Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 326
Uchawi Wafipa mkoani Rukwa na Katavihuwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi Wafipa mkoani Rukwa na Katavihuwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
Ila watamu pia....Yoooooh kama unataka kuingia kwenye historia ya kuoa 10 katika maisha yako oa mndengeleko .wana wake Buchwa vigumu balaaa.hawasikii.ila wakalimu sana
Watulivu sana kwenye ndoa na hawapendi sifa za kijingaSijaona wahaya
Basi mi nawaogopa mno wakurya hata ile lafudhi tu inaniogopesha imekaa kiukaliSalt.wakurya watu poa sana.ukorofi hufanyiana wao kwa wao
Wengi wao wanaact uzungu uzungu sijui kwaniniVipi kabila la wajaruo...
Kulikoni rafiki ako kukutmbea alikua hajui au?
Wahehe Walevi sana pia hawawezi kuzidhibiti hasira zao, na mwanamke wa Kihehe gharama sana kumpata ukiwa na za ulanzi tu huyo wako.Hahahaha nawaona nawaona
Ila sijaona mhehe hapo
Hakuna neno naomba kwa wakurya wao ni nipe, nataka... Hiyo lugha ya command ndo huwa inanichosha mie[/QUOT
mbona mie sina tabia hizo mwanike. nipo mstaraabu hadi balaa
Nyambafu sio woteWachaga hawana miguu mizuri , Wanajua kukiss
Hii siiamini maana hadi sasa nimekataliwa na wawili tayariUkikataliwa na mwanamke wa ki-mbulu hata kama kaolewa inakupasa uende ukaombewe na gwajima.
Ha ha ha ha polehakujua, nilishangaa anatangaza engagement, ilibidi nimuachie, but, ongea taratibu, wote wamo humu😛😛😛
Asante ila sio wote bana wamarangu wanaringa balaa kumsaidia ndugu mpaka ajishauri mara mbili mbili big up kwa warombo wote wana umoja na wakiamua kusaidiana mpaka raha ila kwa ushirikina hawa jamaa wanafukuzana na wakingawachaga(wamarangu) :wastaarabu sana, wengi ni wazuri na watanashati. watafutaji wazuri wa eleri(pesa). wanaheshima, wanapendana, hawana ubinafsi kama wapare. sio washirikina kama wasambaa, wapole, wanapenda kujenga kwao,wanawai kumiliki magar kwa umri mdogo. waaminifu kwenye mapenzi.
Acha kupotosha wewehuwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
Dhambi imekuwa kitu cha kushangilia....Bwana Yesu fanya hima urudiii.Kulikoni rafiki ako kukutmbea alikua hajui au?