Sifa za mwanaume

Sifa za mwanaume

real man anatembeza makora kwa kila feminist ili heshima ibaki kwa masculinities kila siku na kila sehemu, sio habari za mfumo dume Ila ndio mwanaume inabidi awe hivyo mwanamke akizingua mabanzi mabanzi huku anamkandamiza na maneno "si nilikwambia usifanye hivi kwanini umerudi tena kufanya hivi?" Mabanzi mabanzi "kwanini umerudia kuchelewa kurudi kabla yangu si nakwambia mimi ndio inabidi niwe wa mwisho kuingia ndani ya nyumba hii?" Mabanzi mabanzi, "kwanini mtoto analia wewe hautaki kumnyonyesha kwanini humpi chakula chake huyu mtoto?" Mabanzi mabanzi,
😳😳😳😳😳
 
Huu uzi nafkir umekaa kimkakati zaidi.

Enewei, Tafsiri ya MWANAUME ni pana kiasi. Ila cha msingi Awe na Marinda yote bila upotevu wa rinda hata moja.

Awe na uwezo wa Kunyanyua Uume wake kwa ufasaha zaidi.

Awe atleast ana uwezo wa kutafuta sh 100/200 kwa siku.

Hayo mengine ni Miscellaneous issues.
Sawa mkuu
 
Wacha wee
Uanaume sio kuingia mkenge tu mnatulainisha kwa kukimbilia uanaume ili mfanye mambo yenu Yapite!.. mfano mwasema mwanaume hatakiwi kununa so ufanye upumbavu nisinune ili unione kenge! Sasa mimi kiberenge nakuambia ukizingua nanuna ikibidi na mitama unakula ili kukupa adabu ambayo umekosa..

Usiseme mwanaume hutakiwi kususa sema Asuse katika namna ipi.. Upike msosi kwenye dagaa hadi kuna konokono nisisuse!!!! Nasusa na ikibidi nakudunda.
 
🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Tukitumia kinga mnasema sio tamu! Nawewe kwanini utege wakati unajua upo kwenye mimbamimba days...???
Eti na kinga sio tamu [emoji1787] na wewe kwan nini ukubali kwani huna akili? Mkikulana kavu jaman mjiandae kwa lolote sio mnakuja hapa et ooh nilitegeshewa kwan wakati unachomeka kavu ulitegemea nini? Acheni hizo bwana badae mnakuja tukana singo mama wakati nyie ndio mabingwa wa kukimbia mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom