Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Wapare wana roho mbaya jmnnn...siku zote ubahili unazalisha roho mbayaaaaa..

Wanaume wa kigoma wana midomo utadhania wazaramo,,,wanachamba hatareee...

Wanaume wa pwani hawapendi kufanza kazi,,,kushinda vibarazani tu kupiga umbea e.g wazanzbari,watanga wote,wazaramo
 
Mi nna mrangii..nmemtoa bikra mwenyewe tupe kwenye mipango ya ndoa...kwann mnawasema vibaya wakwe zangu jaman
 
Kama ni kweli wasamehe bure, ila mgogo mvivu ni mmoja kwa kumi, ambalo ni suala la kawaida kwa kabila likiwepo hata kabila lako Evelyn.

Uwe na amani, PASAKA NJEMA.
Umeongea vice versa, katika kumi mchapakazi labda mmoja
Pasaka njema pia
 
Wanyamwezi : hawa ni kama aina tu ya wasukuma wana tabia za wasukuma ila kwa ushirikina wanyamwezi kiboko, enzi hizo mme hukai hivi hivi hadi mama akutengeneze sijui sasa hivi.

Wachaga: wazuri wa sura, watafutaji, wanaume baadhi wanajitahidi kujali familia, miguu fito, maumbo yao huwa yana makosa ya kiufundi, ila siku hizi afadhali kwa sababu ya intermarriage basi wanazaliwa wachaga wenye maumbo ya kueleweka

Wakerewe: hawa nao kwa kujivuna hawajambo wakati wanamiliki furu tu, kwa ushirikina pia wapo wapo
Hhahah nmecheka kwa wakerewe
 
Wanawake wengi wazuri, maumbo mazuri, makalio na miguu wanayo, wanapenda kupigana miti kuliko kula, wanajisifia sana, ningekua mwanaume mie katika kabila nisingweza kuoa ni hili hawa hapana
Wachache sana wenye sifa hizi.
 
wachaga(wamarangu) :wastaarabu sana, wengi ni wazuri na watanashati. watafutaji wazuri wa eleri(pesa). wanaheshima, wanapendana, hawana ubinafsi kama wapare. sio washirikina kama wasambaa, wapole, wanapenda kujenga kwao,wanawai kumiliki magar kwa umri mdogo. waaminifu kwenye mapenzi.
mbona hujasema kama wanaringa? aisee wamarangu wanaringa yani wengi wenye nyodo mjini ni wamarangu wanaume wao wapolee , ila wachaga ni wazuri we sura jamani yani mungu aliwapendelea
 
Mpare mchoyo sana na mroho ki ukweli mpaka uwa nikishaona demu uyu mpare hamu inaisha
 
Back
Top Bottom