Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Yaani mikaka ya siku hizi ππππUvivu tu wa kulima πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mikaka ya siku hizi ππππUvivu tu wa kulima πππ
π€£π€£π€£π€£π€£Hapa tunajiandaa tukafunge sareEwaaah!! Harusi tunayo πππ
Inapenda kulelewa!!! Inafosi kulala had na rika za mama zao yote uvivu πππYaani mikaka ya siku hizi ππππ
Funga sare iwe nzuri sisyβ¦. Mwaka huu lazima da Mau aolewe ππππ€£π€£π€£π€£π€£Hapa tunajiandaa tukafunge sare
1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
NB: epuka mashangazi ya mchongo, full mizinga!
Umeongea akili ya Kipumbavu kweli, sijui una miaka 17 nadhani, watu tunawaza namna ya kukuza uchumi ili tuwalee watoto na hao shangazi zako we unawaza kukulewa na shangazi single mother... Shenzi kabisa1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
NB: epuka mashangazi ya mchongo, full mizinga!
yeye ni mweupe na anajua kumfatiliza jmelody akiimbaπHalafu na sifa za wewe mario...?
Naona hajui kutofautishaπapo umesema sifa za sugermammy mwaya
Yaani Kila nikiwaza 5-10 yrs tutakuwa na wanaume wa aina Gani nakosa jibuUmeongea akili ya Kipumbavu kweli, sijui una miaka 17 nadhani, watu tunawaza namna ya kukuza uchumi ili tuwalee watoto na hao shangazi zako we unawaza kukulewa na shangazi single mother... Shenzi kabisa
ππππNaona hajui kutofautisha
Winga ktk ubora wakeπ π πHaswaaah!! La kwendea lina bonge la wowowo, si eti wizo.? BICHWA KOMWE - π€£π€£
Tatizo π π Omulasilπ€Έ Pm tukiwaomba pesa mnakuja kututangaza tatizo π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£Maendeleo tutayasikia kwa mabeberu tu kama akili zenyewe ndo hizi
Matoto ya sasa majinga sanaYaani Kila nikiwaza 5-10 yrs tutakuwa na wanaume wa aina Gani nakosa jibu
Maana ndo akili za hivi jmn
Huyo ndo mauaπ€£π€£π€£π€£Hv maua umeandika nini
Kazi kwel kwelHuyo ndo mauaπ€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ Acha tyuuWinga ktk ubora wakeπ π π