Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Evelyn Salt karibu kwa wapare ukipata mgegedo mujarab tu bhaaaas mengine yote yanavumilika
Walivo wachoyo nahisi hata dushe wanatoa kichoyo choyo
 
Wanyakyusa: wanawake wana miili ya kuchezea mieleka wanene wamepanda hewani, ni wakarimu kwakweli ila kwa ubabe pia mmmh

Waha: wengi wao wafupi, wana bidii sana ya kazi, wengi wao waaminifu sana, ila kwa ubishi jamani mweh muha anaweza kuwa wa kwanza duniani kwa ubishi, na kwenye ushirikina wapo vizuri

Wapare: wengi wao wafupi, wazuri wa sura ila wapare wana roho mbaya mi binafsi Sijawahi kukutana na mpare mwenye roho nzuri.

Wakurya: hawa jirani zangu mi mwenyewe huwa nawaogopa sana, ni wakatili mno, mkurya akikuambia nitakuchinja hata kama ni utani ndugu yangu kimbia speed kali hadi miguu iguse kichwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] miili ya kuchezea mieleka
 
Wagogo: wazuri wanawake ila kwa uvivu ndo wenyewe wanawake wanaume ni wavivu sana.
Ndo maana hawaishi kuomba ilmradi tu kuomba utasikia "naomba chochote"

Warangi: ni wazuri wa sura vitu vyeupeee utadhani waarabu ila sasa mhh mwakitombile, warangi ni kiboko.

Wasukuma: wazuri wa mwonekano, wakarimu sana ndo maana mara nyingine wanaonekana mafalah sio ufalah ni ukarimu uliopitiliza, usiombe kukuta baadhi ya wasukuma wamefanikiwa ndo zinakua type hizi tunazozijua hapa.

Wairaq/wa mbulu: wazuri sana sura na shape zao ila wakorofi hatari, pia nao sio wachoyo kama warangi, afu hawa kugongana ndugu kwa ndugu sio ajabu.
[emoji2] [emoji2]
 
Baada ya kuona wapare wanashambuliwa kwa uchoyo ukabila n.k nikaamua kufanya research.
 
Kwa wastani tabia za Wapogolo zinafanana na tabia za Wazaramo Kwa kiasi kikubwa! Mathalani kwenye kuongea mahodari , kupenda kwenda ngoma, ukarimu wa kugawa chini, nyongeza ni kuwa Wapogolo Kwa kupenda kula ubwabwa ni mahodari hata wakiwa Wazee! Mwanaume wa Kipogoro upike wali halafu usimwekee matandu/ukoko lazima atakutia ila! Upande Wa Wahehe hawa kwa wastani tabia zao zinafanana Na tabia za Wapare! Ni Watu wa kupenda kujipendekeza Kwa watu akijua atamfaa, chuki, fitna, wivu, Ushirikina, kuwa Mtu wa kusitasita! Wakati mwingine anachosema mdomoni sicho anachoamini Moyoni mwake! Pia Waha wanafanana kitabia na Wapemba Kwa kupenda kuzaliana kupita kiasi na Ushirikina! Kuwa makini na Mke wa Mpemba, kuwa makini kufanya biashara na Mpemba inayohusiana na shamba au Nyumba ! Natanguliza samahani Kwa nitakaye mkwaza!
 
Wanyamwezi : hawa ni kama aina tu ya wasukuma wana tabia za wasukuma ila kwa ushirikina wanyamwezi kiboko, enzi hizo mme hukai hivi hivi hadi mama akutengeneze sijui sasa hivi.

Wachaga: wazuri wa sura, watafutaji, wanaume baadhi wanajitahidi kujali familia, miguu fito, maumbo yao huwa yana makosa ya kiufundi, ila siku hizi afadhali kwa sababu ya intermarriage basi wanazaliwa wachaga wenye maumbo ya kueleweka

Wakerewe: hawa nao kwa kujivuna hawajambo wakati wanamiliki furu tu, kwa ushirikina pia wapo wapo
Hahaha
Wanyakyusa: wanawake wana miili ya kuchezea mieleka wanene wamepanda hewani, ni wakarimu kwakweli ila kwa ubabe pia mmmh

Waha: wengi wao wafupi, wana bidii sana ya kazi, wengi wao waaminifu sana, ila kwa ubishi jamani mweh muha anaweza kuwa wa kwanza duniani kwa ubishi, na kwenye ushirikina wapo vizuri

Wapare: wengi wao wafupi, wazuri wa sura ila wapare wana roho mbaya mi binafsi Sijawahi kukutana na mpare mwenye roho nzuri.

Wakurya: hawa jirani zangu mi mwenyewe huwa nawaogopa sana, ni wakatili mno, mkurya akikuambia nitakuchinja hata kama ni utani ndugu yangu kimbia speed kali hadi miguu iguse kichwa
Hahahaa aaaah
Wagogo: wazuri wanawake ila kwa uvivu ndo wenyewe wanawake wanaume ni wavivu sana.
Ndo maana hawaishi kuomba ilmradi tu kuomba utasikia "naomba chochote"

Warangi: ni wazuri wa sura vitu vyeupeee utadhani waarabu ila sasa mhh mwakitombile, warangi ni kiboko.

Wasukuma: wazuri wa mwonekano, wakarimu sana ndo maana mara nyingine wanaonekana mafalah sio ufalah ni ukarimu uliopitiliza, usiombe kukuta baadhi ya wasukuma wamefanikiwa ndo zinakua type hizi tunazozijua hapa.

Wairaq/wa mbulu: wazuri sana sura na shape zao ila wakorofi hatari, pia nao sio wachoyo kama warangi, afu hawa kugongana ndugu kwa ndugu sio ajabu.
Hahaha...dah...ila wewe mwanamke akili yako huwa unaijua tu mwenyewe dadeki, lohhh!
 
Kuna kabila hili maarufu sana lkn huwa halizungumzwi wanaitwa WAPOGORO wanatokea Morogoro..

Mimi kitu kimoja wanachonifurahisha hawa jamaa ni wacheshi halafu wana utani sana, hawanaga stress, hebu niambie ww unawajuaje hawa jamaa maana kuna vitu vingi naskia wanavyo.

Hata jina Kariakoo naskia walianzisha wao wakimaanisha "amekula wapi"?
 
Wapare watu poa sana ni wachumi wazuri na wanapenda haki
Huwajui wapare, ni moja ya kabila lenye wahuni wa kupindukia, na ushirikina, wanaanza michezo michafu wakiwa wadogo sana.Wachoyo na wabinafsi. Ukikuta mpare asiye mhuni au asiye na roho ya umaskini ni nadra sana
 
MIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.

NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......

1.MNYIKA NI MPARE

2.HALIMA. MDEE NI MPARE

3.ZUNGU NI MZUNGU

4.MWITA WAITARA NI MKURYA

5.BONNA KALUWA NI MUHAYA

6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI

7.MEYA WA JIJI NI MKURYA

HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
Ukiwa mjinga ndio mtu poa? Hata wazaramo wakiamua kugoma nani atawasikia, wapo wangapi? Wana status gani?

Kikwete akiwa madarakani alikua anawafunda kila leo, anawaambia msiuze ardhi, somesheni watoto wenu lakini wapi, laana ikikuandama ni shida kutoka hapo! Unakua duni!
Wazaramo ni wakuonewa huruma na siyo kusifiwa
 
Wapare ni wabahili pia wana roho mbaya, kuna siku nlikutana na mdada kwenye bus, akawa ananipa story ya shoga ake anamfanyia visa, anafanya mambo kwa binafsi n.k n.k nikamuuliza rafiki ako ni mpare? Akajibu ndio... Nilicheka, Wapare wana roho mbaya
Yani umenena wewe unawajua, ktk watu wenye roho mbaya, yakimaskini na wakorofi hawa ni mojawapo
 
Back
Top Bottom