Sifa za Mashangazi Original

Hii amani unayoiharibu humu
 
Nimescreen shot nimewaonesha Watu wote marafiki zangu & vyombo vya ulinzi na usalama......lolote litakalonipata utahusika
 
Na yupo single hushangau sio mmuha kweli??
 
Ndo vijana wa sasa hizo
ndo haso zao walizobakiza..una kuta kiboda boda au ki first year... kidinyoo kinakuchekea chekea kwa sbb kinajua una house na kigari cha kukupeleka misele yako ya hapa na hapa basi kinakuzoea zoea bila adabu aisee huwa navifurumusha na mazoea na hivyo vitoto ni kukaribisha nuksi...magari yenyewe ya familia... πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‡ au mshangazi lazima uwe umefiwa na mume? Eti wananzengo...
 
Vimebakia vi kingele navyo vimelegea kama sikio za mbuzi...
🀣🀣🀣Acha zake ww .......sema ndo hvo kula mishangazi yenye minofu na mizur mizur kua sehemu yenye green pastures na mara nyingi yy ndo atakupa signals....sasa we jikute unatafuta ww plus huna hela utakula wale visigino vina rangi flan afu wakilewa wanacheza wamekaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…