buthabutha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 659
- 396
Vipi kuhusu wasandawe jamani????
Mwenye yjuzi alete
Mwenye yjuzi alete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh hatari na wanapenda sana hizo mamboWanyamwezi sio wagawaji sana wa sehem nyeti ?
Mnyamwez yup unaongeleaa kama ni huyu wa tabora aisee wagawaji wazuri tuSifa hiyo kabila kama kabila hawana
Ila labda iwe mtu binafsi tu kaamua "kutoa ni moyo"
Wakike wakiume au wote kwa pamoja.Eeeh hatari na wanapenda sana hizo mambo
Wote kwa pamoja hasa wa kiumeWakike wakiume au wote kwa pamoja.
Nakudediketi "kajiandae" ya ommy dimpoz 😀Mi nna mrangii..nmemtoa bikra mwenyewe tupe kwenye mipango ya ndoa...kwann mnawasema vibaya wakwe zangu jaman
Umeongea vice versa, katika kumi mchapakazi labda mmojaKama ni kweli wasamehe bure, ila mgogo mvivu ni mmoja kwa kumi, ambalo ni suala la kawaida kwa kabila likiwepo hata kabila lako Evelyn.
Uwe na amani, PASAKA NJEMA.
Hhahah nmecheka kwa wakereweWanyamwezi : hawa ni kama aina tu ya wasukuma wana tabia za wasukuma ila kwa ushirikina wanyamwezi kiboko, enzi hizo mme hukai hivi hivi hadi mama akutengeneze sijui sasa hivi.
Wachaga: wazuri wa sura, watafutaji, wanaume baadhi wanajitahidi kujali familia, miguu fito, maumbo yao huwa yana makosa ya kiufundi, ila siku hizi afadhali kwa sababu ya intermarriage basi wanazaliwa wachaga wenye maumbo ya kueleweka
Wakerewe: hawa nao kwa kujivuna hawajambo wakati wanamiliki furu tu, kwa ushirikina pia wapo wapo
hiyo ni sifa ya wamakonde, nilishawahi kukutana na dame mmoja wa kimakonde zile pigo ni classified..Wapo vizuri kitandani.
Wachache sana wenye sifa hizi.Wanawake wengi wazuri, maumbo mazuri, makalio na miguu wanayo, wanapenda kupigana miti kuliko kula, wanajisifia sana, ningekua mwanaume mie katika kabila nisingweza kuoa ni hili hawa hapana
AMINA,Umeongea vice versa, katika kumi mchapakazi labda mmoja
Pasaka njema pia
mbona hujasema kama wanaringa? aisee wamarangu wanaringa yani wengi wenye nyodo mjini ni wamarangu wanaume wao wapolee , ila wachaga ni wazuri we sura jamani yani mungu aliwapendeleawachaga(wamarangu) :wastaarabu sana, wengi ni wazuri na watanashati. watafutaji wazuri wa eleri(pesa). wanaheshima, wanapendana, hawana ubinafsi kama wapare. sio washirikina kama wasambaa, wapole, wanapenda kujenga kwao,wanawai kumiliki magar kwa umri mdogo. waaminifu kwenye mapenzi.
Sio wote n wahuni...n baadh yao...huyu angekuwa mhuni nisingemkuta bikra kwa miaka 25 alionayo na degree zake mbiliNakudediketi "kajiandae" ya ommy dimpoz 😀