Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Huwa hawaamliwi watu wa hivyo, ni mpaka mbabe apatikane.
Ila mmoja akipigwa roba ya mbao tunawahi kumuokoa ili wasiuane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hawaamliwi watu wa hivyo, ni mpaka mbabe apatikane.
Kwa nini nisiweze kubishana na mwanamke mkuu? Yeye ni nani by the way? Kaleta hoja lazima apate challenging.Brother unawezaje kubishana hivyo na mwanamke? Inatosha mkuu, kaa kimya hutopungukiwa na kitu.
Na ndo mnaopofeli wanaume wengi weusi. Yaani mada zenye hoja za msingi mnashindwa kum reason mtu kisa mwanamke/nitaonekanaje/aibu. Ulaya sidhani kama wana huu upuuzi. Kwenye hoja za msingi huruma huruma na ujinsia unawekwa kandoBrother unawezaje kubishana hivyo na mwanamke? Inatosha mkuu, kaa kimya hutopungukiwa na kitu.
Ingawa si woteSingle mother wana roho mbaya na chuki kisa maumivu ya penzi la kwanza mimi siwakubali ata kidgo
Why ni hatari kaka?Ni hatari mno hasa single mother wa tanzania bora wa mataifa mengne wana move on
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mimi nitatwangwa jamani msifike hukoWataftane watwangane makonde tu, maneno huwa hayaishi. Ila mmoja akitwangwa heshima itajengeka
Muulize huyo
Yalinikuta ndugu yanguWhy ni hatari kaka?
Walikufanya nn hujajibu hiliNi hatari mno hasa single mother wa tanzania bora wa mataifa mengne wana move on
[emoji23] watu wanaogombana hivi wanakujaga kuelewana badae unabaki kushangaaHuwa hawaamliwi watu wa hivyo, ni mpaka mbabe apatikane.
Ila mmoja akipigwa roba ya mbao tunawahi kumuokoa ili wasiuane.
Ati unantaka?1.Anajitambua kuwa yeye ni mwanaume, hivyo anakuwa hana sifa za:
a. Ushoga
b. Vijembe
c. Umbea
d. Kususa
e. Kusuta
f. Kupoteza muda kwa visivyomhusu
g. Umario
h. Kusimanga mwanamke ingali alizaliwa na mwanamke
I. Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU, kakataa kuoa aliyemtia mimba
j. Kusimulia wanawake aliowala (kusifia uzinifu)
k.......
l........
m......
Wanawake, kama kuna pahala nimesahau muendelee.
NB: BE A MAN!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji846][emoji846][emoji23][emoji23][emoji23]haya bhana
Mie asili yangu (Arab) mwanamke ni wa kupuuzwa tu.Na ndo mnaopofeli wanaume wengi weusi. Yaani mada zenye hoja za msingi mnashindwa kum reason mtu kisa mwanamke/nitaonekanaje/aibu. Ulaya sidhani kama wana huu upuuzi. Kwenye hoja za msingi huruma huruma na ujinsia unawekwa kando
Wewe ni Malaya na wewe ni mtoto wanjee na baba Yako yupo haiHuwezi kuzuia mwanaume kumdharau single mom kamweee
Ni Sawa na kuzuia mwanamke kumdharau mwanaume asiye na kazi na anashinda vijiweni tu..
Kwenye soko la mahusiano na mapenzi
Kuna makundi yataendelea kudharaulika tu siku zote
1.mwanaume maskini asiye na kazi Wala assets
2.mwanamke malaya
3.mwanamke mwenye mtoto bila ndoa na baba mtoto hajafa.
Tena ukizungumzia real men ndo kabisaa huwezi kumkuta ata anamzingatia mwanamke mwenye mtoto.Binafsi sijawahi hata kuwaza km naweza kulala na mwanamke mwenye mtoto nje ya mke wangu Wala sijawahi kutongozA mwanamke mwenye mtoto wala kutamani kulala nae.Hisia zinaishaga nikigundua ana mtoto kama ambavyo kuna wanawake ukiwaambia sina kazi au gari basi hisia zinaisha hapo hapo .
Real woman ukimwambia huna kazi biashara yako imeishia hapo,wachache sana wanaweza kukuzingatia it's what it's.
Heshima nakupa ila hisia ndo daaah hapana
Jamani wewe umenifurahisha mwaya kweli ikitokea kadi niwewe wa kwanza na GlennSofa nilizotajiwa za huyo bwana harusi😂😂😂😂
Sitaki tena.
Lkn tutacheza ya Unique Flower ana bebe mpya
Wewe umekuja kufanya nini kama haikuhusu ..Ngoja waje