NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
wana dharau na ni wababehuwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana dharau na ni wababehuwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
mbona hujasema kama wanaringa? aisee wamarangu wanaringa yani wengi wenye nyodo mjini ni wamarangu wanaume wao wapolee , ila wachaga ni wazuri we sura jamani yani mungu aliwapendelea
Au mkaraHahahaha bila shaka wewe ni mjita.
MKUU KWA WANDENGEREKO,WAMAKUA NA WANGINDO KWA ROHO NZURI MKUU HAPANA LABDA KWA FAMILIA ZAO TU JARIBU UONE!JAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.
KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.
MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .
MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA
WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
Amesema yeye ni msukuma.Au mkara
KUNA MHAYA ASIYEPENDA SIFA MKUU! AU WEWE MHAYA NINI MKUU AU UNA UTANI NA MUKULUWatulivu sana kwenye ndoa na hawapendi sifa za kijinga
NI UKWELI ULIO WAZI WAGOGO NI WAVIVU HADI KINYAA PIA HAWANA UTU WALA SHUKRANIHuo uchapakazi wameanza lini??? Wagogo ni wavivu wa kutupa si wanaume si wanawake ni wavivu mnooo
KIVIPI MKUUSkuizi furaha tunajitafutia wenyewe....[emoji23] [emoji23]
ILAA HAO JAMAA NI WAKATILI KUPITA KIASI! HIVI KULE DINI HAZIPO?Nimeishi na wakurya mda mrefu sana. Kwa asili yao hawapendi kuonewa wala kuonea mtu. Wanapenda sana haki. Siyo waongo na hawamfichi mnafiki hata ukiwa boss wake.
Ukimkosea akasema ''ngoja nije'' haki ya nani anakuja na silaha na lazima akudhuru. Haogopi mtu akijua yuko kwenye haki. Hata kama ni mwenye madaraka makubwa au ni mwenye pesa nyingi.
MKUU MIMI UZULI NIMEISHI NA WAHAYA KWA KIFUPI WAHAYA WAMEWANYIKA KATIKA MAKUNDI AINA TANO KUNA......KUNA MHAYA ASIYEPENDA SIFA MKUU! AU WEWE MHAYA NINI MKUU AU UNA UTANI NA MUKULU
YA MCHNA HIYO WEWE SI KWA MRANGI MKUU!Mi nna mrangii..nmemtoa bikra mwenyewe tupe kwenye mipango ya ndoa...kwann mnawasema vibaya wakwe zangu jaman
KWA KUONGEZEA ZAIDI WATU WA KIGOMA NI WAONGEAJI SANA,WABISHI NA WAPENDA SIFA ZA KIJINGA BILA KUSAHAU NI WAGOMBANISHI .Wapare wana roho mbaya jmnnn...siku zote ubahili unazalisha roho mbayaaaaa..
Wanaume wa kigoma wana midomo utadhania wazaramo,,,wanachamba hatareee...
Wanaume wa pwani hawapendi kufanza kazi,,,kushinda vibarazani tu kupiga umbea e.g wazanzbari,watanga wote,wazaramo
UKo sawa kabisa mkuu,yaan Wanawake wa kichaga,kisukuma, ni wana huruma na wakarimu mpaka maungo yao,wao ukiwa na dudu kila kitu atakupa,na wengi ndo maana waishia kuwa singo mama.Mademu wa 1.kisukuma 2.kichaga 3.kinyakyusa hawajui kujishughulisha muwapo kitandani,wengi wao hata hawajui kudai kondom mkiwa kwenye match,ndio maana wengi wao wanapata mimba kizembe. Harafu ukimtongoza huwa hawasemi wamekubali,ila ukiwa naye porini,kwenye migombo we mwangushe tu utajilia kiraini
Waziba pia wanapenda ukabila sana hata wakiwa wawili ofisi ya watu 20 mtawachukia maana watakuwa wanabonga kilugha tu wakifka 5 mnaweza hama oficMKUU MIMI UZULI NIMEISHI NA WAHAYA KWA KIFUPI WAHAYA WAMEWANYIKA KATIKA MAKUNDI AINA TANO KUNA......
1.WAZIBA
2.WAYOOZA
3.WANYANGIRO
4.WAYUNGA
5.WAGANGA KYAKA
6.WANYAMBOO
ILA UKWELI NI KWAMBA WAHAYA WAPO WAPENDA SIFA NA WAPO AMBAO SIO WAPENDA SIFAA.
ILA MIMI NINACHOJUA WAZIBA NI WAPENDA SIFA SANA HALAFU WENGI WEUSI SANA KULE BK KUNA WATU HUWAITA WAJALUO
WA BUKOBAAA......
LAKINI UKIENDA KWA WAYOZA, WANYAMBO NA WENGINE WAKO POA SANA ILA USIJE UKAKUTANA NA WAZIBAAA KWA SIFA ACHA TUU HALAFU NA ULE WEUSI WAO BANA ACHA