakuna kujishughulisha ye akiamka ni kunywa kahawa na kucheza bao kamaliza kuolewa na mwanaume wa hivi ni hasara
 
Sio tu binamu mtoto wa baba mdogo, mtoto wa dada, shemeji yani analiwa yoyote tu
Evelyn unatuuzia chai.
Yani mtu amle mtoto wa dada...
Una mifano hai?
Au ni stori tu za huko boarding school? Si ulisoma
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom