BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
🤣🤣🤣🤣 naomba uniache na wowowo langu pliizz wizoo... unavyolisema sana mwisho lipotee ntakimbilia wapi 🥴Haswaaah!! La kwendea lina bonge la wowowo, si eti wizo.? BICHWA KOMWE - 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 naomba uniache na wowowo langu pliizz wizoo... unavyolisema sana mwisho lipotee ntakimbilia wapi 🥴Haswaaah!! La kwendea lina bonge la wowowo, si eti wizo.? BICHWA KOMWE - 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 ngoja aje akunaweOver mayi dedi bodi mm nakusubr ww
Awwww 🥰🥰🥰 muanti wangu mshwiti shwiti soon unakuja!!!miezi saba now 🤗🤗🤗 soon naitwa mama jamanii awwwwh 🥰🥰🥰
Sema wizo nae kwa kupotea! Kwanza uliendaga wapiii nikakumiss adi bas 🥰🥰🥰🥰
Kila nikikumiss nahis kababy boy kangu kanacheza tumbonii, katakuwa kakorofi kama baba akee 🥰
🤣🤣🤣 khaaaa!! Litapotea!!!🤣🤣🤣🤣 naomba uniache na wowowo langu pliizz wizoo... unavyolisema sana mwisho lipotee ntakimbilia wapi 🥴
ah qmmmmmmmmmqkababy boy kangu kanacheza tumbonii, katakuwa kakorofi kama baba akee
Hii kauli hii🤣😆😆aisee baada ya kuona huu uzi nmejikuta nalia tu mkuu
Mwambie ajibu pm zangu kabla sijabofya send gmail maana tayar nimeidraft email taamuKumbe mshatumiana had email?! Mxieeww mnajuana kumbe nyie 🤣🤣🤣
BICHWA KOMWE - wizo jibu email au nipe zingine nikusaidie kukujibia
Juzi si uli sema we ni dume, sasa huyo mtoto vipi 🙄😁miezi saba now 🤗🤗🤗 soon naitwa mama jamanii awwwwh 🥰🥰🥰
Sema wizo nae kwa kupotea! Kwanza uliendaga wapiii nikakumiss adi bas 🥰🥰🥰🥰
Kila nikikumiss nahis kababy boy kangu kanacheza tumbonii, katakuwa kakorofi kama baba akee 🥰
Anazo nyingi utachemka ww kuzitumia, ana maduka matatu kkoo na store mbili.Anahela shosti eh maana sijaamua kiundani kufanya yangu
Hakujui huyo km we mzee wa milk shake 😂😂Anazani mimi ni mtu wa spoti spoti
Dalali kaziniAnazo nyingi utachemka ww kuzitumia, ana maduka matatu kkoo na store mbili.
Tena hizo store kachukua floor nzima ghorofani kujaza mzigo wake. Kontena zinapishana kuingia godauni.!!!
Tuliza wenge ujilie pesa ile miufundi ya kimeru hapo ndo pa kuiachia sasa 😂😂😂
Mmaana Vijana wa siku hz🤣🤣🤣🤣 Mwehu ww!!
Nshamzoea huyo hanipi shida🤣🤣🤣🤣 ngoja aje akunawe
Mi simo
OkNshamzoea huyo hanipi shida
Mzee yupi? Unajua bado sijamjua?!Gari lao lisipopita hakuna kwenda
Endelea kuzuga humjui mzee
Hebu njoo chap nikupige makonzi nataka kusepa. Mida ya ng'ombe kutoka malishoni hii.Hakujui huyo km we mzee wa milk shake 😂😂