Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Honestly, Huyu mwanamke simpendi and ananichefuaga sanaaa. Its easy to see and tell pamoja na hela, mali na mafanikio yake, she a lonely nd depressed b*tch. Yote sabab ya jeuri na dharau zake. U can tell much from someone's tone of speaking (voice) and ways of life.
Ivi anavyo bwata bwata hadharani kuhusu mambo yake ya ndani, anafkiri ni nani anae dhalilika ??? Mambo yenu ya ndani (ndoa) sisi yanatuhusu vp ?? Mi ndio maana nawaambiaga watu, ukiwa mwanaume usije ukakubali hata siku moja mtu akulinganishe na mwanamke ( as in una mambo na tabia za kike). I consider that a very serious offence. Seriously, Huyu dada halijioni lishakua zee, to act a kid ??? #NoHardFeelings .
A senior boss you sound like her