Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nipo mwanangu, wazima nyumbani?? Kaka na wifi yangu wanasemaje?? Bado hawajakuletea mdogo wako??Shangazi upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo mwanangu, wazima nyumbani?? Kaka na wifi yangu wanasemaje?? Bado hawajakuletea mdogo wako??Shangazi upo?
Duuuh Shangazi upo?Nipo mwanangu, wazima nyumbani?? Kaka na wifi yangu wanasemaje?? Bado hawajakuletea mdogo wako??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah wa kwangu yuko tofauti na usemayo uduguuuAsubutuu!! Vipare vifupi, vichawi afu vina roho mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikuionaa hii uduguu, ningeshatimba maeneo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo tulewe mdogo angu
Kuna mchizi mmoja humu ndani alileta stori Fulani hivi kuhusu mashangazi.Nimetafuta wimbo wa Snura,uitwao Majanga ,sijaupata. Gari anunue yeye,mafuta aweke yeye,misele upige wewe.
Yaani dunia ya leo hamna kitu. Haya,mtoto wa kiume adai kuitwa mwanaume. Liumri lote kama urefu wa mnazi,hutaki kujishughulisha,unataka mwanamke achune akuletee. Na wewe kesho utalalamika madanga ya shangazi yamekufumua. Dadeki.
Yaan wanawake wawili wakutishe mwanaume huyo ni shoga .mm ningewaulia humo ndani au wangetoka vilema humo ndani.Kuna mchizi mmoja humu ndani alileta stori Fulani hivi kuhusu mashangazi.
Alikuwa denti wa Chuo Kuna lishangazi Moja la magomeni liko vizuri kimvuto jeupe na Lina pesa chafu Ile mbaya.
Likamtongoza jamaa.
Siku ya siku likamchukua jamaa hadi kwake magomeni kuingia ndani akakutana na shangazi jingine Nalo. Liko bomba mbaya.
Yaani weupe, Wana ma-misambwanda ya kuvunja Chaga na wanapesa mbeya.
Akaambiwa aingie chumbani mara ghalfa wote wawili Yale mashangazi yakazama ndani yakafunga mlango.na funguo.
Wakatoa dildo
Jamaa anasema wali mfvck kibabe kwa yake ma dildo. Maana walimpa vitisho vingi.
Kuwekeni makini na mishangazi mingine.
umeandika juu ya shilole1. Awe na umri kuanzia 40+ na awe na kwake (private),
2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique.
3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
4. Awe na minyama (tumbo, wezere na nyama za mikono).
5. Awe single Mother (Mama Junior).
6. Awe mlevi wa pombe Kali,
NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Ilala, Buza, Tandika, Mbagala, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangazi gani anashindia dera na ndala miguu imepauka
I choose to remain silence sweetheart...Katika harakati za vineeeenaaa Ushawahi kutana na mishangazi love??😁😁🤭!
And silent is the best answer my love! !I choose to remain silence sweetheart...
Sijawahi na sitowahi kuhudumiwa na mwanamke... Sina hiyo experience sweetheart...And silent is the best answer my love! !
Nasikia Mishangazi inahudumia balaa!
I know that! Kwako Hizo ni dharau sanaSijawahi na sitowahi kuhudumiwa na mwanamke... Sina hiyo experience sweetheart...
Hahaha1. Awe na umri kuanzia 40+ na awe na kwake (private),
2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique.
3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
4. Awe na minyama (tumbo, wezere na nyama za mikono).
5. Awe single Mother (Mama Junior).
6. Awe mlevi wa pombe Kali,
NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Ilala, Buza, Tandika, Mbagala, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangazi gani anashindia dera na ndala miguu imepauka
View attachment 2889903View attachment 2889904View attachment 2889905View attachment 2890096