Sifa za mwanaume

Point
 
Mambo ya taikoni unayajua wewe mkuu,mi nakumbusha tu mwanaume kujitambua uanaume wake.Be a man...vichambo waachie kina Aisha mashauz.
To yeye bado uwezo wa hoja zako ni duni mno. Sasa wao wakiwa kama Aisha Mashauzi wewe inakuhusu nini? Ni wao wameamua na wanafurahia.
 
Mmekutana na KENZY 😂🚶🚶
 
Yote Tisa,kumi JUST BE A MAN
 
[emoji23]mi nilichokigundua wanaume wengi nguvu za kiume zimehamia mdomoni...aisee wanaongea mpaka wanatokota [emoji137]
Its them. They are happy with it. Sasa hutaki zihamie mdomoni au[emoji38] mind yoh business lady. Hutoweza kuwamaliza wanaume.
 
To yeye bado uwezo wa hoja zako ni duni mno. Sasa wao wakiwa kama Aisha Mashauzi wewe inakuhusu nini? Ni wao wameamua na wanafurahia.
Eti uwezo wa hoja,kama halijakugusa hata moja usingeandika.Be a man.Mwanaume kama mwanaume ana utu na utulivu.
 
[emoji15]are you serious? Jeshi kubwa? U can't be serious! Mbali na uchache wa wanaume kupitia sensa lakini kwa idadi ile iliyotolewa nusu yake ndo wanaume wengine wanapumuliwa na wanaume[emoji124][emoji124]
Mbona umekazania sana? Hata wakipumuliwa haiondoi ukweli kuwa ni wanaume. By the way ni starehe zao hazikuhusu[emoji28][emoji28] ila unafurahisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…