Hii amani unayoiharibu humumiezi saba now π€π€π€ soon naitwa mama jamanii awwwwh π₯°π₯°π₯°
Sema wizo nae kwa kupotea! Kwanza uliendaga wapiii nikakumiss adi bas π₯°π₯°π₯°π₯°
Kila nikikumiss nahis kababy boy kangu kanacheza tumbonii, katakuwa kakorofi kama baba akee π₯°
Nimescreen shot nimewaonesha Watu wote marafiki zangu & vyombo vya ulinzi na usalama......lolote litakalonipata utahusikaAnazo nyingi utachemka ww kuzitumia, ana maduka matatu kkoo na store mbili.
Tena hizo store kachukua floor nzima ghorofani kujaza mzigo wake. Kontena zinapishana kuingia godauni.!!!
Tuliza wenge ujilie pesa ile miufundi ya kimeru hapo ndo pa kuiachia sasa πππ
Wizo BICHWA KOMWE - jibu pmMwambie ajibu pm zangu kabla sijabofya send gmail maana tayar nimeidraft email taamu
Acha uoga ww nenda kwa toto la kimeru hilo ukafungiwe ndani π€£π€£π€£Nimescreen shot nimewaonesha Watu wote marafiki zangu & vyombo vya ulinzi na usalama......lolote litakalonipata utahusika
π€£π€£Maua ni mfupiAcha uoga ww nenda kwa toto la kimeru hilo ukafungiwe ndani π€£π€£π€£
Zile ngβombe toka umezikata mapembe zimepoa, zimepona ukichaa πππHebu njoo chap nikupige makonzi nataka kusepa. Mida ya ng'ombe kutoka malishoni hii.
Ww unamtaka mrefu ili umle nyama.?π€£π€£Maua ni mfupi
Tukiacha ufupi, mimi ananichanganya sana na coment zake. Unaweza tumia dakika 20 kusoma mistari mi4 tu aliyoandka na usielewe.π€£π€£Maua ni mfupi
Anakupenda hawezi kukuchambaNshamzoea huyo hanipi shida
πππ€£π€£ itakuwa anatumia kitochi kuna button zimengβokaTukiacha ufupi, mimi ananichanganya sana na coment zake. Unaweza tumia dakika 20 kusoma mistari mi4 tu aliyoandka na uselewe.
Mashangazi yanazidi kuongezeka mjini tu
Shenzi sana ninyi vijana wa Dar
Ndio maana ndoa za watu zinavunjika sana
Vimebakia vi kengele navyo vimelegea kama sikio za mbuzi...Kula mishangazi yenye akili at least uwe na ww una mazingira kiasi sasa ww unaenda huna kitu mfukoni upo tu na ngozi ya mbupu imechakazwa na fangas
Na yupo single hushangau sio mmuha kweli??Anazo nyingi utachemka ww kuzitumia, ana maduka matatu kkoo na store mbili.
Tena hizo store kachukua floor nzima ghorofani kujaza mzigo wake. Kontena zinapishana kuingia godauni.!!!
Tuliza wenge ujilie pesa ile miufundi ya kimeru hapo ndo pa kuiachia sasa πππ
Kulala njee inakuhusu mwezi Mzima na ile floor nisikuoneππHaaaah! Mpenzi kumbe una bando......nsamehe bn ujue shetani ana nguvu ujue
Kweli mweh babe ila wewe shoo yako sio ya kiboya atleast unavumagaKula mishangazi yenye akili at least uwe na ww una mazingira kiasi sasa ww unaenda huna kitu mfukoni upo tu na ngozi ya mbupu imechakazwa na fangas
π€£π€£π€£Acha zake ww .......sema ndo hvo kula mishangazi yenye minofu na mizur mizur kua sehemu yenye green pastures na mara nyingi yy ndo atakupa signals....sasa we jikute unatafuta ww plus huna hela utakula wale visigino vina rangi flan afu wakilewa wanacheza wamekaaaVimebakia vi kingele navyo vimelegea kama sikio za mbuzi...