Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Wala harudi anatungoja huko huko na mijeledi mkononiDhambi imekuwa kitu cha kushangilia....Bwana Yesu fanya hima urudiii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala harudi anatungoja huko huko na mijeledi mkononiDhambi imekuwa kitu cha kushangilia....Bwana Yesu fanya hima urudiii.
Uliowataja sio machifu wa KizaramoMIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.
NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......
1.MNYIKA NI MPARE
2.HALIMA. MDEE NI MPARE
3.ZUNGU NI MZUNGU
4.MWITA WAITARA NI MKURYA
5.BONNA KALUWA NI MUHAYA
6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI
7.MEYA WA JIJI NI MKURYA
HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
big up Evelyn Salt umeutendea haki huu uzi. inasemekana asilimia kubwa ya wapare wanaume kwa wanawake utulivu kwenye mahusiano ni sifuri, hili lina ukweli?Wapare ni wabahili pia wana roho mbaya, kuna siku nlikutana na mdada kwenye bus, akawa ananipa story ya shoga ake anamfanyia visa, anafanya mambo kwa binafsi n.k n.k nikamuuliza rafiki ako ni mpare? Akajibu ndio... Nilicheka, Wapare wana roho mbaya
Acha chai asee labda sio wahayaWatulivu sana kwenye ndoa na hawapendi sifa za kijinga
Swala la utulivu sijui kwakwelibig up Evelyn Salt umeutendea haki huu uzi. inasemekana asilimia kubwa ya wapare wanaume kwa wanawake utulivu kwenye mahusiano ni sifuri, hili lina ukweli?
wahaya nao vipi wametulia?Acha chai asee labda sio wahaya
Wanyiramba hawana shida, ni wazuri tu ila wakiuza mazao wakashika hela ndo wanaota mapembe wanatafuta hadi kesi ili watumie pesa, ila ni wazuri kwakweliAkina mwigulu vipi
Madomo zege ,hawajui kujitetea wala kuongea ukweli.ukiwapa madaraka ndiyo kabisaaa, hata vitu siriazi vinavyohitaji matamko wanapiga kimya kulinda maslahi yao ya tumbo.Akina mwigulu vipi
Kabila kama kabila halina sifa ya utulivu, labda tu mtu binafsi awe katulia, wanapenda sana miti wahaya, kujisifia sasa ndo utachoka hata kama anamiliki pmb tu kujisifia kupo pale palewahaya nao vipi wametulia?
Huo uchapakazi wameanza lini??? Wagogo ni wavivu wa kutupa si wanaume si wanawake ni wavivu mnoooWagogo- ni wakarimu sana, wapole, wachapa kazi, hawapendi makuu, ni wazalendo karibuni Dodoma.
Kwa sasa nipo kijijini Chilonwa.
Bashite kweli anawakilisha wa Misungwi, kwa kina Bashite ni kijiji cha Kolomije.Salt.wakurya watu poa sana.ukorofi hufanyiana wao kwa wao .wana heshimu sana wageni maana na wakalimu alafu sio wanafiki kabisa akichukia ana kuambia papohapo sio wengine mpaka akunafikie kwa watu.maswala ya miziziology (uchawi) hawajui kabisa ndio swala la kuwaogopa watu wasio wajua wakiofia kulogwa
Ila wasukuma swala la ukarimu lime gawanyika sehemu moja na nyingine
Wasukuma wa bariadi wanadharau sana wabishi hatari.
Wasukuma wa magu wachawi balaaa
Wa mwanza mjini hawa ni wasela wasela tu.
Wa misungwi hawa ni wanafiki balaaa na roho mbaya
Kwimba-ngudu hawa ni washamba balaaa kuna wengine mpaka Leo kiswahili hawajui
Shinyanga na kahama hawa ni wapole wa kalimu na miziziology wako vizuri
Meatu hawa bado ni primitive kabisa tabia ni kama nusu wasukuma nusu wamasai hata uvaaji.
Wahahe ndio watu gani wewe mbugila?wahahe weusi na wenye mapenzi ya dhati kwa wote tatzo la mhehe usimkosee kwa kile anachokihitaji huchelewi kumkuta kajinyonga
Ila we Evelyn salt kiboko, asilimia kubwa ya tabia za makabila uloyataja weng wao wako hvo, salute[emoji106] [emoji106] [emoji106]Mie tena ndo niachane na ngono? 😀
Nina ushahidi wa maneno na picha
Best una testimony? Mbona umefurahi sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akutukanaye hakuchagulii tusi.Huo uchapakazi wameanza lini??? Wagogo ni wavivu wa kutupa si wanaume si wanawake ni wavivu mnooo
vipi kuhusu wachaga warombo? unajua lolote kuhusu wao?Huo uchapakazi wameanza lini??? Wagogo ni wavivu wa kutupa si wanaume si wanawake ni wavivu mnooo