Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Jdee ni hana uanamke!. In short ni dume kuanzia sura na tabia!. Mi namshangaa eti anashoboka hasa kwenye likipindi lake lile!. Mtu mwenyewe maskini miguu tegetege, kengeza!, tindi hilooo!, usafiri zero!, mbichwa yalaaaa kama wangu huku!. Sema ana sauti nzuri ambayo kama ukikutana nae gizani mashallah!.
Kiukweli Gardner alimpa sana heshima mwanamke yule ingawa yeye hakujua!. Jdeee yaani kuanzia leo ujijue huna kitu!. Halafu nasikia kiharage chake eti kilishachumwa so dada ni ladhaless!
Napita ntarudibadaae unatumiadawa ganivileya mswaki nijue wapi pakuanzia kukusaidiaIvi honestly we jamaa una umri gan ?? Huwezagi andika kitu kikaeleweka ?? Alaf seems unajiona mjanja mwenyewe.....ndio maana watu wengi humu hawaku heshimu... #Badilika.
jay dee mungu amekupendelea nitafute mm nimekidhi vigezo vyotee
jd sinaugunduzisana ila hutokosa asienamapungufu madogo. Kama mimii!!kwakuwa najiamini mwwnaume mwenye hizo unazotaka ni mchaga wa kimarangu kwqnza atutegemei wanawake.
Pili gari kamalako utqnikuta naendesha kwenye misiba tu hatakamw lina full tanki!!!ilakingine nawewee kuwekamatangazo yakushikwa shikwa sitaki wamarangu niwazuri tabia ilamashetani wa wivu hasa kwa wakezao
Napita ntarudibadaae unatumiadawa ganivileya mswaki nijue wapi pakuanzia kukusaidia
Ningekuwa mods ningekupiga ban
Hahahahahaah mkuu una maneno duh. Ila huyo mwanaume wa kumkoholea tu anakuja sijui kama wapo labda afuge kambwa. ko ko ko halafu huyo anakuja nduki i think she is just dreaming.Too much of confy. . . . .na kuamini zaid juu ya vitu kuliko social capital . . . . .Visupastaa vya bongo bhana maisha akili hakuna, busara nehi, wakizidiwa wanatapika mitandaoni!!!
Kama anataka akikohoa tu asikike akakae ICU , . . . .
Waanzishiwe mtaala wa maisha veta
you made me cry pole for the loss
ive one i dont know if i can still make it to have another one,i dont want to imagine how i will feel to loose him as we are not permanently bound to have them
Ha ha haaaaaa samehe bure my dada bhana, sasa anayoyataka hatuna bora tumpe maneno yamfae maishani asije sema "wanaume kama mabinti" hata ushauri tumeshindwa!!!!Hahahahahaah mkuu una maneno duh. Ila huyo mwanaume wa kumkoholea tu anakuja sijui kama wapo labda afuge kambwa. ko ko ko halafu huyo anakuja nduki i think she is just dreaming.
Hahahahahaah mkuu una maneno duh. Ila huyo mwanaume wa kumkoholea tu anakuja sijui kama wapo labda afuge kambwa. ko ko ko halafu huyo anakuja nduki i think she is just dreaming.
Maana kwa kipaji tu na utungaji aaaaanh (nampendea hapo tu) utasikia tu hapa kabla ya June atatumulika na kibao. . . . . . . .ila for sure angekaa na watu wenye busara na awasikilize angeambulia japo calmness ambayo ndio shield kubwa anayohitaji kwa sasa. . . . . .
wanaume wa sasa hivi hakuna hata anayefaa kwa ndimu... ukimkubali tu kuanza mahusiano ni ukurasa mpya wa makwazo umefungua.
Tatizo la Jdee ni hana uanamke!. In short ni dume kuanzia sura na tabia!. Mi namshangaa eti anashoboka hasa kwenye likipindi lake lile!.
Mtu mwenyewe maskini miguu tegetege, kengeza!, tindi hilooo!, usafiri zero!, mbichwa yalaaaa kama wangu huku!. Sema ana sauti nzuri ambayo kama ukikutana nae gizani mashallah!.
Kiukweli Gardner alimpa sana heshima mwanamke yule ingawa yeye hakujua!. Jdeee yaani kuanzia leo ujijue huna kitu!. Halafu nasikia kiharage chake eti kilishachumwa so dada ni ladhaless!
Hahahahah serengeti boy ukikohoa anatoka nduki anakuja lol nasikia siku hizi hakuna serengeti boy wote watu wazima. Yaani limtu la ukikohoa lipo mmmh nahisi kama atakua hajitambuiAseme labda anataka serengeti boy
Ni kweli anapaswa kukaa na washauri wa maana haya mambo ya kujianika mitandaoni anawapa watu pesa tu wapate cha kuandika na kuuza magazeti yao. Unajua wengi wanahisi mwanaume wa eti ukikohoa yupo anafaa kumbe hapana maisha hayapo hivyo.
Pendo limezidi fahamu zote hakuna formula ya maisha ya ndoa . Ndio maana kila ndoa ina utofauti , wengine mume ndiye anaepanga kitaliwa nini na wengine mke ndiye ajuaye mambo yote na ndoa zote hizi zina upendo wa ajabu.
Kikubwa huyu dada anapaswa kutafuta mtu atakaempenda na yeye ampende jinsi alivyo lkn ukishaweka conditions zote hizi basi umeharibu.
Kingine anachopaswa kujua ni kwamba hakuna binadamu asiye na mapungufu watu wote wana mapungufu yao. No one is perfect