Sifa za mwanaume

😳😳😳😳😳
 
Sawa mkuu
 
Wacha wee
Uanaume sio kuingia mkenge tu mnatulainisha kwa kukimbilia uanaume ili mfanye mambo yenu Yapite!.. mfano mwasema mwanaume hatakiwi kununa so ufanye upumbavu nisinune ili unione kenge! Sasa mimi kiberenge nakuambia ukizingua nanuna ikibidi na mitama unakula ili kukupa adabu ambayo umekosa..

Usiseme mwanaume hutakiwi kususa sema Asuse katika namna ipi.. Upike msosi kwenye dagaa hadi kuna konokono nisisuse!!!! Nasusa na ikibidi nakudunda.
 
🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Tukitumia kinga mnasema sio tamu! Nawewe kwanini utege wakati unajua upo kwenye mimbamimba days...???
Eti na kinga sio tamu [emoji1787] na wewe kwan nini ukubali kwani huna akili? Mkikulana kavu jaman mjiandae kwa lolote sio mnakuja hapa et ooh nilitegeshewa kwan wakati unachomeka kavu ulitegemea nini? Acheni hizo bwana badae mnakuja tukana singo mama wakati nyie ndio mabingwa wa kukimbia mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…