Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafahamu kaka. Bora nyie WaTZ wenye asili ya Arab hamna hizi mambo. WaTZ weusi tunaboa sana. Yaani kila kitu ujinsia tu. Ukihoji unaambiwa una mambo ya kike[emoji38][emoji38]Mie asili yangu (Arab) mwanamke ni wa kupuuzwa tu.
Ni kweli aiseeHumu basi hakuna wanaume Kuna wanawake tu maana kama wapo ni asilimia chache To yeye umemention vyote
Noma kaka. [emoji28][emoji28]Nafahamu kaka. Bora nyie WaTZ wenye asili ya Arab hamna hizi mambo. WaTZ weusi tunaboa sana. Yaani kila kitu ujinsia tu. Ukihoji unaambiwa una mambo ya kike[emoji38][emoji38]
Acha uongoo mxiuuHakuna mwanaume mwenye dhambi ukumbuke wanawake ndio hua wanasababisha wanaume watende dhambi sasa
Nani kasema dagaa ni mboga ya majani..Yani unidunde kisa dagaa? Tutadundana aisee. Sifa nyingine ya mwanaume ni kumlisha mkewe nyama🤣🤣
Sisi mabahili tunakubali kuwa siyo wanaume kamili na tunaupenda ubahili wetu na hela zetu. [emoji38]Mwanaume kamili hatakiwi kuwa BAHILI
Tupooo shosti za asubuhi[emoji23][emoji23][emoji23]no sema wanawake wenzetu walioshindwa kusimama kiume wamekasirika balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa je,yote hayo niendelee kujiaminisha kuna mwanaume hapo.Pole shost ...endelea kuwamanulia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji137]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui nacheka Nini[emoji23]
Enwei naendelea kusoma comments
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwishaaa kabisaaaa.Haoo kwenye kusuta mnisamee mimi bwana sina Moyo wakuvumilia ujinga hata sina unafiki nitakusutaaa tu ukijichanganya
Ukweli ndo huu.Huwezi kuzuia mwanaume kumdharau single mom kamweee
Ni Sawa na kuzuia mwanamke kumdharau mwanaume asiye na kazi na anashinda vijiweni tu..
Kwenye soko la mahusiano na mapenzi
Kuna makundi yataendelea kudharaulika tu siku zote
1.mwanaume maskini asiye na kazi Wala assets
2.mwanamke malaya
3.mwanamke mwenye mtoto bila ndoa na baba mtoto hajafa.
Tena ukizungumzia real men ndo kabisaa huwezi kumkuta ata anamzingatia mwanamke mwenye mtoto.Binafsi sijawahi hata kuwaza km naweza kulala na mwanamke mwenye mtoto nje ya mke wangu Wala sijawahi kutongozA mwanamke mwenye mtoto wala kutamani kulala nae.Hisia zinaishaga nikigundua ana mtoto kama ambavyo kuna wanawake ukiwaambia sina kazi au gari basi hisia zinaisha hapo hapo .
Real woman ukimwambia huna kazi biashara yako imeishia hapo,wachache sana wanaweza kukuzingatia it's what it's.
Heshima nakupa ila hisia ndo daaah hapana