Sifa za mwanaume

Sifa za mwanaume

Single mother twadharaulika na single father wengi humu ndani....wasiozalisha ovyo watoto wa watu(wanaume sasa) wapo kimya
Hebu tuanzishe Uzi wa single father na vimbwanga vyao😂🤣
 
Uanaume sio kuingia mkenge tu mnatulainisha kwa kukimbilia uanaume ili mfanye mambo yenu Yapite!.. mfano mwasema mwanaume hatakiwi kununa so ufanye upumbavu nisinune ili unione kenge! Sasa mimi kiberenge nakuambia ukizingua nanuna ikibidi na mitama unakula ili kukupa adabu ambayo umekosa..

Usiseme mwanaume hutakiwi kususa sema Asuse katika namna ipi.. Upike msosi kwenye dagaa hadi kuna konokono nisisuse!!!! Nasusa na ikibidi nakudunda.
Yani unidunde kisa dagaa? Tutadundana aisee. Sifa nyingine ya mwanaume ni kumlisha mkewe nyama🤣🤣
 
Thread nzuri but kukirefer uumbaji utakuta sifa za mwanaume mrefu in nature zinakuwa tofauti na za mwanaume mfupi in nature na ndo wengi wanaume tunaishi ivo...kwahiyo mfano mwanaume akawa na tabia mojawapo hapo...kubadilika huwa mtihani sana anyway Thanks kwa kutukumbusha jinsi tunapaswa kuwa
 
😂😂😂😂mtarekebishana huko mbele ya safari my wangu sisi tunataka uoreweeeeee
Ety wanasema mwanaume pesa zake zake, zangu zake😂😂😂
Me nmemwambia pesa zake zangu zangu zangu ataki😂
 
Sina mshahara, wala hivyo sio vichambo ndgu labda kama una tafsiri yako binafsi ya vichambo.

Bali huo ndio ukweli, singo maza mnajitetea kwa kila namna lakini madhaifu yenu yanafanana mno, na mbaya zaidi hamjifunzi kwa makosa ya wenzenu. Ndio maana wadau kutwa kuanzisha nyuzi juu yenu.
Bas ngoja nasi tuyaweke waz mapungufu ya wanaume vibwengo maana tumewasitiri hamsitiriki
 
Hapo kusimulia wanawake aliowala nimecheka sana. Hizo stori ngumu sana kwa wanaume kutosimuliana. Ni trait fulani ya kuonyeshana umwamba katika sekta ya kuchakata mbususu. Muizoee tu.
 
Hahahaaa! Umefurahi mwenyewe 🤣🤣🤣 kulea ni kipaji yani tena uache kazi, Ufanye kazi...Mara nyingi nawaonea huruma mabinti wote wanaopambana wenyewe na watoto zao it’s paining to be honestly, Hata dada yangu(Young’sis) alipokubwa na janga kama hili nilimsihii sana kwa kumwamwini mwanaume alienae kupitiliza mwisho wa siku akamdump na ujauzito juu ingawa nilimpambania akapata haki zake kimsingi kuhusu mtoto kupata malezi ya pande zote mbili na baba yake kuwajibika kumsomesha mtoto hadi atakapofikia hatua ya kujitambua lkn bado alijiona amekosa sana na anajutia hadi hivi leo.

So! Mjihadhari si wanaume wote tumeumbwa na utu mioyoni mwetu, Wengine ni paranoid guys na ukiwaona wako very innocently try to be aware with guy like them!!
Amina
 
Hapo kusimulia wanawake aliowala nimecheka sana. Hizo stori ngumu sana kwa wanaume kutosimuliana. Ni trait fulani ya kuonyeshana umwamba katika sekta ya kuchakata mbususu. Muizoee tu.
Hapana,wanaume hawasimulii mkuu
 
Wanawake mnajifanya mnatujua Sana sisi wanaume kuliko sisi tunavyowajua nyinyi.

Sisi wanaume tulishakubaliana kwamba sifa kuu ya mwanamke Ni lazima awe na trako la maana,yaani chura Kama chura.
Tofauti na hapo Basi wewe utakuwa umeshaipoteza sifa ya uanawake.
😂😂😂😂🚶🚶🚶
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna wanaume ni wanaume....mpaka kuwa nae unaogopa unahisi matendo yako ya nyuma kuwa nae unamkosea sana....Yaan unawaza kwanini hakuwa yeye before....Be a man mkuu
Nawe be a woman usiwe gube gube
 
Well said[emoji1490][emoji1490][emoji1490]unakuta mwanaume ana gubu la kike balaa mwanaume anaongea maneno yanamtoka kama kala mavi ptyuuuuu mwanaume unaongeaje hvo humezi mate….SOME MEN SHOULD MANUP THEMSELVES [emoji57]
Achana na mambo yao, fanya yako. Wao wameamua kuwa hivyo. Hata ukisema huku upo uchi hawatobadilika. Kimsingi haitokaa itokee tufanane.
 
No one is perfect....kama wewe ni perfect kwann usiwe Mungu...usinglemother wake,shuruba zake wewe kinakutesa kipi....kazalishwa sawa,it's her business.... Hajaolewa,sawa it's out of your business.... Unamdharau kwa lipi
....kakufanya nn...kakupunguzia kipi? Umemkalia tako mwana wa mwenzio kakupunguzia nini kwa usiglemother wake....BE A MAN....YAAN KAKA ...KUWA MWANAUME!!!
Ni kweli ya singo maza hayamuhusu, its non of his business. Na wewe hayo uliyoandika kwenye uzi kuhusu wanaume hayakuhusu. Its their business, mind yours.

Wakiwa na mambo ya kike ni wao wameamua[emoji38][emoji38] na wanaona poa tu kuwa hivyo.

Mind yoh business[emoji38]
 
Back
Top Bottom