Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Hahahaha wakurya mbona wako poa sana, nina mabest zangu sema zile command language zao zinakasirisha.
Nimeishi na wakurya mda mrefu sana. Kwa asili yao hawapendi kuonewa wala kuonea mtu. Wanapenda sana haki. Siyo waongo na hawamfichi mnafiki hata ukiwa boss wake.

Ukimkosea akasema ''ngoja nije'' haki ya nani anakuja na silaha na lazima akudhuru. Haogopi mtu akijua yuko kwenye haki. Hata kama ni mwenye madaraka makubwa au ni mwenye pesa nyingi.
 
Mpare anapenda kesi sana na mbishi, anaweza kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku. Ni wabahili ila si wachumi. Mpare kwa ubahili wake akiumwa njaa badala ya kununua chakula atakunywa panadol au diclofenac. Hawa jamaa kwa kununua kesi ndo wenyewe. Kuna bwana mmoja alizulumiwaga akaenda kusoma sheria ili aje kufufua kesi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Du hatareeeeee
 
Usiombe kufanyiwa kazi na fundi wa kigogo ha ha ha nicheke kama mazuri nishawahi kuachiwa mafundi niwasimamie kuchapia ukuta (sijui ni kiswahili sahihi) yani dakika mbili wanakaa wanaanza story, nawashtua wanainuka dakika mbili wanasema wamechoka mara wanaomba chai aseeeee ukiwalipa hela wanaenda kukaa kabisa hata umuite vipi hajii
Hahhaha m nawajua vzr
 
Waha hawana makuu zaidi ya kuchapa kazi na kutafuta maisha kwa njia sahii kama duka, biashara na ukulima!
 
mademu wa kichaga wana mapenzi ya dhati sana akisema anakupenda ujue anakupenda kweli kweli hawajuagi ku cheat ila kitandani usitegemee kitu kama unaoa oa tuu ila kama unatafuta kiuno feni please hapa sio mahala pake nenda ntwara
 
Nimeishi na wakurya mda mrefu sana. Kwa asili yao hawapendi kuonewa wala kuonea mtu. Wanapenda sana haki. Siyo waongo na hawamfichi mnafiki hata ukiwa boss wake.

Ukimkosea akasema ''ngoja nije'' haki ya nani anakuja na silaha na lazima akudhuru. Haogopi mtu akijua yuko kwenye haki. Hata kama ni mwenye madaraka makubwa au ni mwenye pesa nyingi.
Wakurya hawapendi dharau lakini si wote wanaonesha ubabe wakichokozwa ila wote wana misimamo mikali.
 
mademu wa kichaga wana mapenzi ya dhati sana akisema anakupenda ujue anakupenda kweli kweli hawajuagi ku cheat ila kitandani usitegemee kitu kama unaoa oa tuu ila kama unatafuta kiuno feni please hapa sio mahala pake nenda ntwara
Wewe kaa kimya huwajui mademu wa kichaga. Hakuna wasaliti kama hawa dada zangu. Kwanza hakunaga mwenye mapenzi ya dhati kama huna hela. Mwanamke wa kichaga ukiwa naye jihesabu kama business partner na siyo mpenzi.
 
JAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.

KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.

MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .

MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA

WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
Vile vile hayo ni makabila ambayo elimu ipo na makabila ambayo elimu hakuna [emoji3]
 
Wewe kaa kimya huwajui mademu wa kichaga. Hakuna wasaliti kama hawa dada zangu. Kwanza hakunaga mwenye mapenzi ya dhati kama huna hela. Mwanamke wa kichaga ukiwa naye jihesabu kama business partner na siyo mpenzi.
hahaha duu basi mkuu nisamehe
 
waburunge/wasi wazuri kwa sura na tabia njema wapole na wakarimu ila huishi na kundi kubwa la ndugu ukioa /kuolewa na watu hao jiandae kulea kijiji kizima
Nshawahi kuiskia hii kuhusu waasi wa kondoa..
Na nna mfano hai!
 
Wanawake wengi wazuri, maumbo mazuri, makalio na miguu wanayo, wanapenda kupigana miti kuliko kula, wanajisifia sana, ningekua mwanaume mie katika kabila nisingweza kuoa ni hili hawa hapana
Kupigana miti kuliko kula teh!
 
Usiombe kufanyiwa kazi na fundi wa kigogo ha ha ha nicheke kama mazuri nishawahi kuachiwa mafundi niwasimamie kuchapia ukuta (sijui ni kiswahili sahihi) yani dakika mbili wanakaa wanaanza story, nawashtua wanainuka dakika mbili wanasema wamechoka mara wanaomba chai aseeeee ukiwalipa hela wanaenda kukaa kabisa hata umuite vipi hajii
Kama ni kweli wasamehe bure, ila mgogo mvivu ni mmoja kwa kumi, ambalo ni suala la kawaida kwa kabila likiwepo hata kabila lako Evelyn.

Uwe na amani, PASAKA NJEMA.
 
wachaga(wamarangu) :wastaarabu sana, wengi ni wazuri na watanashati. watafutaji wazuri wa eleri(pesa). wanaheshima, wanapendana, hawana ubinafsi kama wapare. sio washirikina kama wasambaa, wapole, wanapenda kujenga kwao,wanawai kumiliki magar kwa umri mdogo. waaminifu kwenye mapenzi.
Sina shaka kwa maelezo yako nimeish kule na nimeyaona hayoo wako vzuri
 
Back
Top Bottom