mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Its him who's down not you. Unaumia?[emoji38]Sad! One man down
Point[emoji23]ubahili,pesa ni yao hatuwez ipigia mahesabu.Achana nao
PointHumu zimejaa thread za kukashfu wanawake hadi naanza kuona kama wanaume ni kama kuna fuse zimelegea.
Yani watu wanatelekeza watoto mitaani hakuna anaesema. Wanabaka kutwa ila hakuna anaesema. Wanawakatili wanawake ila hawayaoni. Yaani wao ni kukashfu tu. Af ukifatilia historia ya huyo mwanaume ni kama dishi lilichezaga. So wote wa design hiyo sku hizi nawavua vyeo. Mwanaume na akili zake timamu na noti mfukoni hana mda wa kudiscuss mapungufu ya mwanamke ambae ana uwezo wa kukuzaa.
To yeye bado uwezo wa hoja zako ni duni mno. Sasa wao wakiwa kama Aisha Mashauzi wewe inakuhusu nini? Ni wao wameamua na wanafurahia.Mambo ya taikoni unayajua wewe mkuu,mi nakumbusha tu mwanaume kujitambua uanaume wake.Be a man...vichambo waachie kina Aisha mashauz.
PointNi sawa na kukataa kuoa asiye na tako,mrefu,mfupi,mlemavu,mnene,mwembamba.I mean it's your choice mkuu
PointSasa mwanaume hafanyi hivo....mwanaume hafanyi hivyo mkuu
Hakuna mwenye hati miliki ya kushughulikia yasiyomuhusu, iwe mwanamke au mwanaume.[emoji23][emoji23][emoji23]habari ndo hiyo,jifunze kwa yanayokuhusu...kushughulika na yasiyokuongezea kula kwa MTU anayejiita mwanaume ni aibu[emoji23][emoji23]
Mmekutana na KENZY 😂🚶🚶Eti na kinga sio tamu [emoji1787] na wewe kwan nini ukubali kwani huna akili? Mkikulana kavu jaman mjiandae kwa lolote sio mnakuja hapa et ooh nilitegeshewa kwan wakati unachomeka kavu ulitegemea nini? Acheni hizo bwana badae mnakuja tukana singo mama wakati nyie ndio mabingwa wa kukimbia mimba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hana nguvu zote wewe inakuhusu nini? Mwenzio anafurahia. Hutaki au[emoji38]Humu tuna wavulana aka Men wanna be’s basi wee kila mtu anavimba. Ukiona mtu anajihami hivyo ujue hana nguvu zote[emoji2960][emoji23]
Yote Tisa,kumi JUST BE A MANNi kweli ya singo maza hayamuhusu, its non of his business. Na wewe hayo uliyoandika kwenye uzi kuhusu wanaume hayakuhusu. Its their business, mind yours.
Wakiwa na mambo ya kike ni wao wameamua[emoji38][emoji38] na wanaona poa tu kuwa hivyo.
Mind yoh business[emoji38]
Its them. They are happy with it. Sasa hutaki zihamie mdomoni au[emoji38] mind yoh business lady. Hutoweza kuwamaliza wanaume.[emoji23]mi nilichokigundua wanaume wengi nguvu za kiume zimehamia mdomoni...aisee wanaongea mpaka wanatokota [emoji137]
Eti uwezo wa hoja,kama halijakugusa hata moja usingeandika.Be a man.Mwanaume kama mwanaume ana utu na utulivu.To yeye bado uwezo wa hoja zako ni duni mno. Sasa wao wakiwa kama Aisha Mashauzi wewe inakuhusu nini? Ni wao wameamua na wanafurahia.
Nani kakudanganya bibie? [emoji16]Hapana,wanaume hawasimulii mkuu
Mbona umekazania sana? Hata wakipumuliwa haiondoi ukweli kuwa ni wanaume. By the way ni starehe zao hazikuhusu[emoji28][emoji28] ila unafurahisha sana[emoji15]are you serious? Jeshi kubwa? U can't be serious! Mbali na uchache wa wanaume kupitia sensa lakini kwa idadi ile iliyotolewa nusu yake ndo wanaume wengine wanapumuliwa na wanaume[emoji124][emoji124]